Utaratibu wa kuhama kwa Watumishi wa umma kwenye mashirika ya umma ukoje?

Utaratibu wa kuhama kwa Watumishi wa umma kwenye mashirika ya umma ukoje?

Gambino
Hapa naona mnalishana matango pori! Hakuna horizontal transfer katika mashirika ya umma. Horizontal transfers zinawezekana katika idara za serikali, yaani mtu unaweza kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa. Au kuhama kutoka serikali kuu kwenda shirika linalifanya kazi moja kwa moja na wizara inayohusika kwa mfano kutoka DAWASA kwenda wizara ya maji au Chuo cha maji.

Mashirika mengi ya umma ni autonomous yanajitegemea kwa kwa kila kitu. Mtu hawezi kuhama kutoka UDSM kwenda TANESCO isipokuwa kama nafasi ya kazi itatangazwa na wewe kuiomba na kuchaguliwa. Mashirika ya umma yana salary scheme zinazotofautiana, kwa hiyo ukiajiriwa katika shirika lingine unaanza ajira upya na hakuna muendelezo wa ajira ya shirika lako la mwanzo.
Je baada y kupata nafasi TANESCO kupitia interview, taratibu zipoje ili uweze kutoka UDSM kwenda TANESCO.
 
Je baada y kupata nafasi TANESCO kupitia interview, taratibu zipoje ili uweze kutoka UDSM kwenda TANESCO.
Sasa mbona unasema umepata nafasi huko TANESCO?
Ok omba hiyo nafasi kama ulivyofanya lakini hakuna horizontal transfer!
 
Sasa mbona unasema umepata nafasi huko TANESCO?
Ok omba hiyo nafasi kama ulivyofanya lakini hakuna horizontal transfer!
Hapana kaka sijapata, nmeuliza swali kutokana na mfano uliotoa wa kutoka UDSM kwenda TANESCO. But nlifanya interview TANESCO matokeo hayajatoka bado.. Pia sikupitisha application letter kwa mwajili wangu wa sasa, nlitakau kujua utaratibu in case niki pass interview.
 
Hapana kaka sijapata, nmeuliza swali kutokana na mfano uliotoa wa kutoka UDSM kwenda TANESCO. But nlifanya interview TANESCO matokeo hayajatoka bado.. Pia sikupitisha application letter kwa mwajili wangu wa sasa, nlitakau kujua utaratibu in case niki pass interview.
Kama hukupitisha barua kwa mwajiri wako wa sasa itatafsiriwa kuwa unataka kutoroka na hivyo kukupunguzia points za kupata ajira mpya! Recommendations za mwajiri wako wa sasa ni muhimu sana na hasa unapohama kutoka shirika moja la umma kwenda lingine. Hivyo chances za ku-pass ni ndogo sana kwa kuwa pamoja uhitaji wa TANESCO mtaalam kama wewe lakini watakuwa na mashaka kuhusu uaminifu wako!

Kwa kifupi utapata hiyo ajira endapo una Godfather au umetoa rushwa!
 
Kama hukupitisha barua kwa mwajiri wako wa sasa itatafsiriwa kuwa unataka kutoroka na hivyo kukupunguzia points za kupata ajira mpya! Recommendations za mwajiri wako wa sasa ni muhimu sana na hasa unapohama kutoka shirika moja la umma kwenda lingine. Hivyo chances za ku-pass ni ndogo sana kwa kuwa pamoja uhitaji wa TANESCO mtaalam kama wewe lakini watakuwa na mashaka kuhusu uaminifu wako!

Kwa kifupi utapata hiyo ajira endapo una Godfather au umetoa rushwa!
Daa, nmeishiwa nguvu
 
Akimaliza hapo, ile Barua yake aliyoiandika kwenda Taasisi X atajibiwa (coz alishaomba nafasi wakamruhusu!

Majibu yatatolewa kwa Maandishi (barua) kwenda kwa Mwombaji na Copy kwenda kwa Mwajiri.

Mwombaji ukishapata barua yako kutoka Taasisi X kuwa Umekubaliwa kuhamia... Utaandika Barua kwenda kwa KTB MKUU UTUMISHI ukimuomba kuhamia Taasisi X. Barua hii itapitia tena kwa Mkuu wako.

Safari hii barua hii itaambatana na ile ilotoka Taasisi X.

Pia barua hii itakuwa na ATTACHMENTS zingine zote zinazohusu UTUMISHI wako ukiweza weka na report ya UHAKIKI.

Barua hii unaweza kutuma kwa POSTA japo ni vzr uipeleke mwenyewe physically MTUMBA, MTAA WA SERIKALI au UTUMISHI UDOM. Kwenye barua yako usisahau kuweka sentensi hii: GHARAMA ZA UHAMISHO HUU NI JUU YANGU.

Utumishi wataingiza Maombi yako ktk mfumo wao wa kielektroniki na wewe utapata SMS kuwa maombi yako yamefika.

Muda wa kushughulikiwa maombi yako ni siku 21 na baada ya hapo ruksa kuanza kuulizia status ya Maombi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemalza Kila ktu
 
Wakuu.
Je ni kosa kwa mtumishi wa umma wa shirika la serikali X (mfano NHIF) kuandika barua kwa Katibu Mkuu Utumishi kuomba kuhamishiwa Taasisi nyingine ya serikali bila kuitaja kutokana na changamoto fln?

Mfano:

Mimi mtumishi X wa Taasisi Y naomba kuhamishiwa Taasisi nyingine ya serikali kutokana na changamoto ABC
 
Hapana kaka sijapata, nmeuliza swali kutokana na mfano uliotoa wa kutoka UDSM kwenda TANESCO. But nlifanya interview TANESCO matokeo hayajatoka bado.. Pia sikupitisha application letter kwa mwajili wangu wa sasa, nlitakau kujua utaratibu in case niki pass interview.
Kuchaguliwa kwenye hiyo post mpya inawezekana asilimia 100. Ila shida itakuja kwenye transfer.

Kwa kuwa mwanzoni hukupitisha barua kwa mwajiri wako anaweza kukukatalia kuhama.
 
Kuchaguliwa kwenye hiyo post mpya inawezekana asilimia 100. Ila shida itakuja kwenye transfer.

Kwa kuwa mwanzoni hukupitisha barua kwa mwajiri wako anaweza kukukatalia kuhama.
Tatizo ukipitisha barua kwao kuna kaurasimu flani ivi, inaweza chukua ata wiki tatu wasiisaign, mpaka deadline ya kufanya application inapita.
 
Back
Top Bottom