Utaratibu wa kupewa HISA

Utaratibu wa kupewa HISA

political Engineer 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
295
Reaction score
792
Habari wana jamvi

Rafiki yangu ana kampuni Ina miezi kama 8 tangu ianzishwe, imeshafanya tenda kadhaa za serikali. Kutokana na kupata tenda zinazohitaji mtaji mkubwa na yeye hana mtaji ameamua kutaka kuniunganisha Mimi na mwenzangu mwingine tuwe wakurugenzi pia.

Je inawezekana kuzivuruga HISA za kampuni zake ili tuanzie kuzigawa upya au taratibu zikoje?

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom