Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Kama ujambazi katika chaguzi zetu hauja Anza Leo Kwa hiyo hapaswi kutoa maoni? Na kama hakuwahi fanya anachofanya sasa marekebisho ya mfumo wetu wa chaguzi haupaswi kubadilika?
 
Mnatetea matumbo tenu huku mkifurahia watu kuporwa haki zao na kuteswa mnasubiri mpaka muambiwe kuwa ninyi ni wauaji?
ni muhimu zaidi kulinda maslahi ya taifa,
na sio kuendekeza chuki na makasiriko dhidi ya mamalaka za serikali zilizopo kazini kutekeleza wajibu wao kikatiba.

uhasama wa dhuluma za fedha, mali na kumendea wake za watu, yakikutokea puani kwa vitendo huna haja kulaumu taasisi na mamlaka za serikali.

umeiba au kudhulumu cha mtu anaejibu ulichomdhulumu kwa vitendo,
unakuja kumbwelambwela mitandaoni eti ng'we ng'we ng'we, eti sijui amefanyaje huko na watu wasiojulikana, kumbe jitu limefumaniwa. that is useless :NoGodNo:
 
This time CCM wala wasimpuuze achukuliwe hatua kama mwana CCM yoyote akitoka hadharani na kukisema chama, CCM au chama chochote kina njia ya kukosoana na yeye kwa nafasi yake angeweza kufikisha ujumbe lakini kwa kuwa anatumika dhidi ya CCM inabidi awajibishwe. Yeye ningemuona wa maana angetoka na kusema kwa mwenendo huu mimi najivua uanachama wa CCM sababu sikubaliani na siasa hizi, yupo busy kutoka kuona CCM inaanguka na bado kabeba kadi ya chama. Huyu mzee ni wakati kupigwa chini mwacheni afe sura kakunja hakuna kumpa heshima yoyote kwenye mikutano au hafla yoyote piga chini acha akavae gwanda.
comrade,
well done
umegonga kwenye utosi kabisa wa wanafiki wengi mno humu jukwaani dah :pedroP:

utaskia yanavyokurupuka sasa kwa mihemko dhidi ya ukweli huo kama manyumbu vile:pedroP:
 
Mzee kwa sasa Kuhibu hizo hoja unahitaji akili kubwa.

Mfano anakwambia uchaguzi wa 2025 utakuwa mbaya kuliko huu wa mitaa 2024. Sababu utasimamiwa na watu wale wale.

Unamjibu vipi? Kama hakutakuwa na tume huru ya uchaguzi, katiba mpya?
Lakini tuende mbele turudi nyuma huyu mzee kwa sasa ni kama vile Biden us atelier asizalishe mitafaruku yy ni zao la serikali hii iliyopo kwa nn asiseme kipindi magufuli yupo na ǰe ni kwann w wakuu wengine kina pinda na sumaye wao wapo kimya hawayajui haya au ndio ujuaji bila kujitafatakari mm nimeguswa kutokana na kutabiri uchaguz ujao bora hata angeongelea past elections kama tufanyie weakness ili tuwe bora zaid mwisho na yy ni mjinga tu flani
 
Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Mkuu umeingia leo Tanzania? Ebu fuatilia vizuri press mbalimbali za Mzee Warioba hadi kipindi kile anakunjwa kwenye jukwaa la kudai Katiba Mpya pale Blue Pill Hotel.
 
Huyu mzee mwenye sura mbaya mnafiki sana na kama kweli anaongea ndani ya nafsi yake kitu cha kwanza alitakiwa kujivua uanachama wa CCM kuonesha hakubaliani na hiki chama tena. Kwanini CCM? unajuwa chama ni kundi la watu wenye itikadi moja sio mtu mmoja mmoja, yeye hajawahi kusifu chama chake japo chama wamejaribu kumuheshimisha sana kama waziri mkuu aliyepita na kada wa CCM ila bado chuki binafsi na kuendesha upinzani ndani ya CCM, haaminiki huyu sasa ni wakati ajivue uanachama au avuliwe. Huwezi wewe kutwa unamkosoa mke wako lakini upo tu kwenye ndoa, kama mtu hakufai muache. Unafiki wake ufike mwisho huyu mzee anachuki na zaidi watoto zake kupigwa chini kwenye vyeo huku akidhani ni haki yake watoto zake kupewa nafasi.
Kwa HERUFI KUBWA NAKUPONGEZA KWA KUANDIKA HASA MZIZI WA HUYU MZEE KUA MNAFIKI LEO NIMEPATA JIBU KILA MARA NILIKUA NAA ATTRIBUTES KITU GANI ANAJCHOFANYIA BIFU LEO NIMEKIPATA NA CCM WAMBANIE HV HV ANA LISURA KAMA NYARWANDA ANATAKA KUANZISHA CHOKO CHOKO HATA AKIONGEA UNAONA HASIMAMII ANACHOMAANISHA JIBU AJIVUE CCM KWANZA
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Umesahau Lucas Mwanshwamba
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Jamaa katupa jiwe gizan. lakni mtu limempata la uso anavumilia maumivu tu


Mimi naona yupo vizur anawambia namna gani mjipange vizuri zaidi uchaguzi mkuu
 
Siasa zetu zinaangalia mwezetu, ndugu, rafiki, kanda, kabila na yanayofanana na hayo kabla ya hoja yenye mantiki.
Chama chaweza kutumika kuitenga serikali na kinyume chake.
Hata hivyo, serikali haipo juu ya chama. Mzee mstaafu hawezi kutoka nyumbani kwake aitishe mkutano na waandishi wa habari bila kuwasiliana na kukubaliana na watu wengine.
Hoja zake zahitaji kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa.
Lakini hata hao aliokubaliana nao si wanaijua Katiba inasemaje ??!
😅😂😂

Tuliwaambiaga kwamba Katiba ndio mpango mzima muwe munawaelewa watu wanaosema hivyo. !

Katiba ni Msumeno ! Na kawaida ya Msumeno huwa unakata mbele na nyuma !

Kwahiyo watu wengine kundini wakifikiwa na Msumeno wajue hivyo ndivyo ilivyo !
Msumeno utaendelea tu na Kazi na kawaida yake ya kukata 😳🙄 !
 
Mtoa mada ameandika Kwa fasihi naona umeshindwa kumuelewa vyema
Umetukana bila kujua alichokuwa anamaanisha
Mtu yeyote anayetanguliza matusi badala ya kujibu/kujielekeza kwenye hoja, ni mgonjwa wa akili. Hata kama yeye atajiona yuko sawa. Na kwa bahati mbaya sana hapa JF wagonjwa wa akili wanazidi kuongezeka. Tunawatambua kutokana na maandishi yao.
 
Kwani huamini kama dunia ina mwisho?
Mzee anaongea ukweli japo mnauchukia ukweli huwo kwasababu ya maslahi yenu binafsi.

sio nyinyi ni yeye huyohuyo mzee anaembwelambwela hapo,

hana hoja, ana kinyongo, wivu na makasiriko tu.

Anachostahili huyo mzee cha maana zaidi ni kupuuzwa tu na kila mTanzania mzalendo.

nadhani mnafiki zaidi ni huyo manejaribu kumtetea ambae anastahili kupuuzwa na unafiki wake pamoja na ninyi..

halafu acha vichekesho gentleman :pedroP: eti dunia ina mwisho?:pedroP:
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Crap
 
Huyu mzee mwenye sura mbaya mnafiki sana na kama kweli anaongea ndani ya nafsi yake kitu cha kwanza alitakiwa kujivua uanachama wa CCM kuonesha hakubaliani na hiki chama tena. Kwanini CCM? unajuwa chama ni kundi la watu wenye itikadi moja sio mtu mmoja mmoja, yeye hajawahi kusifu chama chake japo chama wamejaribu kumuheshimisha sana kama waziri mkuu aliyepita na kada wa CCM ila bado chuki binafsi na kuendesha upinzani ndani ya CCM, haaminiki huyu sasa ni wakati ajivue uanachama au avuliwe. Huwezi wewe kutwa unamkosoa mke wako lakini upo tu kwenye ndoa, kama mtu hakufai muache. Unafiki wake ufike mwisho huyu mzee anachuki na zaidi watoto zake kupigwa chini kwenye vyeo huku akidhani ni haki yake watoto zake kupewa nafasi.
Nyie wengine huwa hamna wazazi? Hamkulelewa na wazazi? Wewe unaweza kuwa CCM kuliko Warioba? Muogope Mungu kijana. Weka heshima hata kidogo uepuke laana.

Anyway. Hongera sana umeweza mjibu Warioba. Umemshambulia vizuri kweli kama ambavyo tulitaka. Umtukane na kumshambulia kwa maneno makali. Haya sasa waambie watu wenye akili waingie kipengele cha pili. Wamjibu hoja zake. Ndani ya CCM wapo wenye akili huwa tu hatuwapi nafasi. Sisi kama wewe ndo tunapata nafasi sana. Na mimi kama Warioba hatupewi nafasi.
 
sio nyinyi ni yeye huyohuyo mzee anaembwelambwela hapo,

hana hoja, ana kinyongo, wivu na makasiriko tu.

Anachostahili huyo mzee cha maana zaidi ni kupuuzwa tu na kila mTanzania mzalendo.

nadhani mnafiki zaidi ni huyo manejaribu kumtetea ambae anastahili kupuuzwa na unafiki wake pamoja na ninyi..

halafu acha vichekesho gentleman :pedroP: eti dunia ina mwisho?:pedroP:
Tuendelee kumshambulia Mzee Warioba. Na angekuwa karibu hata tungempiga mawe. Tusiache mshambulia na kumtukana mpaka akome kuwa anaongea ukweli. Anatakiwa abadilike ajifunze kusema mitano tena.
 
Maandalizi yanaendelea kumjibu yeye na si kujibu hoja zake. Suala la hoja sidhani kama ni kipaumbele. Ila itabidi ajibiwe hakuna kumwacha hivi hivi.

Wapo vijana ambao hawajifikirii mara mbili mbili wakiambiwa wamjibu Mzee Warioba. Tunawafahamu. Wapo ni kupewa tu go ahead then wamwagie maji taka/matope.

Wazee kama Warioba wasiachwe kuzungumza hivi. Wanayajua mengi na wana uzoefu mkubwa. Kuwaacha hawa ni hatari. Wanaweza kuamsha akili za vijana. Kitu ambacho si kizuri kwa mustakabali wa Taifa hili.

Nashauri list ipangwe na ajibiwe kwa haraka asiwekwe sana kiporo. But kama kutakuwa na ushauri mwingine basi tumbagaze tu. Tumwache na uzee wake unaomjia vibaya. Badala ya kutulia anahangaika na hii nchi. Iliyojichokea.

Tupangeni list ya kumjibu. Hawa wasikosekane kama itampendeza mwenyekiti
1. Ali Hapi
2. Makonda
3. Chalamila
4. Vyama rafiki 14. Viandaliwe mkutano wa kujibu. Vilipiwe ukumbi na kupewa usafiri na posho
5. Uviccm

Na wengineo wenye uelewa unaofanana na hawa na haya makundi.
Kama vile nimekusoma mzee wa ujumbe uliojicha
 
Back
Top Bottom