Utaratibu wa ndoa yangu

Hata maajuza wanakuwaga na nyege wakikutana na mtu sahihi.

Na pengine miaka yote unang'ongw'a. Ukirudi na biti lako na mikwara mwenzio anakucheka kijicho pembe keshakamuliwa vizuriπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Kwani nimemkataza asifanye ivo
 
Kuna vitu unaweza kusema unafnya kwa maamuzi yako kumbe ni ishu za inheritance...je faza yupo hivo..?

Au haka katabia umeanza nako weweb
Wewe ni mwanaume bwege mwanamke inatakiwa umudhibiti hamuoni jamii za kiarabu zinavofanya
 
Wewe ni mwanaume bwege mwanamke inatakiwa umudhibiti hamuoni jamii za kiarabu zinavofanya
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Simi sihoni sasa....
Kwanini wewe umehona..??

Wewe kwanza umehoha .?
 
Le
Labda umzindike kama ni kuchapiwa tu,utachapiwa
Lengo amheshimu kama mume (awe kama mwanamke alie kwenye ndoa) hayo mengine majaliwa , Ke akiamua kugawa atagawa na huwezi jua hata umfungie ndani
 
na bado anachepuka
 
Ma
Tushazoea mfumo wetu usituombee mabaya
Siwaombei mabaya.
Labda kama huyo binti yupo hivyo tangu mwanzo lakini kama umembadilisha kuwa hivyo utakuja tu kupigwa na kitu kizito.
Kwasababu wanaume kama nyie ukiachia mbali hayo masharti yenu huwa ni wakatili, wanyanyasaji,washamba, smarty- pants (much know), wasioshaurika na mtu yoyote. Ipo siku bidada atachoka na hutaamini macho yako.

Kiufupi ni rahisi kuboreka kuishi na mtu kama wewe maana hamjui kuonyesha mapenzi, mna mapenzi ya kijeshijeshi mkiamini ya kwamba mnajenga kumbe mnabomoa.

Siku huyo mke wako atapata chance ya kuwa huru hata kwa siku moja akakutana na muhuni(tena wa jf) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Yajayo yanafurahisha.

Kila la kheri.
 
Shem mke wangu simkatili, anaishi maisha anayistahili kuishi mwanamke. Anakula vzr, ana nyumba nzuri, usafiri forester ya kutembelea. Lkn utaratbu wa ndoa ni lazima kufatwa. Hii ni ndoa sio mapenzi
 
Shem mke wangu simkatili, anaishi maisha anayistahili kuishi mwanamke. Anakula vzr, ana nyumba nzuri, usafiri forester ya kutembelea. Lkn utaratbu wa ndoa ni lazima kufatwa. Hii ni ndoa sio mapenzi
itakuwa hata humtombi vizuri nakwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…