Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani


View: https://youtu.be/JijqPXH-aoc?si=MwIdAgpUiy0FzNR0
 
Nachoshindwa elewa ni kwamba hao ni wazamiaji hao wamarekani wamewapataje pataje
Wanavamia makazi na sehemu wanazofanyia kazi. Halafu kabla ya hii watu walikuwa wanaishi huru bila doucuments ili mradi tu usiwe mhalifu. Hii nayo imechangia kukamatwa kirahisi.
 
Sasa Mbona nyumba zenye muonekano kama huo ndani hata hapa bongo zipo?! πŸ€”

Unapajua Mbweni?! Mikocheni je?! Tegeta vipi?! Mbezi beach chini?! πŸ˜„πŸ‘πŸΎ

Na Popote pale hapa bongo unaweza kujenga nyumba Kali yenye muonekano kama huo ndani… pesa zako tu! Usiwafanye vijana wahadaike mwisho wa siku waje kuharibikiwa
USA baby πŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡Έ

View attachment 3218257
 
Kwenda kunipokea wapi?

Btw, nafurahi kuwepo kichwani mwako.

Binafsi huwa najichukulia poa ila kumbe kuna watu mpo ambao hadi usingizini mnaniota ilhali mimi wala sina muda mchafu wa kuwawaza…
☺️😊☺️☺️😊 Wengi tunao SHINDA humu tumekua familia. Jf ni kama nyumbani tukakutana pamoja
Ni kawaida kukumbukana πŸƒπŸƒ
 
Unamaanisha nini kutokana na hayo Maneno yako ya kishabiki na yanayoashiria roho mbaya ya chuki na choyo?!

Umasikini ni kitu kibaya sana! Eti warudi mje kula vumbi wote πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ
 
Acha fujo bana Bongo patamu. Nipo kwa sele bonge nagonga mishkaki saa hii.
Nikimaliza naita Bolt nazama uswazi pale kwa kidem changu cha uswahilini
Acha kambaπŸ˜‚

Mishkaki gani ya saa nne asubuhi?! Hayo mambo yako Moshi na Arusha kipindi cha Desemba
 
Kwenda kunipokea wapi?

Btw, nafurahi kuwepo kichwani mwako.

Binafsi huwa najichukulia poa ila kumbe kuna watu mpo ambao hadi usingizini mnaniota ilhali mimi wala sina muda mchafu wa kuwawaza…
😹😹😹 Wanaotaka kukupokea wengi, kila uzi wanajadili mapokezi yako..!!

Unapendwa bro
 
Kwa hiyo watanzania 301 ,wao watatafutiwa Air force?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…