Utata juu ya mahusiano ya mapenzi kati ya Rick Ross na Hamisa Mobetto

Yani unaumiaa,mwanzo nilidhani kweli ulitaka kuelewa lakini kwa post hii,wewe ni kati ya Wanaume wanaomuonea wivu Hamisa, reymage njoo uone mwingine huyu hapa anateseka na penzi la Hamisa kwa Richforever
Mimi sihusiki, nawakilisha mawazo ya shabiki
 
A self motivated dream come true from a woman. Hamisa kajilengesha bure kwa Rick, kaliwa kutimiza ndoto zake na Ross amemthaminisha dats why kamla.ntakukula bila promo is it ok? Yeah its over.
 
Waende Shade Room Rick Ross amemfanya Hamisa ajulikane na watu wengi duniani.

Hapa wameshindwa kabisa wakosoe kwa lipi,maana wameona Ross kampandia denge mtoto all the way from Paris to Dubai kwa ajili ya Hamisa tu.Ila Dunia hii,usiongee ukamaliza yote,kila nikikumbuka zile kashfa za Watandale na Baby Mama wa kwa Madiba kisha nikaona hii picha hapa chini,nabaki kucheka tu.
 
Vijana UMASIKINI ni mbaya sanaa.


UMASIKINI unafanya vijana, waone kama Hamisa Mobeto...anafaidi kuliwa na RickR !!!!

[emoji3][emoji3] ukweli ulio mchungu sana kwa vijana wengi hasa wanao comment kwa uzi huu wakiwa wamejawa makasiriko
 
[emoji3][emoji3] ukweli ulio mchungu sana kwa vijana wengi hasa wanao comment kwa uzi huu wakiwa wamejawa makasiriko
Huo ndo ukweli Jombaaa... vijana maisha yamechapa mnooo .

Hapo anataman hata siku moja nayeye angekua anamla HM, lkn kwakua ni umasikini , anabakia kumuita HM MALAYA.

nawaambieni, HM ni mwanamke mzuri kweli kweli , ana jina kubwa, ni mpambanaji.

Mwisho wa siku nayeye ni mwanamke, ANAHITAJI DUNIA YA MAHABA.

Kwahiyo adate na kapuku ndo mseme sio Malaya????

Au mnataka awe bila mwanaume ????

NAWAAMBIENI, HATA RICK R, LEO AMTEME MOBETO, BADO MOBETO, ATABAKI KUA MWANAMKE ANAYEHITAJI MWANAUME .
 
Dada zetu nanyi punguzeni kudanga,sasa huyu binti simple kabisa!what does she have on her name!!?ni msanii!? Hapana !mfanyabiashara!!big no!mwanasiasa!!nope!

So what does she bling on the table!! To catch Rick Ross!???
This guy is just using her as a loose girl!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…