Bravo Mike
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 548
- 631
Kiislam .
Andika barua kwa mkono wako.
Mimi fulani bin fulani , nikiwa na akili zangu timamu , na bila ya kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yoyote , nimeamua kukutaliki fulani binti fulani , hivyo kuanzia leo hii tareh...... wewe sio mke wangu wa ndoa.
Nakutakia maisha mema.
Jina na saini yako.
Mashahidi wawili ,
Majina yao na saini zao.
Halafu piga photocopy , original mmkabidhi yeye, copy moja mkabidhi babamkwe au walii wake ( sio lazima lakini ), copy moja ibaki kwako.
Kazi imekwisha.
Kama anaishi nyumbani kwako , akae hapo mpaka kipindi cha eda ya talaka iishe ndio anaondoka.
Ukimuingilia kwa tendo la ndoa kabla kipindi cha eda kuisha , talaka inakufa , ila itahesabika talaka moja tayari.
Andika barua kwa mkono wako.
Mimi fulani bin fulani , nikiwa na akili zangu timamu , na bila ya kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yoyote , nimeamua kukutaliki fulani binti fulani , hivyo kuanzia leo hii tareh...... wewe sio mke wangu wa ndoa.
Nakutakia maisha mema.
Jina na saini yako.
Mashahidi wawili ,
Majina yao na saini zao.
Halafu piga photocopy , original mmkabidhi yeye, copy moja mkabidhi babamkwe au walii wake ( sio lazima lakini ), copy moja ibaki kwako.
Kazi imekwisha.
Kama anaishi nyumbani kwako , akae hapo mpaka kipindi cha eda ya talaka iishe ndio anaondoka.
Ukimuingilia kwa tendo la ndoa kabla kipindi cha eda kuisha , talaka inakufa , ila itahesabika talaka moja tayari.