Utaratibu wa kuandika barua ya posa

Duh

Hadi barua za posa zipo mtandaoni

Heri yetu sie tulofunga ndoa enzi za ujima
 
Hahahahahaha aiseeee kumbe siku hizi habari ya kutuma wazee hakuna tena?
 
Safi sana, ukichukua pumba na mchele uliochanganyika humu, unachambua unapata bonge la barua
 
Aisee longi taimu sana, hata nimeshangaa coment yangu hapo juu.
 
Barua syo lazima.
Bint atoe taarifa kwa wazaz siku unayokuja kutoa hyo posa kushnei.unamtambulisha bint kwenu naye anakutambulisha kwao .posa zinaelekea kupitwa na wakati.
 
Barua syo lazima.
Bint atoe taarifa kwa wazaz siku unayokuja kutoa hyo posa kushnei.unamtambulisha bint kwenu naye anakutambulisha kwao .posa zinaelekea kupitwa na wakati.
Wewe ndio umepitwa na wajati, huna unalolijuwa.
 
Wewe ndio umepitwa na wajati, huna unalolijuwa.
Hizo style za barua ya posa ninakama mda mrefu cjashuhudia.nishaparticipate process za watu wengi tuu.
Barua haina umuhimu wowote ule may b vijijn.
 
Hakuna watu wazima, wazee huko unakoishi


Mimi nina swali, Je, unaanza na msichana au wazazi? Yaani nani anakubali kwanza? Na Je, anayekutuma kwa Wazazi ni msichana wako au wewe mwenyewe unaamua tu kwenda bila ya yeye kukwambia ufanye hivyo?
 
Mimi nina swali, Je, unaanza na msichana au wazazi? Yaani nani anakubali kwanza? Na Je, anayekutuma kwa Wazazi ni msichana wako au wewe mwenyewe unaamua tu kwenda bila ya yeye kukwambia ufanye hivyo?
Sasa kama msichana hajakubali utapeleka posa?!
 
Sasa kama msichana hajakubali utapeleka posa?!


Hapo sasa ndiyo patamu! Sasa hiyo barua ya nini kama shori ameshakubali tayari? Kwani hawezi kuwaambia wazazi wake kama amepata mchumba ?
 
Hapo sasa ndiyo patamu! Sasa hiyo barua ya nini kama shori ameshakubali tayari? Kwani hawezi kuwaambia wazazi wake kama amepata mchumba ?

Inaonekana huna mtoto wa kike au kama unaye, au kama unaye je utakubali achukuliwe kihuni, upigiwe simu na binti yupo getho kwa mchumba, kama ni mahari wazazi italetwa!

Barua ni kutimiza formality mkuu, barua inasomwa mbele ya akina shangaz na mjomba wawe mashahidi pia, binti anaulizwa mara mbilimbili anakubali kuposwa na fulani anasema ndio. Watu wanakunywa na kula kidogo kama hali inaruhusu. Ndio siku rasmi ya mchumba kujulikana kwa upande wa mwanamke.

Siku ya posa, upande wa mwanaume wanatajiwa mahari ni kias gani , wanakwenda kujipanga wanaleta mahari.
 
Hizo style za barua ya posa ninakama mda mrefu cjashuhudia.nishaparticipate process za watu wengi tuu.
Barua haina umuhimu wowote ule may b vijijn.
Ndoa za vigodoro barua sangapi zoba?
 
Jaman mambo vipi, tarehe 30.12.2016 natakiwa kupeleka barua ya posa ukweni. Naomba msaada wa namna inavoandikwa. Seriously indeed.
====
 
Kwa familia ya JamiiForums,

Mimi Mwambadog, mtoto wa mzee Dog, ukoo wa Tanzania. Nimemuomba mzee Mwanza, kama mshenga wangu kufikisha ombi langu hili kwako.

Nimevutiwa na kupendezwa na mtoto wako, Kidawa binti chapati, ninaomba unipatie awe mke wangu wa ndoa kulingana na imani yetu.

Nimeridhika na tabia zake, kutokana na malezi bora uliyomlea kwa uzuri zaidi. Ninaomba mzee wangu, unikabidhi awe mke wangu wa ndoa.

Nasubiri kusikia kutoka kwako/kwenu ili kanuni na taratibu za kidini/kimila ziweze kutimizwa kama utanikubalia mzee wangu.

Natanguliza shukurani zangu kwako kwa dhati kabisa.

Ni mimi,

Mwambadog
 
Umesaidia wengi. Nami nikiwemo. Barikiwa sana mkuu.
 
Nami nimejifunza japo nimekatshwa tamaa na kuoa
 
Kaka umesaidia sana.. sio mtoa post tu... bali hata mm.. ngoja nifanye mipango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…