- Thread starter
- #21
Namaanisha baada ya mahakana ya juu kujiridhishaUkikuanika mtu, ukampeleka mahakamani kisha akakushinda, atakufungulia kesi na utapaswa kumlipa mamillioni ya Shillingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha baada ya mahakana ya juu kujiridhishaUkikuanika mtu, ukampeleka mahakamani kisha akakushinda, atakufungulia kesi na utapaswa kumlipa mamillioni ya Shillingi.
Nashukuru kwa andiko lako. Niko makini na mambo yote japo umeniita mtu asiye na akili na hiyo ripoti nimeipitia. Naomba ujibu maoni yangu kwa AKILI.Siku ungeanikwa wewe kwa kesi ya kubambikiwa ndio akili zingekurudia, maana huna akili.
Ina maana hata Jana Rais kapokea report ya haki jinsi hujui chochote kinachoendelea?
Kuna watu hamna matumizi na ubongo.
You are better than thisWanaoanikwa ni watoto wa maskini, maharamia maarabu yanalindwa tena kwa kodi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikusema jesu ya kubambikiwa . Namaanisha kosa halisi lililothibitika mahakamaniSiku ungeanikwa wewe kwa kesi ya kubambikiwa ndio akili zingekurudia, maana huna akili.
Ina maana hata Jana Rais kapokea report ya haki jinsi hujui chochote kinachoendelea?
Kuna watu hamna matumizi na ubongo.
Nimeuliza kuhusu MHALIFU siyo MTUHUMIWAUle ulikuwa ni utaratibu haramu kwa 100%. Polisi wakimkata mtu, huyo ni mtuhumiwa, wampeleke mahakamani huko polisi na mtuhumiwa wataanikana hadharani.
Hahahaha nimekuelewaNdipo hapo ninaposimamia mimi. Kama mahakama haijathibisha kosa haifai kumwanika mtu kama mkosaji. But what if mahakama imethibitisa?? Watu hawa waanikwe hadharani iwe adhabu yao ya milele.
Naona umeshindwa zuwia chuki kwa mwarabu,umebanabana Kama ushuzi ukweni Sasa unakutoka tu!!.. mwarabu asingekua muislam usingekua na chuki hivyoWanaoanikwa ni watoto wa maskini, maharamia maarabu yanalindwa tena kwa kodi zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Better be not for the sake of my beloved Tanganyika[emoji419][emoji375]You are better than this
Basi andamana kuonesha uzalendoBetter be not for the sake of my beloved Tanganyika[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweza kuzimia, Wezi wengine ni viongozi wetu, leo yupo jukwaani kesho yupo na genge la kuwaibia watanzania rasilimali!Kwa nini utaratibu uliondolewa?
Kaa ukijua pia sio Kila murabu ni muislamNaona umeshindwa zuwia chuki kwa mwarabu,umebanabana Kama ushuzi ukweni Sasa unakutoka tu!!.. mwarabu asingekua muislam usingekua na chuki hivyo
Sorry brother huwa sipangiwi cha kufanya! Na uzalendo si lazima kuandamana...!Basi andamana kuonesha uzalendo
Nimesema mahakama ya JUU ikimkuta ana HATIAHalafu baadae mahakama inampata hana hatia, hizo fidia analipa nani
Akistaafu na utaratibu unakufa??Ulikua utaratibu wa afande Giles Muroto na alistaafu nao.