political Engineer 2
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 295
- 792
Habari wana jamvi
Rafiki yangu ana kampuni Ina miezi kama 8 tangu ianzishwe, imeshafanya tenda kadhaa za serikali. Kutokana na kupata tenda zinazohitaji mtaji mkubwa na yeye hana mtaji ameamua kutaka kuniunganisha Mimi na mwenzangu mwingine tuwe wakurugenzi pia.
Je inawezekana kuzivuruga HISA za kampuni zake ili tuanzie kuzigawa upya au taratibu zikoje?
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Rafiki yangu ana kampuni Ina miezi kama 8 tangu ianzishwe, imeshafanya tenda kadhaa za serikali. Kutokana na kupata tenda zinazohitaji mtaji mkubwa na yeye hana mtaji ameamua kutaka kuniunganisha Mimi na mwenzangu mwingine tuwe wakurugenzi pia.
Je inawezekana kuzivuruga HISA za kampuni zake ili tuanzie kuzigawa upya au taratibu zikoje?
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app