Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Utaratibu huu mpya hasa jiji la Dar es salaam kuhusu tozo za maegesho ya gari wahusika wautizame upya.Sipingi kuhusu toz hii bali utaratibu siyo mzuri na unaleta urasimu au usumbufu kwa watumiaji wa magari pale wanapoegesha.
Sasa hivi ukiegesha gari waliopewa jukumu kusimamia wana scan na kukupa risiti ambayo unatakiwa ulipie kwa njia ya simu au uende kwa kwa wakal ukalipe.
Kweli mia 500 mtu uanze tafuta wakala na siyo kila mtu anaweka pesa mpesa au tigopesa. Kwanini wasingefanya utaratibu kama kuwepo na kadi maalum unajaza humo kifurushi chako ukifika wakati wa kulipia mtozaji anakuwa na mashine unaweka kadi yako na password biashara inakwisha .
Fikiria wazee ambao hata mpesa hawajui yaani kweli kubudi njia rahisi ya kuondoa usumbufu. Mbona airport au mlimani city hamna tatizo kuna vibanda unaenda lipia tu.
Sasa karisiti kakipotea imekula kwako maana utakutana na adhabu ambazo hazikuwa na msingi wowote kama njia ya ulipaji ingekuwa ni rahisi na rafiki kuliko ilivyo sasa.
Sasa hivi ukiegesha gari waliopewa jukumu kusimamia wana scan na kukupa risiti ambayo unatakiwa ulipie kwa njia ya simu au uende kwa kwa wakal ukalipe.
Kweli mia 500 mtu uanze tafuta wakala na siyo kila mtu anaweka pesa mpesa au tigopesa. Kwanini wasingefanya utaratibu kama kuwepo na kadi maalum unajaza humo kifurushi chako ukifika wakati wa kulipia mtozaji anakuwa na mashine unaweka kadi yako na password biashara inakwisha .
Fikiria wazee ambao hata mpesa hawajui yaani kweli kubudi njia rahisi ya kuondoa usumbufu. Mbona airport au mlimani city hamna tatizo kuna vibanda unaenda lipia tu.
Sasa karisiti kakipotea imekula kwako maana utakutana na adhabu ambazo hazikuwa na msingi wowote kama njia ya ulipaji ingekuwa ni rahisi na rafiki kuliko ilivyo sasa.