Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani

Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani

Ushamba na umaskini vinawasumbua. Wakiona una mkweche wanajua umeukata.
Sad

Tabia za kimaskini tu, tukose wote kuliko wewe upate.

Hao watu hatuwajui, Iła tunasherekea kufikiria tu wanakuja kula vumbi na sisi popote watakapotulia Tanzania.

Humjui huyo mtu na pengine yeye haijuj hata JF.

Masaiba yake unasherehekea vipi, zaidi ya roho za umaskini tu. Huyo mtu akiwa US au Tanzania wewe unaongezewa nini au unapungukiwa nini.

Tabia za kimaskini tu, tukose wote.
 
Sad

Tabia za kimaskini tu, tukose wote kuliko wewe upate.

Hao watu hatuwajui, Iła tunasherekea kufikiria tu wanakuja kula vumbi na sisi popote watakapotulia Tanzania.

Humjui huyo mtu na pengine haujui hata JF

Masaiba yake unasherehekea vipi, zaidi ya roho za umaskini tu. Huyo mtu akiwa US au Tanzania wewe unaongezewa nini au unapungukiwa nini.

Tabia za kimaskini tu, tukose wote.
Hawajui kuwa hiyo mikweche yetu ndiyo inawawezesha waajiri wao wawalipe hiyo mishahara. Kwa waliowahi kuishi Ulaya wanajua. Huwezi kwenda dukani au kituo cha mafuta mhudumu akakununia zaidi ya kutabasamu hata kama ni kwa kulazimika. Kwa Afrika we acha tu. Jitu linakununia utadhani wewe ndo umesababisha umaskini wake. Ajabu, mikumbaff hiyo hiyo inashobokea majizi wa kisiasa!
 
Katika kipindi hiki, cha utawala wa Trump, kumekuwa na habari za kuhamasisha na kuangazia urejeleaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani. Ref: Marekani yatoa orodha yenye watanzania 301 wanaorejeshwa Tanzania

Hata hivyo, kuna maswali mengi ambayo yanahitaji kujibiwa ili kuondoa wasiwasi miongoni mwa familia na jamii zinazohusiana na watu hao.

Wakati wa Urejeleaji

Kwanza, ni muhimu kujua tarehe sahihi ambayo kundi hili la Watanzania litarejeshwa nchini. Hadi sasa, taarifa rasmi hazijatolewa kuhusu wakati huo.

Watanzania wengi wanajiuliza ni lini watarajie kuwapokea wapendwa wao, na hii inahitaji ufafanuzi wa haraka kutoka kwa mamlaka husika.

Mahali pa Kupokelewa

Pia, ni muhimu kujua ni wapi kundi hili litakapowasilia. Kuna wasiwasi juu ya usalama na mazingira ya kupokelea, kwani familia nyingi zinahitaji kujua wapi waenda wao watakapofika ili waweze kupanga mipango ya kuwa na mikutano ya furaha.

Je, watapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) au uwanja mwingine? Huu ni swali ambalo linahitaji majibu ya haraka.

Kiongozi wa CCM Atakayewapokea

Swali jingine ambalo linajitokeza ni: ni kiongozi gani atakayewapokea katika uwanja wa ndege? Hii ni muhimu kwa sababu inaashiria umuhimu wa tukio hili. Kiongozi wa serikali, kama Waziri wa Mambo ya Nje au Waziri wa Mambo ya Ndani, angeweza kutoa uthibitisho wa dhamira ya serikali katika kuwapokea raia wake. Hii itawapa familia na jamii faraja na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake.

Hali ya Kisheria Wakati wa Kupokelewa

Kuhusu masuala ya kisheria, ni muhimu kufahamu ni hatua zipi zitachukuliwa pindi watakapofika nchini. Je, watashitakiwa mara moja au wataachiliwa huru? Hili ni swali ambalo linahitaji ufafanuzi, kwani wengi wana wasiwasi kuhusu haki zao na hali yao ya kisheria mara watakapowasili. Ikiwa watachukuliwa hatua za kisheria, ni vema kujua ni aina gani ya kesi zitakazoelekezwa dhidi yao, na kama kuna nafasi yoyote ya kujitetea.

Kimya cha Ubalozi wa Tanzania Marekani

Pamoja na maswali haya, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu kimya cha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Wananchi wanajiuliza kwa nini ubalozi haujatoa taarifa yoyote kuhusu urejeleaji huu, licha ya kuwa na wajibu wa kutoa taarifa kwa jamii. Hali hii inachangia hofu na mashaka miongoni mwa familia zinazohusiana na watu wanaorejea. Wananchi wanahitaji uwazi kutoka kwa ubalozi ili waweze kuelewa kinachoendelea.

Orodha ya Majina

Mwisho, kuna haja ya kuwa na orodha ya majina ya watu wanaorejea. Hii itawasaidia watu kujua ni akina nani watakaporudi, na pia itasaidia katika mipango ya kuwakaribisha. Kuna umuhimu wa kuwa na uwazi katika mchakato huu ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa jamii.

Hitimisho

Kwa ujumla, ni dhahiri kwamba kuna maswali mengi yanayohitaji kujibiwa kuhusiana na urejeleaji wa Watanzania hawa kutoka Marekani.

Serikali inapaswa kutoa maelezo ya wazi na ya haraka ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa wananchi. Hii itasaidia katika kuimarisha uhusiano kati ya serikali na raia wake, na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake popote walipo.

Tunatarajia kupata majibu rasmi juu ya maswali haya ili kuweza kusherehekea urejeleaji wa wapendwa wetu kwa furaha na utulivu.
Wabongo aisee mna kazi sana
 
Hawajui kuwa hiyo mikweche yetu ndiyo inawawezesha waajiri wao wawalipe hiyo mishahara. Kwa waliowahi kuishi Ulaya wanajua. Huwezi kwenda dukani au kituo cha mafuta mhudumu akakununia zaidi ya kutabasamu hata kama ni kwa kulazimika. Kwa Afrika we acha tu. Jitu linakununia utadhani wewe ndo umesababisha umaskini wake. Ajabu, mikumbaff hiyo hiyo inashobokea majizi wa kisiasa!
Ni shida.

Ndio sampuli ya watu ambao, wanafurahia kusikia kuna wenzao wana wakati ngumu huko US.

Sasa hao watu wakiwa US au Tanzania; wanaongezea nini au kuwapunguzia nini (wanao wanao waombea warudishe) wanajua wenyewe.
 
Ni shida.

Ndio sampuli ya watu ambao, wanafurahia kusikia kuna wenzao wana wakati ngumu huko US.

Sasa hao watu wakiwa US au Tanzania; wanaongezea nini au kuwapunguzia nini (wanao wanao waombea warudishe) wanajua wenyewe.
Wakiwa nje wanawasaidia kuwatumia pesa ya kujikimu mbali na kuwekeza. Huoni serikali yetu tapeeli inavyohangaika kuwahadaa diaspora eti itawapa hadhi maalum. Ajabu mafisadi wengi kama akina Andru Cheenge, Rostaamy, Lungumi, Njaa Kaya, Madelu na wengine sijui kama wana uraia pacha. Ni nchi ya hovyo. Ni siasa za majitaka. Ajabu, nchi yenyewe hata uchaguzi inagharimiwa na hao hao mataifa ya nje. Ni siasa za kishamba, woga na ulimbukeni. Ndiyo maana hatuendelei pamoja na mwenyezi Mungu kutujalia raslimali kibao. Tazama magabacholi wanavyokuja na kutajirika sisi tukisikishana kwa sababu ya roho mbaya. Pamoja na kutubagua na kutuchukia, bado magabacholi wanatesa sababu ya upumbaff wetu.
 
Hao ni waamiaji haramu! Kama walivyoondoka kimyakimya tuwaache warudi kimyakimya!

Kwanza hawana maajabu na kama walikimbia msoto wa bongo wasingependa camera ziwamulike maana mfukoni hawana kitu zaidi watakuja na rasketi za kubeba mgongoni na chupa ya maji!
Mie ningewaambia wamarekani bora mnisompeke jela yenu kuliko kutudi bongo ...au mniue kabisaaaa
 
Kweli Trump hataki kucheka na nyani 😂 Marekani imetoa list ya idadi ya watu watakaorudishwa nchini mwao kinguvu! Katika list hiyo inaonyesha watanzania 301 watarudishwa nchini soon! Wale wenye ndugu zenu mliokuwa mnaona raha kula vizawadi waliokuwa wakiwatunuku kutokea majuu mjiandae kupokea ndugu zenu airport muwafariji 😂 wanarudishwa vumbini tuje kula nao vumbi pamoja 😂
Screenshot_20250130_094004_TikTok~2.jpg
 
kama miongoni mwao ni wale Yas wawaue huko huko maamae wasiwapeleke bongo kuharibu vizazi vilivyopo.
 
Bado watabaki watanzania wengi huko. Huyu Trump ni mbaguzi wa rangi tu. Hata hao wa Ulaya anao waondoa wachache sana ni weupe
 
Wabongo bana tunashida sana. Unafurahia mwenzako kutolewa US? Akitolewa huko wewe unafurahi kwakuwa unafaidi nini?
 
Back
Top Bottom