Kama ujambazi katika chaguzi zetu hauja Anza Leo Kwa hiyo hapaswi kutoa maoni? Na kama hakuwahi fanya anachofanya sasa marekebisho ya mfumo wetu wa chaguzi haupaswi kubadilika?Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
