DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Ukishatafuta usisahau kufanya kama Hakimi usije kulia, maana wataanza ooh mama wa nyumbani nae ana mchango wake kwa kufanya kazi za nyumbani...we piga lock kila chenye thamani kwako as much as you can.Hawa wanawake wa siku hizi kwann mnahangaika nao katika kutafuta maisha?! Wewe tafuta maisha akija akukute nayo.
Mabinti wa siku hizi hawana discipline na wanajiona wajuaji na wanapenda sana kujiandaa kwa shari.