Utaratibu wa timu kuanzia round ya awali halafu zingine zinasubiri round ya pili ni wa hovyoo sana

Kwenye uzi wa mleta mada kuna sehemu yeyote kasema kuwa ni ushamba CAF kutumia ubora wa miaka 7 nyuma kupima timu kwa wakati wa sasa?
Kama hajasema huoni kama mdau kawasilisha hoja yake mpya ya kwamba CAF ipo kizamani kwa kufanya ranking ya miaka 7?
Duh!
 
Aisee una moyo... unapoteza muda wako kwa mpumbavu 😂😂😂
 
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri
 
Mimi nilivyoona Orlando Pirates wanauwasha kwenye pre season nikajua watakuwa wa moto sana safari hii kwenye klabu bingwa kumbe wanajitafuta bado.
Kingine timu za Zanzibar hazijawahi kuwa serious kwenye mpira wa miguu
 
Nadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
Lakini pia timu zitajijenga zaidi, mnanikumbusha kuhusu ubaya ubwera
 
Mimi nilivyoona Orlando Pirates wanauwasha kwenye pre season nikajua watakuwa wa moto sana safari hii kwenye klabu bingwa kumbe wanajitafuta bado.
Kingine timu za Zanzibar hazijawahi kuwa serious kwenye mpira wa miguu
Usajili serious wa Orlando ni Gilberto ambaye ni mpenda bata kinoma.
 
Ubora unapimwa kwa point ulizokusanya. Hakuna short cut. Kaza mwiko huo ukusanye points.
 
Nadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
Mashabiki wa vyura bwana!!
 
Huko unakoona wana uwezo wa kubwba wedi kapu pia kuna timu zinaanzia hatua za awali na nyingine makundi, hivi unajua kuwa uefa cl ishaanza?
 
Nadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
Unakwama wapi aseee.... Saizi EUFACL, EUFAEL na EUFACF vinaendelea kwa hatua za awali kama ilivyo mashindano ya CAFCL na CAFCC nayo yapo hatua za awali.

Na siyo ubaguzi unafanyika, bali ni ubora wa timu ndo unaamua uanzie kwenye hatua ipi.

Na ubora wa timu unatakiwa uwe wa kipindi kisicho pungua muda fulani mfano ndani ya misimu mitano iliyopita umejikusanyia point ngapi.

HAKUNA UBAGUZI HAPO MSIPENDE KULIALIA TIMU HAZIJATENGEZA UBORA KWA MSIMU MMOJA AU MIWILI ENDELENI KUPAMBANA MTAFIKA WALIPO WALE MNAOWAONEA WIVU.
 
Hahah. Natumaini hii post yako ni joke unamkejeli mleta mada. Sitaki kuamini upo siriasi
huo ndio ukweli jamaa kaandika,
humu ndani inaonekana watu kumbe hawaelewi jinsi mashindano ya vilabu duniani yanavyoendeshwa?

hata UEFA kuna timu zinaanzia round za chini na zingine unazikuta makundi
 
Mbona hata Europe ni hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…