Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Unatokea Chato au Kizimkazi? Kama hutoki huko basi utakuwa na matatizo makubwa zaidi.
sina haja na ubaguzi, ramli wala ushirikina wako gentleman

Tz raha sana aise, mbona mnababaika sana ndrugu zango?šŸ’
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Aliyozungumza ni ya ukweli,hayahitajiki kujibiwa,ni kwenda kufanyiwa kazi TU,na wahusika
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.

Yaani ni sawa na kubishana na mtoto wa miaka 2! Hakuna kitu cha kubisha kwa mzee warioba hata kimoja
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
We hakika umejaza pumba kichwan
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Wanajibu kuhusu nini mjinga wewe.
 
Hicho kijizee kinafiki sana.
Dogo kua makin na kauli zako ,heshima huyo mzee na kama huwez kumheshim Bora ujizuie usinene mabaya juu yake ,,mzee ameongea Kwa busara sana ,,angalia asje akatangulia mbele ya haki ukaja kwenda kuangukia Kabur lake au jeneza lake ukiomba msamaha,kweny msiba wa Lowasa yupo aliye onekana akipiga magoti mbele ya jeneza lake akiomba msamaha
 
Aliyozungumza ni ya ukweli,hayahitajiki kujibiwa,ni kwenda kufanyiwa kazi TU,na wahusika
Sisi tutamjibu. Tutamtukana na kumbagaza sana. Mpaka akome kiherehere chake. Tayari vijana wameanza hiyo kazi hata kwenye huu uzi.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Kwani Wewe ni Mwashambwa?
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Hiyo list yako uliyoitaja hapo unadhani Yupo kweli aliyeielewa speech ya yule Mzee?
Unataka wajibu Kwa Facts au Mihemuko? Kama Kwa Facts hao vijana wako uliowataja hawawezi kukupa .
Ila kama kumshambulia na kumbagaza kazi hiyo ni nyepesi kwako.
Lakini nao kama walikwenda Darasani wakasoma na wakaelimika hawawezi kukubali hiyo Approach yako, watataka wafanye analysis ya kile Mzee alisema.
Kama Taifa pia siyo wajinga kihivyo na ni waelewa Kwa kiwango kikubwa sana kiasi kwambawanajua Kwa kina propaganda ni Zipi na Facts ni Zipi.
Ulisema atawafungua vijana wataelewa sijui Nini, hao vijana sijui ni wa Nchi gani, kama ni Hawa wa Tanzania siyo mbumbu kihivyo.
Lakini Vijana uliowataja wa kujibu hoja za Mzee Kwa njia ya Mipasho sidhani kama personality yao Iko hivyo, na sijui Kwa Maelekezo ya nani.
Kwa uelewa Zaidi tengeneza Survey chart hapa watu wapige kura za wazi hapa kwenye jukwaa uone wangapi wanaunga Mkono hoja za Mzee na wangapi wanakataa.
Vinginevyo utakuwa umejiweka hadharani personality yako jinsi ilivyo na utaishia kutukanwa TU hapa kwenye jukwaa
 
Ali Happi ashajifunza, hawezi kuthubutu tena kuwazodoa wazee tena
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
 

Attachments

  • 5271422-05dbd5c2dc28318bbd4f13bc28f5bb2.mp4
    14.8 MB
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Chawa Pumbavu kazini! Umelipwa ngapi au ninyi ndio wale watekaji na waburuzaji wenyewe!!
 
Hiyo list yako uliyoitaja hapo unadhani Yupo kweli aliyeielewa speech ya yule Mzee?
Unataka wajibu Kwa Facts au Mihemuko? Kama Kwa Facts hao vijana wako uliowataja hawawezi kukupa .
Ila kama kumshambulia na kumbagaza kazi hiyo ni nyepesi kwako.
Lakini nao kama walikwenda Darasani wakasoma na wakaelimika hawawezi kukubali hiyo Approach yako, watataka wafanye analysis ya kile Mzee alisema.
Kama Taifa pia siyo wajinga kihivyo na ni waelewa Kwa kiwango kikubwa sana kiasi kwambawanajua Kwa kina propaganda ni Zipi na Facts ni Zipi.
Ulisema atawafungua vijana wataelewa sijui Nini, hao vijana sijui ni wa Nchi gani, kama ni Hawa wa Tanzania siyo mbumbu kihivyo.
Lakini Vijana uliowataja wa kujibu hoja za Mzee Kwa njia ya Mipasho sidhani kama personality yao Iko hivyo, na sijui Kwa Maelekezo ya nani.
Kwa uelewa Zaidi tengeneza Survey chart hapa watu wapige kura za wazi hapa kwenye jukwaa uone wangapi wanaunga Mkono hoja za Mzee na wangapi wanakataa.
Vinginevyo utakuwa umejiweka hadharani personality yako jinsi ilivyo na utaishia kutukanwa TU hapa kwenye jukwaa
Haina haja ya kuelewa. Ni mwendo wa kumjibu kwa matusi tu. Tuelewe ili iweje? Muda wa kuelewa hatuna. Subiri tu. Na endelea kusoma wengine tumeshaanza mtukana humu hadi sura yake.
 
Back
Top Bottom