Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Nyambaff. Hujui kuwa UK ni Ukerewe kkkkk m wanangu!Km kwenu UK kinachokuwasha kuja humu ni Nini. Unajisifia kuishi utumwani? Dunia Ina wapumbavu mpk chenji inabaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyambaff. Hujui kuwa UK ni Ukerewe kkkkk m wanangu!Km kwenu UK kinachokuwasha kuja humu ni Nini. Unajisifia kuishi utumwani? Dunia Ina wapumbavu mpk chenji inabaki
Ukoloni. Mbona wakoloni walivyokuja kwetu bila visa wala passport hatukuwakamata na kuwarejesha kwao kama wahalifu? Bado magabacholi walioletwa na wakoloni hao hao.Watashuka air port.
Kwakuwawamekuwa deported means walitoroka nchi nakwenda nchinyingine kimakosa hivyo wanapaswa kushikiliwa na kufungulia mashtaka mara watakapofika.
Andaeni faini mtawakuta kule kinyama, mkichelewa mtawatolea keko/segedansi.
I have been deported several times mkuu ninakauzoefu flani hivi.
This time nafungua selfu nayabusu makaratasiyangu siina baya na maga [emoji1787][emoji1787].
Follow the instructions above utanishukuru.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wiki ilopita tu nilikuwa Tanzania.Wasiojua wanadhani kila mbongo aliyeko marakeni atarudishwa ili asote nao wakati si hivyo. Kwani Trump ndo mara yake ya kwanza kuwa rais na kuja sera zake za bangi na misifa? Mie nilikuwa huko hadi nilipochoka na kurejea zangu kwetu UK.
Toa elimu ya bure kijana wangu. Wengi wanasumbuliwa na wivu na roho za korosho.Wiki ilopita tu nilikuwa Tanzania.
Wiki mbili zijazo naenda London na Oxford.
Watanzania wengi na matatizo ya kusoma na kutokuelewa walichokisoma.
Sijawahi kuwa mhamiaji haramu popote pale dunia hii.
Nina TSA Precheck na Clear.
Nasafiri sana kiasi mpaka nimeshajuana na TSA agents kwenye airport ya ‘nyumbani’….the two dead mayors airport 😀.
Sidhani kama kuna illegal immigrants wanaosafiri sana kimataifa kwa kutumia usafiri wa anga.
Too late mkuu,hayo yalisha pita tupambane na haliyasasa.Ukoloni. Mbona wakoloni walivyokuja kwetu bila visa wala passport hatukuwakamata na kuwarejesha kwao kama wahalifu? Bado magabacholi walioletwa na wakoloni hao hao.
Kwani huyo V nae anaishi nje kiujanjanja bila vibali!?Bad News ever and ever.
V are you coming back home ?
[emoji3]wejamaa usidhani kama watu wanapenda kuzamia kipumbavu ndugu, maisha ukiyachukulia serious hakuna namna utakayoacha kujaribu.Wiki ilopita tu nilikuwa Tanzania.
Wiki mbili zijazo naenda London na Oxford.
Watanzania wengi wana matatizo ya kusoma na kutokuelewa walichokisoma.
Sijawahi kuwa mhamiaji haramu popote pale dunia hii.
Nina TSA Precheck na Clear.
Nasafiri sana kiasi mpaka nimeshajuana na TSA agents kwenye airport ya ‘nyumbani’….the two dead mayors airport [emoji3].
Sidhani kama kuna illegal immigrants wanaosafiri sana kimataifa kwa kutumia usafiri wa anga.
Hebu rudia kusoma ulichokoandika uone kama utaelewa.[emoji3]wejamaa usidhani kama watu wanapenda kuzamia kipumbavu ndugu, maisha ukiyachukulia serious hakuna namna utakayoacha kujaribu.
Thank God brother if you smart enough to that extent.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Shangazi Mange Kimambi nae yumo ili Jiwe aombe ruhusa huko aliko aje kumpokea?Hatimae Ni wakati sasa wa kwenda kumpokea
Nyani Ngabu
Hujui kitu na huelewi maana halisi ya serikali, tofauti na hisia za chuki.Serikali Ina kazi ya KUFANYA, iliwapeleka huko? Hao si ndio walikuwa wanaitukana nchi yao wakifikiri wameshafika nchi ya ahadi? Watafute pa kwenda huku wataishia magerezani
Popote pale ccm itakapopendekeza mfikie ili kupokelewa kwa bashasha 😆Kwenda kunipokea wapi?
Btw, nafurahi kuwepo kichwani mwako.
Binafsi huwa najichukulia poa ila kumbe kuna watu mpo ambao hadi usingizini mnaniota ilhali mimi wala sina muda mchafu wa kuwawaza…
Ni jambo la kumshukuru mheshimiwa rais dokta Sa100 Solution Has and an.Popote pale ccm itakapopendekeza mfikie ili kupokelewa kwa bashasha 😆
Kwa tunaoishi hapa, kwa rushwa, uonevu, utekaji, ukatikaji umeme, maji na mambo mengine hata ningekuwa mimi ningeogopa.Mleta mada inaonekana ni miongoni mwa hao wamarekani watanzania kwani ana wasiwasi mkubwa na anaogopa sana na hajui hatima yake akitua bongo. Mkuu, karibu nyumbani!
Mkuu kwa Wasafiri ugenini sio kwetu lolote na wakati wowote kinaweza kutokea kitu ukarejeshwa home ila sio kwa hizi kesi zao nyepesi nyepesi za vibali ni kuomba Mungu mambo haya yasitokee tuendelee kubeba Box tu..Hahahaaa!
Mfano mimi, nirejeshwe kwa kosa au makosa gani, kwa mfano?
Ishu ya utekaji ni mbaya sana aisee..Kwa tunaoishi hapa, kwa rushwa, uonevu, utekaji, ukatikaji umeme, maji na mambo mengine hata ningekuwa mimi ningeogopa.