Utata ajira zinazotangazwa kupitia Sekretariate ya Ajira

Utata ajira zinazotangazwa kupitia Sekretariate ya Ajira

linkoln1888

Member
Joined
Jul 9, 2021
Posts
21
Reaction score
15
Sekretariate ya ajira katika Utumishi wa umma inatangaza kazi kwa niaba ya taasisi/shirika la umma kuhitajika mtu mwenye elimu ya kidato cha Nne na cheti cha taaluma fulani tu, halafu kwenye usaili wanaweka mtu mwenye elimu ya Degree na ziada ya ngazi ya cheti alichokipata baada ya kuhitimu degree, naye akafanya usaili pamoja na wenye elimu za kidato cha Nne na Vyeti vya taaluma husika, na baada ya usaili, yule mwenye degree na ziada ya elimu ngazi ya cheti ndiye akapangiwa kazi kuwa ndiye aliyefaulu.

Swali langu
1. Je, walifanya haki kuweka mwenye elimu yake ya juu Degree kwa kazi iliyokuwa mahsusi kwa mtu wa ngazi ya cheti?

2. Je, walijua au mwombaji alificha taarifa za elimu zake wakati wa kuomba kazi?

3. Kama ni kosa la mwombaji, anawajibikaje?

4. Je, linaleta picha gani kwenye uwazi na haki kwa waombaji kazi?

5. Je, mtumishi huyo atakuwa na ufanisi kufanya kazi ya mwenye elimu ngazi ya cheti, ili hali yeye ana degree?

6. Kwa wataalamu wa Uchumi rasilimali watu, hali hii inaleta tija
 
Labla pale kwenye academic qualifications hakuweka cheti cha degree na pia mshahara ni uleule wa ngazi ya cheti kilichotakiwa wakati wa maombi ya kazi
 
Labla pale kwenye academic qualifications hakuweka cheti cha degree na pia mshahara ni uleule wa ngazi ya cheti kilichotakiwa wakati wa maombi ya kazi
Je, atanufaika vipi na elimu yake ya Degree katika utumishi wa umma, ikiwa atalipwa kama mtu mwenye certificate? Je, kama atapeleka cheti chake cha degree baada ya kuajiriwa, atafikiriwa kama cheti hicho ni matokeo ya kujiendeleza kielimu katika utumishi wa umma au digrii hiyo itachukuliwa kama kiwango cha elimu aliyoajiriwa nayo? Je, kikanuni za utumishi wa umma, inaelekeza vipi kwa mazingira hayo?
 
Je, atanufaika vipi na elimu yake ya Degree katika utumishi wa umma, ikiwa atalipwa kama mtu mwenye certificate? Je, kama atapeleka cheti chake cha degree baada ya kuajiriwa, atafikiriwa kama cheti hicho ni matokeo ya kujiendeleza kielimu katika utumishi wa umma au digrii hiyo itachukuliwa kama kiwango cha elimu aliyoajiriwa nayo? Je, kikanuni za utumishi wa umma, inaelekeza vipi kwa mazingira hayo?
 
Je, atanufaika vipi na elimu yake ya Degree katika utumishi wa umma, ikiwa atalipwa kama mtu mwenye certificate? Je, kama atapeleka cheti chake cha degree baada ya kuajiriwa, atafikiriwa kama cheti hicho ni matokeo ya kujiendeleza kielimu katika utumishi wa umma au digrii hiyo itachukuliwa kama kiwango cha elimu aliyoajiriwa nayo? Je, kikanuni za utumishi wa umma, inaelekeza vipi kwa mazingira hayo?
Nadhani ugumu wa maisha inamfanya mtu kufanya kazi isiyo ya kiwango chake cha elimu, mimi nina diploma lkn ukinipa kazi ya form four ntafanya. Huyo aliyeajiriwa na Certificate nadhani ikitokea kazi kwenye hiyo kampuni anaweza kupandishwa cheo (sina uhakika)
 
Nadhani ugumu wa maisha inamfanya mtu kufanya kazi isiyo ya kiwango chake cha elimu, mimi nina diploma lkn ukinipa kazi ya form four ntafanya. Huyo aliyeajiriwa na Certificate nadhani ikitokea kazi kwenye hiyo kampuni anaweza kupandishwa cheo (sina uhakika)
Ni ugumu wa maisha, na ukiangalia kwa sasa hivi kazi zinazotoka sana na nyingi ni za level ya Chini, na kwa maisha ya sasa hivi watu wanaangalia kuingia kwenye system baada ya kupata check no anaweza fanyiwa categorization kwa cheti cha cha degree.
Kwa hiyo system ndo kila kitu
 
Ni ugumu wa maisha, na ukiangalia kwa sasa hivi kazi zinazotoka sana na nyingi ni za level ya Chini, na kwa maisha ya sasa hivi watu wanaangalia kuingia kwenye system baada ya kupata check no anaweza fanyiwa categorization kwa cheti cha cha degree.
Kwa hiyo system ndo kila kitu
ila ni kweli, suala ni kwenye system, lakini nimepitia Kanuni za Utumishi wa Umma 2009, kifungu D.12, Kimenitishia kidogo
 
ila ni kweli, suala ni kwenye system, lakini nimepitia Kanuni za Utumishi wa Umma 2009, kifungu D.12, Kimenitishia kidogo
Nimesoma hy pdf, Kudanganya ni kama huna vigezo, lkn kama una degree na kazi n ya form four hapo naona hakuna ulichodanganya mana elimu ya form four unayo
 
Nimesoma hy pdf, Kudanganya ni kama huna vigezo, lkn kama una degree na kazi n ya form four hapo naona hakuna ulichodanganya mana elimu ya form four unayo
Soma pia hii kwenye kifungu cha 37, kuna mambo naona siyaelewi, kwenye maneno haya
 

Attachments

Soma pia hii kwenye kifungu cha 37, kuna mambo naona siyaelewi, kwenye maneno haya
Mm bado cjaona tatizo kwenye hayo maneno, ajira ikitoka inabidi uwe na vyeti vinavyohusika na kama vipo bc hapo hakuna udanganyifu wowote ule
 
Udanganyifu ni nini? kutoa taarifa za uongo ni nini? Kwenye kanuni za uendeshaji sekretariati ya ajira kifungu cha 37(1c), wanasheria tusaidieni, maana tusije ingia kwenye utumishi wa umma kimakosa
 
Kaka soma katika maelekezo yao kule mwisho sema sijaquote vizuri ila kuna kipengele wameeleza kuhsu overqualifie candidate wanaonya sana mfano kama una degree na diploma then kazi ni diploma kama utatumia cheti cha diploma hapo sahau degree yako utalamba mshahara wa diploma na mwajiri hatambui degree yako

Iko kipengele wanasisita sana kuhsu overqualifie candidates means excess the job requirements and qualification ukiapply ujue umejishusha incase umajiriwa so wao wenyewe walitoa mwongozo yupo msela aliniambia anafanya kazi na diploma even ni degree holder na kajikuta kafanya kosa sana hata wanapokuja fanya vetting ya vyeti haruhusiwi kutoa cha degree wanamjua ni diploma for life😂😂😂
 
Kaka soma katika maelekezo yao kule mwisho sema sijaquote vizuri ila kuna kipengele wameeleza kuhsu overqualifie candidate wanaonya sana mfano kama una degree na diploma then kazi ni diploma kama utatumia cheti cha diploma hapo sahau degree yako utalamba mshahara wa diploma na mwajiri hatambui degree yako

Iko kipengele wanasisita sana kuhsu overqualifie candidates means excess the job requirements and qualification ukiapply ujue umejishusha incase umajiriwa so wao wenyewe walitoa mwongozo yupo msela aliniambia anafanya kazi na diploma even ni degree holder na kajikuta kafanya kosa sana hata wanapokuja fanya vetting ya vyeti haruhusiwi kutoa cha degree wanamjua ni diploma for life😂😂😂
Kwahiyo hapo inabidi aombe akasome degree tena upya akitumia cheti cha Diploma ili kukidhi matakwa ya kanuni za utumishi wa umma
 
Kaka soma katika maelekezo yao kule mwisho sema sijaquote vizuri ila kuna kipengele wameeleza kuhsu overqualifie candidate wanaonya sana mfano kama una degree na diploma then kazi ni diploma kama utatumia cheti cha diploma hapo sahau degree yako utalamba mshahara wa diploma na mwajiri hatambui degree yako

Iko kipengele wanasisita sana kuhsu overqualifie candidates means excess the job requirements and qualification ukiapply ujue umejishusha incase umajiriwa so wao wenyewe walitoa mwongozo yupo msela aliniambia anafanya kazi na diploma even ni degree holder na kajikuta kafanya kosa sana hata wanapokuja fanya vetting ya vyeti haruhusiwi kutoa cha degree wanamjua ni diploma for life😂😂😂
Sio kweli boss, categorization IPO na inafahamika kisheria,na Pia MTU akiajiriwa ana haki ya kujiendeleza kielimu,ili kupanda cheo na daraja,Pia kama Una Cheti cha ziada sio kosa kukitoa,utafanyiwa categorization kulingana na mahitaji,eneo unakofanya Kazi.
 
Akuna tatizo lolote mimi binafsi niliajiriwa kwa Diploma wakati huo nina Degree na badae nilipeleka vyeti vya Degree
 
Sio kweli boss, categorization IPO na inafahamika kisheria,na Pia MTU akiajiriwa ana haki ya kujiendeleza kielimu,ili kupanda cheo na daraja,Pia kama Una Cheti cha ziada sio kosa kukitoa,utafanyiwa categorization kulingana na mahitaji,eneo unakofanya Kazi.
Recategorization ni kwa wale waliojiendeleza ndani ya utumishi kwenye fani tofauti na aliyoajiriwa nayo. Kinachoongelewa hapa ni suala la mtu mwenye degree na ziada ya certificate kutumia elimu ngazi ya cheti alichokipata baada ya kumaliza degree ili kuomba kazi inayotaka mtu mwenye Elimu ya Kidato cha NNE na cheti cha astashahada.

Mfano, mm nilimaliza degree mwaka 2016 kisha mwaka 2017 nikasoma kakozi fulani kwa ngazi ya astashahada, baada ya hapo nikaona kazi inayotaka mwenye Kidato cha NNE na Ngazi ya cheti kwenye fani fulani, basi nikafuta taarifa zangu za elimu ya Degree na kuacha tu ile ya Certificate na Kidato cha NNE, kisha kwa njia hiyo nikawashinda wale wa certificate kwenye usaili nikapata kazi, Je, nikipeleka cheti changu cha Degree nikiripoti kazini, cheti hicho cha degree kitachukuliwa kama matokeo ya kujiendeleza kieleimu kwenye utumishi au kitachukuliwaje?
 
Akuna tatizo lolote mimi binafsi niliajiriwa kwa Diploma wakati huo nina Degree na badae nilipeleka vyeti vya Degree
Ahsante sana, maana hili jambo limekuwa kama vile lina usiri fulani kwenye utumishi wa umma na hasa kwa sisi tunaotegemea kujiunga na utumishi wa umma. Ahsante kwa kutupa uzoefu wako ndani ya utumishi wa umma
 
Back
Top Bottom