Duh!Kwenye uzi wa mleta mada kuna sehemu yeyote kasema kuwa ni ushamba CAF kutumia ubora wa miaka 7 nyuma kupima timu kwa wakati wa sasa?
Kama hajasema huoni kama mdau kawasilisha hoja yake mpya ya kwamba CAF ipo kizamani kwa kufanya ranking ya miaka 7?
Aisee una moyo... unapoteza muda wako kwa mpumbavu 😂😂😂Ndio maana nilikwambia hauna hoja, umeishia kusoma content tu ya mleta uzi. Mwenzio nimesoma heading na content vyote kwa pamoja ndipo nikatoa majibu kutoka hoja zake mbili. Moja ilikuwa kwenye heading ( timu kuanzia raundi ya pili) na ya pili ni hilo la kuanzia nyumbani au ugenini. Usitake kulazimisha kudharauriwa na kila mtu. Sasa rudi usome heading ya mleta uzi kisha njoo useme ni takwimu gani haihusiana na kinachoongelewa.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuriFavour inatokana na kufanya vizuri kwa vilabu vyao katika mashindano ya CAF ngazi ya vilabu. Mfano halisi ni Tanzania ni miongoni mwa mwanachama wa CAF, tulikuwa tunapata nafasi ya timu moja tu klabu bingwa lakini baada ya Simba kufanya vizuri kwa misimu kadhaa Tanzania ikaingia kwenye top 12.
Hivyo kwenye ranking ya CAF zipo rank za aina mbili, kuna club ranking halafu kuna association ranking. Hii association ranking huchukua jumla ya point zilizokusanywa na vilabu katika nchi husika na ndio huchukua vilabu 12 bora, nafasi ya kuingiza timu nne (mbili klabu bingwa na mbili shirikisho) Kwa Tanzania ina jumla ya point 71 hizi point 71 zimepatikana kutoka kwa vilabu vitatu
1) Simba point 39
2) Yanga point 31
3) Namungo point 1
Hivyo hizo point 71 imeifanya Tanzania kuwa ya 6 kwenye association ranking ya CAF.
Mimi nilivyoona Orlando Pirates wanauwasha kwenye pre season nikajua watakuwa wa moto sana safari hii kwenye klabu bingwa kumbe wanajitafuta bado.Jana nimeangalia za kina JKU, DISCIPLES, ORLANDO PIRATES, BUMAMURU, VITAL'O itajua mexhi za awali ni muhimu.
Lazima hizi mechi ziwepo ilo kutoa vibonde, zibaki timu ambazo ni serious pekee.
Timu kama Disciples vs Orlando pirates zilikuwa zinacheza ujinga kabisa.
Pyramids inacheza na upuuzi tu wa JKU, ujinga mtupu.
Unaona kabisa gap liliopo kati ya Yanga, Pyramids na hivi vitimu vya Zanzibar, Djbouti, Botwasana, Burunei
Lakini pia timu zitajijenga zaidi, mnanikumbusha kuhusu ubaya ubweraNadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
Ubaya ubwegeLakini pia timu zitajijenga zaidi, mnanikumbusha kuhusu ubaya ubwera
Usajili serious wa Orlando ni Gilberto ambaye ni mpenda bata kinoma.Mimi nilivyoona Orlando Pirates wanauwasha kwenye pre season nikajua watakuwa wa moto sana safari hii kwenye klabu bingwa kumbe wanajitafuta bado.
Kingine timu za Zanzibar hazijawahi kuwa serious kwenye mpira wa miguu
Ubora unapimwa kwa point ulizokusanya. Hakuna short cut. Kaza mwiko huo ukusanye points.CAF wana mambo mengi mno ya kizamani, kama hayo kila siku timu fulani kuanzia ugenenini ni ushamba, Away goal ni ushamba, mambo ya huyu anaanza hatua ya awali huyu ya mbele ni ushamba na ushamba ukubwa zaidi wa kutumia ubora wa miaka 7 nyuma kupima timu kwa wakati wa sasa, kwa mambo haya ndio maana ni ndoto kwa africa kubeba Wedi Cap
Mashabiki wa vyura bwana!!Nadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
Huko unakoona wana uwezo wa kubwba wedi kapu pia kuna timu zinaanzia hatua za awali na nyingine makundi, hivi unajua kuwa uefa cl ishaanza?CAF wana mambo mengi mno ya kizamani, kama hayo kila siku timu fulani kuanzia ugenenini ni ushamba, Away goal ni ushamba, mambo ya huyu anaanza hatua ya awali huyu ya mbele ni ushamba na ushamba ukubwa zaidi wa kutumia ubora wa miaka 7 nyuma kupima timu kwa wakati wa sasa, kwa mambo haya ndio maana ni ndoto kwa africa kubeba Wedi Cap
Unakwama wapi aseee.... Saizi EUFACL, EUFAEL na EUFACF vinaendelea kwa hatua za awali kama ilivyo mashindano ya CAFCL na CAFCC nayo yapo hatua za awali.Nadhani CAF inatakiwa kufanya review katika baadhi ya mambo yake . Hii ni taswira ya kibaguzi. Pia na suala la timu kubwa kuanzia ugenini nao huu ni utaratibu wa hovyoo sana.
huo ndio ukweli jamaa kaandika,Hahah. Natumaini hii post yako ni joke unamkejeli mleta mada. Sitaki kuamini upo siriasi
Mbona hata Europe ni hivyo hivyoCAF wana mambo mengi mno ya kizamani, kama hayo kila siku timu fulani kuanzia ugenenini ni ushamba, Away goal ni ushamba, mambo ya huyu anaanza hatua ya awali huyu ya mbele ni ushamba na ushamba ukubwa zaidi wa kutumia ubora wa miaka 7 nyuma kupima timu kwa wakati wa sasa, kwa mambo haya ndio maana ni ndoto kwa africa kubeba Wedi Cap