NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
La moyo wako lipo linakusoma hapaMie naomba Mungu anipe hitaji la moyo wangu
Hapa hapana wengi wameoa wengine wanastress , wengine wanafiki wengine wamechoka maisha wanatak malaikaLa moyo wako lipo linakusoma hapa
😅😅😅😅😅 duu nimechoka tu baada ya kusoma huu uziKuna mambo ukifanya inaonesha malezi uliyopitia mkuu
Maana yangu sio asitoke nje ya ndoa ila utaratibu wa ndoa ubaki kuwa wa ndoaYaani!!?hapo unalinda uke ambao Amekua nao miaka mingi kabla ya kuwa na wewe!!?
Mwache huru TU coz wanawake wote wanafanana !wote wanatoa penzi pale unapofika bei anayoitaka iwe ni ndoa au kahaba anaejiuza au mdangaji!wote Wana bei yao hasta huyo utakaemuoa ana Bei yake ndio hiyo iliyomfanya akaishi na wewe!!!!!
Hawa viumbe Wana Bei Yao mkuu ukifika unamchukua hata ndoa ni bei kama bei nyingine Ile na akichoka atafika bei pengine!
Sawa shem😅😅😅😅😅 duu nimechoka tu baada ya kusoma huu uzi
Yupo mwenye stress mmoja ukamuondoe kwenye stressHapa hapana wengi wameoa wengine wanastress , wengine wanafiki wengine wamechoka maisha wanatak malaika
Mzee unateseka sana physiology isee..Mara nyingi natumia ile kauli "mwanamke usipomuendesha wewe atakuendesha yeye" hivyo nimekuwa na utaratibu wangu wa kipekee ktk ndoa yangu. Sio udikteta wala si kwamba nafanya kitu sijui.
Ipo ivi
Mke wangu ni marufuku na kosa la jinai kuvaa suruali na nguo yoyote dizain hyo, nguo zake ni gauni pana,blauzi skert na nguo zenye heshima.
Mke wangu hana campan ya wanawake wa aina hyo ya mavazi ya uchi hyo ni sheria sio ombi,kwa kifupi hana marafiki, mkewangu ni yeye na nyumbani nyumbani na yeye. Habari za kwenda kwenda kwao hyo haipo kwangu,labda km kuna issue ya lazima pia tunaweza kwenda nae tukarudi cku hyo hyo.
Mke wangu anaishi maisha local, sio mtu wa kwenda na usasa kivile. Anaishi maisha safi, kula vzr kulala pazuri huduma zote muhimu anapata lkn sio mtu wa kwendwa na nyakati,hapendelei kusuka ni mtu wa kunyoa tuu.
Nimarufuku nimkute mke wangu anasafishiwa kucha/miguu na wasafisha kucha, ananijua hawezi kuthubutu.
Mimi mda wa kurudi nyumban haujulikani sina ratiba maalum, kwa kifupi ratiba zangu mkewangu haelewi na sitaki aelewe.
Mimi kuchukua simu yake na kuondoka nayo ni jambo la kawaida, alafu ni kosa nikute kaunga kifurushi cha Sms kwenye simu yake.
Nimefanya haya na mengine na nimeweza kwa kiwango kikubwa, na mkewangu amechukulia km ni utaratibu wa ndoa. Sifanyi kumkatili lkn najua mwanamke usipomuendesha atakuendesha.
Aku nitapata wakufanana nayeYupo mwenye stress mmoja ukamuondoe kwenye stress
Mimi?Aku nitapata wakufanana naye
Sawa mie nasura kama ya yule mwenyekiti wenu mliokuwa mnamtania ga shauri yakoMimi?
Kuhusu watoto watanifafa hamna shidaSawa mie nasura kama ya yule mwenyekiti wenu mliokuwa mnamtania ga shauri yako
SijaelewaKuhusu watoto watanifafa hamna shida
Oooh, watanifananaSijaelewa
Oho ,wewe ni msupuOooh, watanifanana
Ni Matusi au sijui lugha?Oho ,wewe ni msupu
Itoshe kusema huwaelewi wanawake. Ungekuwa mjanja ungemuuliza amewezaje kufanikiwa kiasi hicho.Mzee wangu, mabaradhuli wakiamua yao hata umpake masizi watammbato tu huyo mkeo.
Halkadhalika na mkeo akiamu kumbwato hata umuwekee kufuli ya papa, atakishatombe tu.
Epuka kumuwekea mkeo nidhamu ya uoga maana hapo ndio unamtia ununda, siku akipata muha mwenye maneno matamu umekwisha.