Utata ajira zinazotangazwa kupitia Sekretariate ya Ajira

Utata ajira zinazotangazwa kupitia Sekretariate ya Ajira

Recategorization ni kwa wale waliojiendeleza ndani ya utumishi kwenye fani tofauti na aliyoajiriwa nayo. Kinachoongelewa hapa ni suala la mtu mwenye degree na ziada ya certificate kutumia elimu ngazi ya cheti alichokipata baada ya kumaliza degree ili kuomba kazi inayotaka mtu mwenye Elimu ya Kidato cha NNE na cheti cha astashahada.

JeAhhaa,kumbe case ilikuwa hiyo,Kwa case hiyo sijajua inakuwaje,ila system ya ajira portal ukishaupload Cheti kufuta ni ngum
 
Vijana acheni woga.
Hivi kuna ubaya gani ukijitetea kuwa ulitumia cheti cha chini kwakuwa cheti cha juu ulikuwa hujakabidhiwa kwasababu fulani fulani kama madai ya ada n.k?
Ikumbukwe utatambulika ni mhitimu wa level fulani baada ya kupewa cheti husika na sio mwaka wa kuhitimu.
Kuna wakati unaweza kunyimwa cheti kwa makosa ya kinidhamu na baadaye ukakipata baada ya kukata rufaa.
 
Vijana acheni woga.
Hivi kuna ubaya gani ukijitetea kuwa ulitumia cheti cha chini kwakuwa cheti cha juu ulikuwa hujakabidhiwa kwasababu fulani fulani kama madai ya ada n.k?
Ikumbukwe utatambulika ni mhitimu wa level fulani baada ya kupewa cheti husika na sio mwaka wa kuhitimu.
Kuna wakati unaweza kunyimwa cheti kwa makosa ya kinidhamu na baadaye ukakipata baada ya kukata rufaa.
Hili ni wazo zuri, lakini wakifanya ufuatiliaji huko chuoni nilikosoma, itakuwaje?
 
Hili ni wazo zuri, lakini wakifanya ufuatiliaji huko chuoni nilikosoma, itakuwaje?
Bila shaka wewe bado uko chuo au bado haujaingia huko UTUMISHINI,iko hivi hiyo sheria ipo ila sheria si msahafu mzee watu kibao wanapitia njia hiyo na wanazunguka nyuma wana update vyeti na wanapanda nafasi sio kila kinachoandikwa basi kinafatwa 100% pata kwanza kazi mengine utajionea ukiingia huko kwenye UTUMISHI tunaita fitina zipo mzee,elewa wanayokwambia watu hapo juu achana na hizo nadharia za kwenye hiyo PDF.
 
Bila shaka wewe bado uko chuo au bado haujaingia huko UTUMISHINI,iko hivi hiyo sheria ipo ila sheria si msahafu mzee watu kibao wanapitia njia hiyo na wanazunguka nyuma wana update vyeti na wanapanda nafasi sio kila kinachoandikwa basi kinafatwa 100% pata kwanza kazi mengine utajionea ukiingia huko kwenye UTUMISHI tunaita fitina zipo mzee,elewa wanayokwambia watu hapo juu achana na hizo nadharia za kwenye hiyo PDF.
Ni heri umemsaidia
 
Je, atanufaika vipi na elimu yake ya Degree katika utumishi wa umma, ikiwa atalipwa kama mtu mwenye certificate? Je, kama atapeleka cheti chake cha degree baada ya kuajiriwa, atafikiriwa kama cheti hicho ni matokeo ya kujiendeleza kielimu katika utumishi wa umma au digrii hiyo itachukuliwa kama kiwango cha elimu aliyoajiriwa nayo? Je, kikanuni za utumishi wa umma, inaelekeza vipi kwa mazingira hayo?
Anaingia na cheti baadae anaomba kufanyiwa recategorization anapandishwa. Mjini mipango muhimu check number
 
Hili ni wazo zuri, lakini wakifanya ufuatiliaji huko chuoni nilikosoma, itakuwaje?
Nani afuatilie?
Dogo unapoingia kazini sio kwamba unakaa wiki moja unatoa cheti cha degree. Unatulia kwanza hata miaka 3 uzoeane na watumishi wenzako
 
Unakaa hata miaka minne Dogo unajua machimbo ya kupita sio unafika na kutoa cheti cha degree usipokuwa roho ngumu sometime ni ngumu kufanikiwa
 
Nani afuatilie?
Dogo unapoingia kazini sio kwamba unakaa wiki moja unatoa cheti cha degree. Unatulia kwanza hata miaka 3 uzoeane na watumishi wenzako
Kuna jamaa angu fulani, imekuwa ngumu kwake maana alipo hapo kila mtu anajua aliingia na astashahada wakati ana degree, na kilichosababisha ni wenzake walioingia nae interview ndo alisoma nao certificate. Lakini suala ni kujifanya kama hujui ili goma liende
 
Kuna jamaa angu fulani, imekuwa ngumu kwake maana alipo hapo kila mtu anajua aliingia na astashahada wakati ana degree, na kilichosababisha ni wenzake walioingia nae interview ndo alisoma nao certificate. Lakini suala ni kujifanya kama hujui ili goma liende
Unamfuata mmoja face to face unamwambia ukinifuatilia ntakuua bila kupepesa macho.
Hakuna kuogopa mtu kwenye haya maisha
 
Wakuu naomba msaada hapa, kuna rafiki yangu ana degree ya IT baada ya kusota Sana mtaani akaja tukasoma wote kozi nyingine ya diploma, alikuwa kashajisajiri ajira portal kwa hizo qualifications za degree then ikatokea tangazo la kazi linalohitaji qualifications za diploma tuliosoma wote, shida yake inakuja akitaka kuaply hiyo kazi ya diploma anaambiwa ameover qualify awezi apply hiyo kazi .. kaenda mpaka utumishi dar kanambia ajafanikiwa japo sikujua undani wake alipewa maelezo gani ..... Kwa mwenye kujua njia ya kumsaidia naomba mawazo yenu
 
Hiyo hiyo kazi tumeomba umepita mwezi Sasa hamna hata ujumbe wowote wa kuitwa au kutokuitwa kwenye interview...
 
Wakuu naomba msaada hapa, kuna rafiki yangu ana degree ya IT baada ya kusota Sana mtaani akaja tukasoma wote kozi nyingine ya diploma, alikuwa kashajisajiri ajira portal kwa hizo qualifications za degree then ikatokea tangazo la kazi linalohitaji qualifications za diploma tuliosoma wote, shida yake inakuja akitaka kuaply hiyo kazi ya diploma anaambiwa ameover qualify awezi apply hiyo kazi .. kaenda mpaka utumishi dar kanambia ajafanikiwa japo sikujua undani wake alipewa maelezo gani ..... Kwa mwenye kujua njia ya kumsaidia naomba mawazo yenu
Alijaribu hivyo lini? Kuna wengine zinakubali
 
Sioni Ubaya kama mwenye degree akafanya kazi ya wa certificate kikubwa ni aridhie, Kutokana na tatizo la ajira serikali ingewachukua hawa wa degree tu waongeze value. watu wana degree saivi wanakosa hata chance za field halafu unaajiri mtu wa certificate halfu baadae unakuja kumgaramikia kumsomesha kuendeleza elimu... tena wangeaanza na walimu,polisi na halmashauri.
 
Wakuu naomba msaada hapa, kuna rafiki yangu ana degree ya IT baada ya kusota Sana mtaani akaja tukasoma wote kozi nyingine ya diploma, alikuwa kashajisajiri ajira portal kwa hizo qualifications za degree then ikatokea tangazo la kazi linalohitaji qualifications za diploma tuliosoma wote, shida yake inakuja akitaka kuaply hiyo kazi ya diploma anaambiwa ameover qualify awezi apply hiyo kazi .. kaenda mpaka utumishi dar kanambia ajafanikiwa japo sikujua undani wake alipewa maelezo gani ..... Kwa mwenye kujua njia ya kumsaidia naomba mawazo yenu
Hii kitu ishanitokea mpaka nikalia sana, ukiwachek ajira portal hawataki kufuta wanasema subiri ajira ya level yako itoke
 
Hii kitu ishanitokea mpaka nikalia sana, ukiwachek ajira portal hawataki kufuta wanasema subiri ajira ya level yako itoke
Wengine wanafanikiwa sana, mfano ukiangalia kwenye ile portal, utaona kwenye Academic qualification kuna option ya edit, na pale kwenye Transcript kuna option ya delete. watu wamefanya hivyo, lakini sina uhakka, huenda waliwasiliana na Sekretariati
 
Wengine wanafanikiwa sana, mfano ukiangalia kwenye ile portal, utaona kwenye Academic qualification kuna option ya edit, na pale kwenye Transcript kuna option ya delete. watu wamefanya hivyo, lakini sina uhakka, huenda waliwasiliana na Sekretariati
Hiyo njia nshawahi kuijaribu lkn hakuna positive yoyote na wala haiondoi qualifications uliyoweka mana bado itakuwa inasoma kama mara ya kwanza ilivyo japokuwa ume-edit cheti, kinachotakiwa ni ile sehemu yote ambayo umeweka cheti iondoke na wao hawataki kuiondoa
 
Recategorization ni kwa wale waliojiendeleza ndani ya utumishi kwenye fani tofauti na aliyoajiriwa nayo. Kinachoongelewa hapa ni suala la mtu mwenye degree na ziada ya certificate kutumia elimu ngazi ya cheti alichokipata baada ya kumaliza degree ili kuomba kazi inayotaka mtu mwenye Elimu ya Kidato cha NNE na cheti cha astashahada.

Mfano, mm nilimaliza degree mwaka 2016 kisha mwaka 2017 nikasoma kakozi fulani kwa ngazi ya astashahada, baada ya hapo nikaona kazi inayotaka mwenye Kidato cha NNE na Ngazi ya cheti kwenye fani fulani, basi nikafuta taarifa zangu za elimu ya Degree na kuacha tu ile ya Certificate na Kidato cha NNE, kisha kwa njia hiyo nikawashinda wale wa certificate kwenye usaili nikapata kazi, Je, nikipeleka cheti changu cha Degree nikiripoti kazini, cheti hicho cha degree kitachukuliwa kama matokeo ya kujiendeleza kieleimu kwenye utumishi au kitachukuliwaje?
Naomba kuuliza, kwa mfano ajira imetoka inahitaji mtu wa form six lkn awe amepata mafunzo ya upigaji picha ndani ya hicho cheti cha form six, sasa mimi sina mafunzo ya upigaji picha ndani ya cheti cha form six ila nina diploma ya upigaji picha. Je kwenye usaili wakiniuliza mbona cheti changu cha form six hakina hayo mafunzo naweza kusema nina diploma hiyo.? na je wataweza kunikubali.?
 
Back
Top Bottom