Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani

Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani

Wapiga kura wa CCM hao...... tena imekuwa vyema wamerudishwa mwaka wa uchafuzi......watapokelewa na zile Yutong za chama.....kila mmoja akipewa t-shirt imeandikwa MAMA SAMIA TUPOKEE......

Watakodishiwa hotel kwa mapumziko alafu ndio watapelekwa makwao wakiwa na kadi za chama, na fungu la kuanzia maisha

SAAMIA TUVUSHE
 
Huna lolote, nia yako ni kutaka kuwajua ili nafsi yako ya 'kimasikini' iridhike.

Deportation ni utaratibu wa miongo kwa miongo, watafuata taratibu wanazofuata kila wakati.
 
Kwani Trump kasema anawarudisha wageni wote, akiwemo mke wake?
Nilichosema kwa Wasafiri lolote linaweza kutokea sio ishu ya Trump..sisi wengine tuna hadi Uraia wa hizi Nchi tunazokaa ila wakiamua muda wowote wanakufuta na home narudi...
 
Popote pale ccm itakapopendekeza mfikie ili kupokelewa kwa bashasha 😆
USA baby 🇺🇸🇺🇸🇺🇸

IMG_4159.jpeg
 
Katika kipindi hiki, cha utawala wa Trump, kumekuwa na habari za kuhamasisha na kuangazia urejeleaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani. Ref: Marekani yatoa orodha yenye watanzania 301 wanaorejeshwa Tanzania

Hata hivyo, kuna maswali mengi ambayo yanahitaji kujibiwa ili kuondoa wasiwasi miongoni mwa familia na jamii zinazohusiana na watu hao.

Wakati wa Urejeleaji

Kwanza, ni muhimu kujua tarehe sahihi ambayo kundi hili la Watanzania litarejeshwa nchini. Hadi sasa, taarifa rasmi hazijatolewa kuhusu wakati huo.

Watanzania wengi wanajiuliza ni lini watarajie kuwapokea wapendwa wao, na hii inahitaji ufafanuzi wa haraka kutoka kwa mamlaka husika.

Mahali pa Kupokelewa

Pia, ni muhimu kujua ni wapi kundi hili litakapowasilia. Kuna wasiwasi juu ya usalama na mazingira ya kupokelea, kwani familia nyingi zinahitaji kujua wapi waenda wao watakapofika ili waweze kupanga mipango ya kuwa na mikutano ya furaha.

Je, watapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) au uwanja mwingine? Huu ni swali ambalo linahitaji majibu ya haraka.

Kiongozi wa CCM Atakayewapokea

Swali jingine ambalo linajitokeza ni: ni kiongozi gani atakayewapokea katika uwanja wa ndege? Hii ni muhimu kwa sababu inaashiria umuhimu wa tukio hili. Kiongozi wa serikali, kama Waziri wa Mambo ya Nje au Waziri wa Mambo ya Ndani, angeweza kutoa uthibitisho wa dhamira ya serikali katika kuwapokea raia wake. Hii itawapa familia na jamii faraja na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake.

Hali ya Kisheria Wakati wa Kupokelewa

Kuhusu masuala ya kisheria, ni muhimu kufahamu ni hatua zipi zitachukuliwa pindi watakapofika nchini. Je, watashitakiwa mara moja au wataachiliwa huru? Hili ni swali ambalo linahitaji ufafanuzi, kwani wengi wana wasiwasi kuhusu haki zao na hali yao ya kisheria mara watakapowasili. Ikiwa watachukuliwa hatua za kisheria, ni vema kujua ni aina gani ya kesi zitakazoelekezwa dhidi yao, na kama kuna nafasi yoyote ya kujitetea.

Kimya cha Ubalozi wa Tanzania Marekani

Pamoja na maswali haya, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu kimya cha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Wananchi wanajiuliza kwa nini ubalozi haujatoa taarifa yoyote kuhusu urejeleaji huu, licha ya kuwa na wajibu wa kutoa taarifa kwa jamii. Hali hii inachangia hofu na mashaka miongoni mwa familia zinazohusiana na watu wanaorejea. Wananchi wanahitaji uwazi kutoka kwa ubalozi ili waweze kuelewa kinachoendelea.

Orodha ya Majina

Mwisho, kuna haja ya kuwa na orodha ya majina ya watu wanaorejea. Hii itawasaidia watu kujua ni akina nani watakaporudi, na pia itasaidia katika mipango ya kuwakaribisha. Kuna umuhimu wa kuwa na uwazi katika mchakato huu ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa jamii.

Hitimisho

Kwa ujumla, ni dhahiri kwamba kuna maswali mengi yanayohitaji kujibiwa kuhusiana na urejeleaji wa Watanzania hawa kutoka Marekani.

Serikali inapaswa kutoa maelezo ya wazi na ya haraka ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa wananchi. Hii itasaidia katika kuimarisha uhusiano kati ya serikali na raia wake, na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake popote walipo.

Tunatarajia kupata majibu rasmi juu ya maswali haya ili kuweza kusherehekea urejeleaji wa wapendwa wetu kwa furaha na utulivu.
Wale ni wazamiaji!! Unataka tuwachukulie kama mashujaa? Acha ujinga
 
Nilichosema kwa Wasafiri lolote linaweza kutokea sio ishu ya Trump..sisi wengine tuna hadi Uraia wa hizi Nchi tunazokaa ila wakiamua muda wowote wanakufuta na home narudi...
Hakuna mtu anayerudishwa bila kuwepo na sababu ya/ za msingi.

Trump hawezi kusema anakurudisha ulikotoka kisa nywele zako za kwenye pua ni ndefu na chafu.

Marekani siyo banana republic [ingawa Democrats walitaka kuifanya iwe].

Kama status yako ya kuwepo Marekani imenyooka, hakuna atayekugusa.

Na hata ikitokea umekamatwa na ICE, utapewa due process.
 
Kwenda kunipokea wapi?

Btw, nafurahi kuwepo kichwani mwako.

Binafsi huwa najichukulia poa ila kumbe kuna watu mpo ambao hadi usingizini mnaniota ilhali mimi wala sina muda mchafu wa kuwawaza…
Usiichukulie serious wengine ni watani na marafiki zako SI unajua wewe ni mkongwe na maarufu humu jukWani?
 
Katika kipindi hiki, cha utawala wa Trump, kumekuwa na habari za kuhamasisha na kuangazia urejeleaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani. Ref: Marekani yatoa orodha yenye watanzania 301 wanaorejeshwa Tanzania

Hata hivyo, kuna maswali mengi ambayo yanahitaji kujibiwa ili kuondoa wasiwasi miongoni mwa familia na jamii zinazohusiana na watu hao.

Wakati wa Urejeleaji

Kwanza, ni muhimu kujua tarehe sahihi ambayo kundi hili la Watanzania litarejeshwa nchini. Hadi sasa, taarifa rasmi hazijatolewa kuhusu wakati huo.

Watanzania wengi wanajiuliza ni lini watarajie kuwapokea wapendwa wao, na hii inahitaji ufafanuzi wa haraka kutoka kwa mamlaka husika.

Mahali pa Kupokelewa

Pia, ni muhimu kujua ni wapi kundi hili litakapowasilia. Kuna wasiwasi juu ya usalama na mazingira ya kupokelea, kwani familia nyingi zinahitaji kujua wapi waenda wao watakapofika ili waweze kupanga mipango ya kuwa na mikutano ya furaha.

Je, watapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) au uwanja mwingine? Huu ni swali ambalo linahitaji majibu ya haraka.

Kiongozi wa CCM Atakayewapokea

Swali jingine ambalo linajitokeza ni: ni kiongozi gani atakayewapokea katika uwanja wa ndege? Hii ni muhimu kwa sababu inaashiria umuhimu wa tukio hili. Kiongozi wa serikali, kama Waziri wa Mambo ya Nje au Waziri wa Mambo ya Ndani, angeweza kutoa uthibitisho wa dhamira ya serikali katika kuwapokea raia wake. Hii itawapa familia na jamii faraja na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake.

Hali ya Kisheria Wakati wa Kupokelewa

Kuhusu masuala ya kisheria, ni muhimu kufahamu ni hatua zipi zitachukuliwa pindi watakapofika nchini. Je, watashitakiwa mara moja au wataachiliwa huru? Hili ni swali ambalo linahitaji ufafanuzi, kwani wengi wana wasiwasi kuhusu haki zao na hali yao ya kisheria mara watakapowasili. Ikiwa watachukuliwa hatua za kisheria, ni vema kujua ni aina gani ya kesi zitakazoelekezwa dhidi yao, na kama kuna nafasi yoyote ya kujitetea.

Kimya cha Ubalozi wa Tanzania Marekani

Pamoja na maswali haya, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu kimya cha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Wananchi wanajiuliza kwa nini ubalozi haujatoa taarifa yoyote kuhusu urejeleaji huu, licha ya kuwa na wajibu wa kutoa taarifa kwa jamii. Hali hii inachangia hofu na mashaka miongoni mwa familia zinazohusiana na watu wanaorejea. Wananchi wanahitaji uwazi kutoka kwa ubalozi ili waweze kuelewa kinachoendelea.

Orodha ya Majina

Mwisho, kuna haja ya kuwa na orodha ya majina ya watu wanaorejea. Hii itawasaidia watu kujua ni akina nani watakaporudi, na pia itasaidia katika mipango ya kuwakaribisha. Kuna umuhimu wa kuwa na uwazi katika mchakato huu ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa jamii.

Hitimisho

Kwa ujumla, ni dhahiri kwamba kuna maswali mengi yanayohitaji kujibiwa kuhusiana na urejeleaji wa Watanzania hawa kutoka Marekani.

Serikali inapaswa kutoa maelezo ya wazi na ya haraka ili kuondoa hofu na wasiwasi miongoni mwa wananchi. Hii itasaidia katika kuimarisha uhusiano kati ya serikali na raia wake, na kuonyesha kuwa serikali inawajali raia wake popote walipo.

Tunatarajia kupata majibu rasmi juu ya maswali haya ili kuweza kusherehekea urejeleaji wa wapendwa wetu kwa furaha na utulivu.
Haya mambo ni Tanzania tu husikii kenya wala Nigeria wala Ghana ambapo ndio wengi wapo huko kinyume na taratibu kabisa..
Bongo wachawi sana ni watu tupo na unafki wa kiwango cha lami.
 
Home is where your heart is. Tutawakaribisha watakaorudishwa. Watakaongia mitini tunawatakia kheri. Ila wakumbuke wanakwao.
All and all we wish all them the best in life.
 
Mimi mara ya mwisho kufika Dar-Es-Salam kutokea mipaka ya Zimbabwe tu kama 10 years ago.

Kasheshe ilikuwa kwenda kuweka mafuta tu, nakumbuka ilikuwa kituo cha Mwanamboka (manyanya).

Yaani nipo na RAV4 kwa wazungu (mkweche) kibongo-bongo deal. Mafuta Dar ilikuwa unawekea na wahudumu, wewe unaenda lipa counter.

Sasa nimeshuka kwenda kulipa yule dogo aliekuwa ananiwekea mafuta alivyoninunia simjui, hanijui; tena najichekesha kwa ucheshi anione wa kawaida.

Sijui wageni wenyewe wanakuwa wanawajua maana hata sielewi, lakini unakuta mtu kakunia balaa (sio wote, ni asilimia ndogo sana, if I am honest). Wengi ni poa.

Baada ya hapo nikasema mimi kwenda Tanzania ni kuangalia makaburi ya wazazi tu,

Yaani watanzania wana wivu na majungu hatari, hao watanzania ambao wapo kwenye misuko suko huko US ukute 90% hawana hata ushiriki wa JF wanachangamoto zingine kabisa za maisha.

Sasa wewe unashangilia iweje, kukosa kwake kunakuongezea nini au kufaidika kwake kunakupunguzia nini.

Binafsi ile experience yangu ya kituo cha mafuta ya mwanamboka nikasema sirudi tena Tanzania, zaidi ya kwenda kutambika kwenye makaburi,

Mnadhani rahisi huko walipo watu, unakuta mtu huko anavita yake ngumu, na wewe unampelekea matatizo yako. Asipokujibu unaona dharau wakati hujui changamoto zake.

Hizo nchi sio rahisi kama mnavyodhani, inategemea umetua na mguu gani (vinginevyo cha moto utakiona).

Halafu huko kuna wanga wanakuwangia hawajui changamoto zako. Yaani kuna baadhi ya watanzania wana roho za kimaskini balaa hasa wanaosherekea kuona wenzao wanarudishwa Tanzania kutoka USA na ulaya.
 
Jana orodha imeongezeka kuna member alipost humu niliona kama ni 400+
 
Mimi mara ya mwisho kufika Dar-Es-Salam kutokea mipaka ya Zimbabwe tu.

Kasheshe ilikuwa kwenda kuweka mafuta tu, nakumbuka ilikuwa kituo cha Mwanamboka (manyanya).

Yaani nipo na RAV4 kwa wazungu (mkweche) kibongo-bongo deal. Mafuta Dar ilikuwa unawekea na wahudumu, wewe unaenda lipa counter.

Sasa nimeshuka kwenda kulipa yule dogo aliekuwa ananiwekea mafuta alivyoninunia simjui, hanijui; tena najichekesha kwa ucheshi kama kawaida tu.

Sijui wageni wenyewe wanakuwa wanawajua maana hata sielewi, lakini unakuta mtu kakunia balaa (sio wote, ni asilimia ndogo sana, if I am honest). Wengi ni poa.

Baada ya hapo nikasema mimi kwenda Tanzania ni kuangalia makaburi ya wazazi tu,

Yaani watanzania wana wivu na majungu hatari, hao watanzania ambao wapo kwenye misuko suko huko US ukute 90% hawana hata ushiriki wa JF wanachangamoto zingine kabisa za maisha.

Sasa wewe unashangilia iweje, kukosa kwake kunakuongezea nini au kufaidika kwake kunakupunguzia nini.

Binafsi ile experience yangu ya kituo cha mafuta ya mwanamboka nikasema sirudi tena Tanzania, zaidi ya kwenda kutambika kwenye makaburi,

Mnadhani rahisi huko walipo watu, unakuta mtu huko anavita yake ngumu, na wewe unampelekea matatizo yako. Asipokujibu unaona dharau wakati hujui changamoto zake.

Hizo nchi sio rahisi kama mnavyodhani, inategemea umetua na mguu gani (vinginevyo cha moto utakiona).

Halafu huko kuna wanga wanakuwangia hawajui changamoto zako. Yaani kuna baadhi ya watanzania wana roho za kimaskini balaa hasa wanaosherekea kuona wenzao wanarudishwa Tanzania kutoka USA na ulaya.
Ushamba na umaskini vinawasumbua. Wakiona una mkweche wanajua umeukata.
 
Back
Top Bottom