Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Gharama za uendeshaji ni kubwa, kuliko mapato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 tatizo kakianguka halafu ndio safari ya 2 tuMapilot mbona wengi tu [emoji1]
Anawapata,kuna tajiri yangu mmoja
Alikuwa myahudi anaitwa malapa
Ah tulikuwa tunapuyanga sana na kadege kake tanzania hii
Parking fee kwa 12hrs ilikuwa 2000 kwa ndege za ndani
Ila za nje $5 kwa 12hrs,service na bima kdg ndy ilikuwa imechangamka
Hapo ujipqnge kdg...ila kama mtu uko na mipango ndege mbn unaimiliki kama ist tu [emoji1]
Ova
Sina uhakika kama ni Tanzania pekee ndiyo kuna watu wa aina hiyo, ila nakubali kuwa baadhi ya Watanzania wana mitazamo hasi sana inapotokea mtu anataka kufanya kitu ambacho wao hawajakifanya. Ni tofauti na kwa baadhi ya Mataifa. Huwa naingia mara chache baadhi ya mitandao ya Kimataifa, kama Reddit na Quora (japo nimejiunga hivi karibuni tu). Mijadala yao ni mizuri sana . Wako very serious. Kwa nyuzi chache nilizozifuatilia, ni nadra sana watu kujibu kwa kukejeli. Anajitahidi kujibu mpaka unaona kabisa huyo mtu kajibu kwa uwezo wake wote.Tanzania ndio nchi pekee watu wanapinga hadi ndoto za watu.
Mtu kaulizia bei tu raia zinampiga spana na kumwambia hana pesa ya kununua ndege😃
Hata malori yanapata ajali. Lakini pia, inaaminika usafiri wa ndege ndiyo ulio salama zaidi kuliko wa magari.😆 tatizo kakianguka halafu ndio safari ya 2 tu
Acha nindelee na malori tu
Kweli ila naongelea in terms of insuranceHata malori yanapata ajali. Lakini pia, inaaminika usafiri wa ndege ndiyo ulio salama zaidi kuliko wa magari.
Au anaweza kupiga course yeye mwenyewe akaendesha kupunguza gharama , ndege ndogo na chopper hazina ugumu wowote ni kupiga course Tu,kupata leseni then unarusha chumaMapilot mbona wengi tu [emoji1]
Anawapata,kuna tajiri yangu mmoja
Alikuwa myahudi anaitwa malapa
Ah tulikuwa tunapuyanga sana na kadege kake tanzania hii
Parking fee kwa 12hrs ilikuwa 2000 kwa ndege za ndani
Ila za nje $5 kwa 12hrs,service na bima kdg ndy ilikuwa imechangamka
Hapo ujipqnge kdg...ila kama mtu uko na mipango ndege mbn unaimiliki kama ist tu [emoji1]
Ova
Tuliambiwa Sekondari kuwa mtu anayeweza kusoma "udereva" wa ndege lazima awe "mkali" wa Hesabu na Geography. Kwa hilo unasemaje?Au anaweza kupiga course yeye mwenyewe akaendesha kupunguza gharama , ndege ndogo na chopper hazina ugumu wowote ni kupiga course Tu,kupata leseni then unarusha chuma
Hamna kitu kama hichoTuliambiwa Sekondari kuwa mtu anayeweza kusoma "udereva" wa ndege lazima awe "mkali" wa Hesabu na Geography. Kwa hilo unasemaje?
Aisee!Maisha haya sio kabisa
Hapa nawaza pikipiki niachane na baiskel
Gari najua sio kwa upande wangu
Ajabu kuna mpuuz anawaza ndege
Munguweeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi natamani sana kujua "kuendesha" ndege.Hongera sana kwa kuwaza hilo.
Zipo used ambazo utapata kuanzia 200m.
Ikiwa nje sasa mengine piga hesabu zako.
Au kusanya ununue mpya tu na ukihitaji pilot naweza kuchukua license nikawa naendesha 😄
Kuna LAPL ambayo ni light aircraft zile ndogo zisizozidi tani 2 uzito na kupata license lazima ukamilishe masaa 30 ya kuendesha na mafunzo piaNa Mimi natamani sana kujua "kuendesha" ndege.
Mafunzo ya kurusha ndege ndogo huchukua muda gani?