Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 515
- 1,410
Hivi wanakubali kweli kuhamisha. Maana taasisi X unakuta mshahara ni mdogo kuliko taasisi Y. Au mm sijaelewa hapa.? Naweza nikatoka ofisi ya maliasili nikahamia tpdc bila kufanya interview huko tpdc. Maana kila taasisi inamfumo wake, vinginevyo itangazwe ajira uombe, ukipata kazi uteme bungo la kwanza then uhamie hiyo taasisi mpya. Waajiri wengi ukishamtonya nataka nihamie taasisi fulani atakuitikia ndio ndio (safi sana hayo ndio mawazo ya kimaendeleo kijana wangu) gues what, haipiti wiki linakuja bonge la waraka wa Yohana mbatizaji kwa bosi wa mkoa Huku likipambwa na muhuri was SIRI KICHWA CHA HABARI CHAKE SASA ( KWA WATUMISHI WOTE) nimarufuku kuomba Kazi taasisi nyingine. Hapo lazma ujiulize kwa nn niliropoka.