Utaratibu wa Chuo cha LITI Morogoro sio sawa kwa watoto maskini

Utaratibu wa Chuo cha LITI Morogoro sio sawa kwa watoto maskini

SOTI

Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
79
Reaction score
22
Ni mara kadhaa Sasa Chuo cha Wizara ya mifugo LITI Morogoro kimekuwa kinawafukuza wanafunzi ambao hawajamalizia ada ya semista ya Pili. Utaratibu huu ni kuwabagua kielimu hasa wanafunzi wanaotoka familia maskini. Watoto hawa wameskika wakimtaja mkuu wa Chuo kuwa kawambia kama hawana ada warudi nyumbani. Hali hii haikubaliki. Mamlaka husika fuatilieni hili. Hiki ni Chuo cha Umma
 
Lipa ada uliyopewa na mzazi wako kisha ukaila wewe acha mawenge humu.
 
Kila kitu/sehemu inautaratibu wake! Kama hawajalipa Ada ni haki yao kufukuzwa. Umaskini wao hauhusiki na taratibu za chuo. Ulitaka mkuu wa chuo afanye nini ikiwa hajalipa ada? Umaskini ni mbaya sana kila kitu unaona unaonewa!
 
Ni mara kadhaa Sasa Chuo cha Wizara ya mifugo LITI Morogoro kimekuwa kinawafukuza wanafunzi ambao hawajamalizia ada ya semista ya Pili. Utaratibu huu ni kuwabagua kielimu hasa wanafunzi wanaotoka familia maskini. Watoto hawa wameskika wakimtaja mkuu wa Chuo kuwa kawambia kama hawana ada warudi nyumbani. Hali hii haikubaliki. Mamlaka husika fuatilieni hili. Hiki ni Chuo cha Umma
Huduma za umma zina cost sharing pia.
Ulitakaje mkuu? iwe bure?
 
Ni mara kadhaa Sasa Chuo cha Wizara ya mifugo LITI Morogoro kimekuwa kinawafukuza wanafunzi ambao hawajamalizia ada ya semista ya Pili. Utaratibu huu ni kuwabagua kielimu hasa wanafunzi wanaotoka familia maskini. Watoto hawa wameskika wakimtaja mkuu wa Chuo kuwa kawambia kama hawana ada warudi nyumbani. Hali hii haikubaliki. Mamlaka husika fuatilieni hili. Hiki ni Chuo cha Umma
LITI au LITA? And So what?
 
Back
Top Bottom