Utaratibu wa ndoa yangu

Utaratibu wa ndoa yangu

Yaani!!?hapo unalinda uke ambao Amekua nao miaka mingi kabla ya kuwa na wewe!!?

Mwache huru TU coz wanawake wote wanafanana !wote wanatoa penzi pale unapofika bei anayoitaka iwe ni ndoa au kahaba anaejiuza au mdangaji!wote Wana bei yao hasta huyo utakaemuoa ana Bei yake ndio hiyo iliyomfanya akaishi na wewe!!!!!

Hawa viumbe Wana Bei Yao mkuu ukifika unamchukua hata ndoa ni bei kama bei nyingine Ile na akichoka atafika bei pengine!
 
Sema huyo dada ulimkuta hivyo ukaendeleza na mengine, hongera Kwa kupata mke aso na mambo mengi as long as she is happy it's okay.
Haya turudi 😃Amadala niache kimini Leo itakuwa ngumu
 
Hapa Kama ndoa sio utumwa Ni nin?

#kataandoa
 
Yaani!!?hapo unalinda uke ambao Amekua nao miaka mingi kabla ya kuwa na wewe!!?

Mwache huru TU coz wanawake wote wanafanana !wote wanatoa penzi pale unapofika bei anayoitaka iwe ni ndoa au kahaba anaejiuza au mdangaji!wote Wana bei yao hasta huyo utakaemuoa ana Bei yake ndio hiyo iliyomfanya akaishi na wewe!!!!!

Hawa viumbe Wana Bei Yao mkuu ukifika unamchukua hata ndoa ni bei kama bei nyingine Ile na akichoka atafika bei pengine!
Maana yangu sio asitoke nje ya ndoa ila utaratibu wa ndoa ubaki kuwa wa ndoa
 
Mara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi

Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.

Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.

Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.

Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.

Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.

Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.

Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Mzee unateseka sana physiology isee..
 
Mzee wangu, mabaradhuli wakiamua yao hata umpake masizi watammbato tu huyo mkeo.

Halkadhalika na mkeo akiamu kumbwato hata umuwekee kufuli ya papa, atakishatombe tu.

Epuka kumuwekea mkeo nidhamu ya uoga maana hapo ndio unamtia ununda, siku akipata muha mwenye maneno matamu umekwisha.
Itoshe kusema huwaelewi wanawake. Ungekuwa mjanja ungemuuliza amewezaje kufanikiwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom