Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

ni busara zaidi akapuuzwa tu kama ambavyo hufanyika mara zote,

kwasasababu hana athari zozote kisiasa Lakini pia alikua na fursa ya kutengeneza utaratibu mzuri zaidi wa kisheria wa anacholalamikia kisitokee wakti huu kipindi akiwa mamlakani.

vinginevyo ni useless na completely nonsense 🐒
Hawa wazee ndo waasisi wa mambo yote ya hovyo halafu sasa hivi wanajitokeza kuongea kinafiki. Huyu unaambiwa alikuwa chawa wa mwalimu haijawahi tokea. Hakuwa mshauri mzuri kwa mwalimu.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Makonda mtoe hawezi kumjibu Warioba mmejijengea fikra potofu. Ila Ally Happi, Kawaida, Kibajaji, UVCCM, Wasanii kama Steve Mengele, Mwijaku hao wanaweza kujitosa lakini watadunda.

Mzee Warioba hajatoka tu kusema alichosema ijapokuwa naye ni kama au uoga fulani maana anadai polisi imeanza kuingizwa kwenye siasa tangu 2019 na 2020 wakatiwa JPM na hakuwahi kumkemea kuna walakini mahala.
 
Nyie wengine huwa hamna wazazi? Hamkulelewa na wazazi? Wewe unaweza kuwa CCM kuliko Warioba? Muogope Mungu kijana. Weka heshima hata kidogo uepuke laana.

Anyway. Hongera sana umeweza mjibu Warioba. Umemshambulia vizuri kweli kama ambavyo tulitaka. Umtukane na kumshambulia kwa maneno makali. Haya sasa waambie watu wenye akili waingie kipengele cha pili. Wamjibu hoja zake. Ndani ya CCM wapo wenye akili huwa tu hatuwapi nafasi. Sisi kama wewe ndo tunapata nafasi sana. Na mimi kama Warioba hatupewi nafasi.
Wamjibu nini cha maana alichosema, anaongea kama anatabiri nani huyo aliyemwambia jeshi nitaingilia siasa. eti lisiingilie siasa nani kamwambia, kama sio uchawi. Mzee ana sura mbaya kama roho yake ilivyo. Anawanga mchana. Kama kidume kweli atukane wote sio anatukana taasisi zote hawana maadili ila Raisi hamgusi. Nani anaongoza serikali? unafiki tu
 
Japo umeandika kwa sarcastic manner!! Ila Mimi binafsi Nina haya ya kusema.

CCM ya Sasa hivi ni chama kilichooza na kinanuka uovu wote wa Kila aina, uuaji, ufisadi,wizi,ubakaji, utekaji n.k na watu kama mzee Warioba ambao walilelewa kwenye CCM safi huwa wanaumizwa sana na haya mambo ya ovyo yanayofanywa na CCM hii ya Sasa na ndio maana huwa anashindwa kuvumilia anaamua kusema pasipokujali kama atawakwaza makada wa chama Chake.

Kwa bahati mbaya sana watu wanaopenda kusimama kwenye ukweli na Haki Kama mzee Warioba kwa hii CCM ya Sasa huwa wanaonekana ni maadui wa chama, Tena hili linathibitishwa hata na baadhi ya comments zilizopo kwenye huu Uzi.

Hii CCM ya Sasa hivi inataka wazee wajinga wajinga na wanafiki wanafiki wenye vinasaba vya uchawa kama mzee Yusufu Makamba ambao hawana ujasiri wa kukemea maovu.

Kila mtu ameona jinsi CCM walivyoharibu uchaguzi wa mwaka huu, halafu Hawa UVCCM wanakuja kumzodoa mzee Warioba kwa hiki alichokiongea? Wanataka Kila mwanachama awe kondoo tu wakufumbia macho maovu?

Nyie UVCCM mkimuheshimu mzee dalali mzee Kinana pamoja na mwenzake Yusufu Makamba inatosha, sisi wengine tutamuheshimu mzee wa mzalendo wa kweli Joseph Warioba
 
Wamjibu nini cha maana alichosema, anaongea kama anatabiri nani huyo aliyemwambia jeshi nitaingilia siasa. eti lisiingilie siasa nani kamwambia, kama sio uchawi. Mzee ana sura mbaya kama roho yake ilivyo. Anawanga mchana. Kama kidume kweli atukane wote sio anatukana taasisi zote hawana maadili ila Raisi hamgusi. Nani anaongoza serikali? unafiki tu
Na haya ndio maneno ya kuongea kuhusu mzee Warioba? Kwamba nyie UVCCM wa Sasa h ndio mna uchungu sana na chama pamoja na taifa kwa ujumla kuliko hata mzee Warioba??

Yaani hii comment yako inaonesha jinsi gani upumbavuu, ujinga, malezi ya ovyo pamoja na elimu duni ulivyonavyo kiasi Cha kuonekana hauna tofauti na kichaa.

Wewe acha kuleta kashifa za kipuuzi hapa, jibu hoja zake.

Kwanini kwenye uchaguzi huu wagombea walionekana Wana dosari na hatimae kuwa disqualified walikuwa ni wagombea wa vyama vya upinzani tu? Ina maana huko CCM wagombea wake wote hawakuwa na dosari za majina kama zile walizokuwa nazo wapinzani?
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Najiuliza siku Ile Mhe Sinde Waryoba anashambuliwa na Makonda,,, walinzi wake walikuwa wapi ? Kama angepata madhara makubwa wangewajibika au ilipangwa ?
 
Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Mzee wa watu amepiga kelele muda mrefu kuhusiana na mwenendo wa Chaguzi lakini hajawahi kusikilizwa!
Ni mmoja wa Wazee walioambiwa wanawashwashwa!
Sasa afanyeje?
 
Nitatazama press yake huko YOU TUBE ili nije nitoe tamko kuhusiana na alichoongea. Tamko langu ndo utakuwa msimamo wa JF kuhusu alichokiongea Mzee Warioba.
Huna huo uwezo mkuu! Aliyoyaongea yote ni kweli.
Hoja hujibiwa kwa hoja siyo vijembe vya U CHAWA CHAWA
 
Wamjibu nini cha maana alichosema, anaongea kama anatabiri nani huyo aliyemwambia jeshi nitaingilia siasa. eti lisiingilie siasa nani kamwambia, kama sio uchawi. Mzee ana sura mbaya kama roho yake ilivyo. Anawanga mchana. Kama kidume kweli atukane wote sio anatukana taasisi zote hawana maadili ila Raisi hamgusi. Nani anaongoza serikali? unafiki tu
Hapa naona umeanza ishambulia hadi sura yake. Hii inaonesha CCM ina vijana wapo kuipigania.
 
Badala ya kufanyia kazi maoni yake, wao wanapanga kumtukana
Ni kumtukana tu maoni yake au hoja zake haina haja ya kujibu. Tutamtukana yeye na kukosoa hata alivyoumbwa. Sisi tunaipenda sana CCM huyu mzee anajua nini kuhusu Chama? Sisi ndo tunakijua chama tumetoka nacho mbali.
 
Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Kwa sababu hakikuwahi kutokea kama kilichotokea 2019, 2020 na mwaka huu!
 
Hawa wazee ndo waasisi wa mambo yote ya hovyo halafu sasa hivi wanajitokeza kuongea kinafiki. Huyu unaambiwa alikuwa chawa wa mwalimu haijawahi tokea. Hakuwa mshauri mzuri kwa mwalimu.
umeeleza ukweli sana comrade :pedroP:

halafu wengi hawajui kwamba mzee wetu huyu ambae tunampenda na tunamuheshimu sana hakua na ushawishi wowote wakati akiwa kiongozi, alikua wakawaida tu kama walivyo wengine, na ndiyo maana alishindwa uchaguzi huko Bunda, tena kwao kabisa mchana kweupe na upinzani.

bila ya hayati Nyerere kumshika mkono,
hapangelikua na mtu anaetangatanga kama alivyo sasa, angekua anasugua gaga tu huko bunda kwao.

halafu pia,
nadahani ana kinyongo na wivu flani moyoni mwake dhidi ya serikali, sasa sijui ni kwasababu wanae na ndugu zake wako nje ya game la siasa za Tanzania ama ni unafiki wake tu...:NoGodNo:
 
Na haya ndio maneno ya kuongea kuhusu mzee Warioba? Kwamba nyie UVCCM wa Sasa h ndio mna uchungu sana na chama pamoja na taifa kwa ujumla kuliko hata mzee Warioba??

Yaani hii comment yako inaonesha jinsi gani upumbavuu, ujinga, malezi ya ovyo pamoja na elimu duni ulivyonavyo kiasi Cha kuonekana hauna tofauti na kichaa.

Wewe acha kuleta kashifa za kipuuzi hapa, jibu hoja zake.

Kwanini kwenye uchaguzi huu wagombea walionekana Wana dosari na hatimae kuwa disqualified walikuwa ni wagombea wa vyama vya upinzani tu? Ina maana huko CCM wagombea wake wote hawakuwa na dosari za majina kama zile walizokuwa nazo wapinzani?
Nadhani ungemuuliza huyu mzee wako mwanga wakati wa JPM alikuwa wapi? alisema nini kuhusu uchaguzi? ukija na majibu nitakujibu.
 
Hapa naona umeanza ishambulia hadi sura yake. Hii inaonesha CCM ina vijana wapo kuipigania.
Yes sababu ana sura mbaya kama roho yake ilivyokuwa mbaya. Shida ya huyu mzee alikuwa wapi wakati wa JPM anawavuruga wapinzani? alisema nini? Mzee shida yake kubwa anachuki na wa Zanzibar hii ya Rais kutoka kule inamnyima usingizi. Mzee mwanga wa mchana amekuwa kama bundi kutabiri nuksi.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Steve Nyerere.
 
Kwa HERUFI KUBWA NAKUPONGEZA KWA KUANDIKA HASA MZIZI WA HUYU MZEE KUA MNAFIKI LEO NIMEPATA JIBU KILA MARA NILIKUA NAA ATTRIBUTES KITU GANI ANAJCHOFANYIA BIFU LEO NIMEKIPATA NA CCM WAMBANIE HV HV ANA LISURA KAMA NYARWANDA ANATAKA KUANZISHA CHOKO CHOKO HATA AKIONGEA UNAONA HASIMAMII ANACHOMAANISHA JIBU AJIVUE CCM KWANZA
Jibuni hoja zake siyo kumshambulia yeye.
 
Tuendelee kumshambulia Mzee Warioba. Na angekuwa karibu hata tungempiga mawe. Tusiache mshambulia na kumtukana mpaka akome kuwa anaongea ukweli. Anatakiwa abadilike ajifunze kusema mitano tena.
hakuna haja kumshambulia au kumpiga mawe yeyote nchi hii ya amani gentleman,

muhimu ni kuupinga unafiki wa mtu mzima mwenye heshima na familia, ambae alipaswa kulea wajukuu nyumbani anakuja kumbwelambwela kana kwamba ati nae ni gen z aliopoteza uelekeo :pedroP:
 
Kwani huamini kama dunia ina mwisho?
Mzee anaongea ukweli japo mnauchukia ukweli huwo kwasababu ya maslahi yenu binafsi.
gentleman,
binafsi naamini Mungu pekee na sio huo ushirikina na unafiki wa huyo mzee amabae kama taifa tunamuheshimu sana :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom