Utaratibu ukoje iwapo mtu akifariki akaacha silaha kama Bunduki

Utaratibu ukoje iwapo mtu akifariki akaacha silaha kama Bunduki

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Habari wakuu.

Naomba kufahamu utaratibu ukoje iwapo ndugu yako akifariki na akaacha bunduki aliyokua anaimiliki kihalali, je inarudishwa wapi ama inaweza kuuzwa kwa mtu mwingine ama kurithishwa kwa mtu mwingine?

Natanguliza shukrani.
 
When next of kin akiwa “sound mind” ila kama ni mtambo wa gongo hapo utata![emoji28]
kabisa Mkuu😁, huwa kuna atua ya kuthibitisha soundness ya muhusika na mashahidi lazima wawepo wathibitishe huyu jamaa dish linashika,process ni ndefu
 
Unaichukua afu unaipeleka centre yeyote iliyo jilan.huku ukiwa umeishika vizuri kidole kikiwa kwenye trigger huku mtutu ukiwa umeelekeza mlango wa kuingilia central...mavazi jitahidi kuvaa yanayofanana fanana na ya chadeema hiv...utanishukuru baadae mkuu
 
Unaichukua afu unaipeleka centre yeyote iliyo jilan.huku ukiwa umeishika vizuri kidole kikiwa kwenye trigger huku mtutu ukiwa umeelekeza mlango wa kuingilia central...mavazi jitahidi kuvaa yanayofanana fanana na ya chadeema hiv...utanishukuru baadae mkuu
Hamzanaization itafuhata hapo[emoji28][emoji28]
 
Habari wakuu.

Naomba kufahamu utaratibu ukoje iwapo ndugu yako akifariki na akaacha bunduki aliyokua anaimiliki kihalali, je inarudishwa wapi ama inaweza kuuzwa kwa mtu mwingine ama kurithishwa kwa mtu mwingine?

Natanguliza shukran.
Waweza fanya mambo mawili Kati ya haya
1. Unaiuza kwa atakayeihitaji ( ukishauza unaikabidhi police wao ndo watampa mmiliki mpya baada ya yeye kupata kibali)
2. Unaimiliki wewe ( hapa ni lazima uirudishe police kisha uanze kufanya maombi ya kumiliki silaha)

I hope nimekujibu ulichotaka kujua
 
Polisi watakusaidia ukiwajulisha mapema
 
Umapeleka polisi pamoja na.kibali chake cha umiliki
Wanapokea kwa maandishi.Kama kuna mtu anayetaka kuridhi anafuata taratibu
 
Habari wakuu.

Naomba kufahamu utaratibu ukoje iwapo ndugu yako akifariki na akaacha bunduki aliyokua anaimiliki kihalali, je inarudishwa wapi ama inaweza kuuzwa kwa mtu mwingine ama kurithishwa kwa mtu mwingine?

Natanguliza shukran.

Taarifa kituo cha polisi alafu nadhani wilayani. Mnaweza kupewa kibali cha kuendelea kubaki nayo lakini itategemea sababu zenu.
 
Umapeleka polisi pamoja na.kibali chake cha umiliki
Wanapokea kwa maandishi.Kama kuna mtu anayetaka kuridhi anafuata taratibu
kiba tala mnamjua lakini....???akikaa upande ule atawatoa K O na maandish yenu
 
Back
Top Bottom