Utaratibu wa kutoa talaka upoje?

KAMA NDOA YENU ILIKUWA YENYE BARAKA ZA MUNGU BASI NA KUACHANA KWENU NI MACHUKIZO KWA MUNGU.
NDOA ZA MKE ANAYEWAJUA WANAUME WENGI, MUME ANAYEWAJUA WANAWAKE WENGI, HIZO SIO ZA KIMUNGU.HAZINA BARAKA WALA UTUKUFU KIASI HATA KUACHANA KWENU WALA SIO CHUKIZO KWANI HAZITAMBULIKI.HIVI KWANI HAO WANAOFUNGISHA NDOA, WANA UTAKATIFU GANI?

KUNA WATU WANAISHI PAMOJA LAKINI WALIISHA ACHANA MIAKA MINGI.
SHERIA ZA NDOA LAZIMA ZIBADIRIKE KWENDANA NA MABADIRIKO YA DUNIA.
 
Kah! Jamani!!

Huko kwa Mungu tutafika tukiwa tumechoka sana!

Naendelea kujifunza Kwamba sio VIZURI kufunga ndoa na kama unafunga ndoa funga uzeeni kabisaaa huna cha kupoteza!
 
Niwashauri wote waislam kwa wakristo kabla hatujaoa kwa uchache tujifunze habari za ndoa na hukmu zake kulingana na dini zetu inasaidia kidogo


Nirudi kwa mleta mada, swala la talaka hilo ni swala la kisharia(elimu) sio rahisi kama unavyozani kupata mafuhumu yake jamiiforums...sio kwamba na underrate nguvu ya social media! Hapana naelewa nafasi ya mtandao katika dunia ya sasa ila kuna baadhi ya mambo hutoyapata kihakika yake kupitia huko

Jambo likishakaa kisharia tena za dini basi huwa ni vizuri kuwaona wajuzi mkaliongea

Kwa elimu yangu nijuavyo Mimi talaka za kiislam hayo mambo ya bakwata sjui wapi hayo yamekaa kiserikali zaidi na kugawana mali labda ili vipatikane vithibitisho vitakavyotumika huko mbele ila talaka ya kiislam ukimshamtakia mkeo kuwa umemuacha iwe ni masikhara utani au serious hiyo talaka mbele ya mwenyezi imepita maadam usiwe umetokwa na akili

Msipende kuuliza maswala muhimu kienyeji jamani viongozi na wa dini na wasomi wa dini wapo kwaajili yetu humu ukiuliza masiala ya dini kumbuka hujui hata unaeamiliana nae ana elimu gani

Ila talaka pia hakikisha iwe sababu inajuzu ihofie nafsi yako isije ukawa una mdhulumu mwenzio..talaka ni halali inayomchukiza mwenyezi mungu (though this is claimed to be maudhui)

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hili la wake washirikina ni tatizo kubwa hasa kwa wanawake waliotoka kwenye familia zenye kuamini ushirikina. Kuna sababu nyingi za wanawake kuendea waume zao kwa waganga na moja ambayo inaniacha hoi ni yua kutaka eti mume awe chini ya masharti ya mwanamke, yaani mwanamke awe ndiye msemaji wa mwisho hasa kwenye mambo ya fedha. Pia awe na uhuru wa kutoka atakavyo na pia kuchepuka. Mimi huwa siamini kwenye ushirikina hata kidogo na nina uhakika hakuna dawa inayoweza kumpumbaza mwanaume. Nachoogopa ni kulishwa uchafu au sumu kwa sababu waganga wanatoaga maagizo ya tata sana. Mke anaweza kuambiwa aingize kipande cha nyama kwenye sehemu ya haja kubwa kilale ndani halafu kesho yake akiunge vizuri na mboga, ampe mume.
 
Je, kama mume na mke akienda kwa pamoja na kusema wameamua kuachana kwa amani kwani wameona ndoa yao ina misukosuko sana?
 
Habari hizo ni nadra sana kuzisikia na ni matokeo ya wanaume wasio na akili kuoa
Mwanaume asiye na akili hatakiwi kuoa.
Kuoa kunahitaji mwanaume mwenye akili sio jinga jinga.Hayo majinga jinga ndio huua
Kwako wewe kipimo cha akili ni uwezo wa kuishi na mke, wakati vichaa tunaona wanazaa.

Akili ni kutafuta hela, Kuna mchungaji, anasema pesa, hupati kwa maombi bali, pesa hupatikana kwa jasho. Mungu huombwa kibariki jasho lako.

Nimekuonyesha pesa inavyohitaji Akili kuipata.
 
Talaka sio lazima kuandika kama ni muislam mwite majina yake matatu na umwambie kuwa kuanzia leo wew si mke wangu kisheria na Sunnah kwa mujibu wa mafunzo yenu .
 
Kwenye bibilia mahali inatakiwa ya garama gani, ili Mungu aibariki ndoa.
 
Kabla ya kuleta vitu humu uwe na utaratibu wa kuomba ushauri si kila linalo kukwaza unaleta humu. Sasa subiri upewe unacho hitaji.
 
Inaonekana kama unataka kususa ndoa kutokana na maudhi flani. Vaa uanaume mdogo wangu mnyooshe huyo kiumbe we ndio kichwa
 
Tatizo lako umeshindwa kuelewa hiyo sheria inasimamia ndoa za kiserekali zinazo fungwa bomani.

Nifunge ndoa ya kidini, au kimila, hata bila kuarifu derikali leo, tunataka kuachana idhini mpaka waitoa wao. ndoa za kidini na kimila taratibu za kuacha zipo ndani ya dini na mila husika. Ndiyo maana hakuna alieshitskiwa kuachana na mkewe bila kupitia mahakamani.
 
Ila mila,bomani,dini hati hutoka serikalini kama kuhalalisha uwepo wenu kama mume na mke. Ili mmoja akizingua haswa upande wa mali serikalini husimamia mgawanyo wa mali. Tanzania haina dini ila raia wake wanaruhusiwa kuwa na imani zao tofauti tofauti.
 
Talaka ukitamka tu tayari hiyo,kuandika ni kumpa ushahidi kwamba kaachika,we andika tarehe na dhumuni,Ila utaratibu eda inabidi akae kwako na umuhudumie bila kummmttombba,isipokua Kama ulimkamata akifanya uchafu
 
Akili ni nini!?
 
Kwenye bibilia mahali inatakiwa ya garama gani, ili Mungu aibariki ndoa.
NDUGU WEWE OA KWA MKEKA MAHALI ELFU 20 NDOO YA MAANDAZI NDOO YA CHAI.

ILA MKIJA KUACHANA MSITUCHOSHE KUTOA USHAURI, MTU UNAOA GHARAMA JUMLA LAKI MOJA NA ELFU MBILI, SASA HIYO NAYO NI YA KUKUTESA.KUVUNJA NDOA? UNA MAUMIVU GANI? ULITUMIA GARAMA GANI?

HII NDO SABABU MNAACHANAGA KWA SMS YA 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…