Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A self motivated dream come true from a woman. Hamisa kajilengesha bure kwa Rick, kaliwa kutimiza ndoto zake na Ross amemthaminisha dats why kamla.ntakukula bila promo is it ok? Yeah its over.Hivi karibuni ukurasa wa Hamisa Mobetto Instagram umedhihirisha kuwa mwanamtindo huyo yupo karibu sana na Rick Ross.
Hamisa Mobetto amekuwa akichapisha picha na video fupi zikionesha wawili hao wakiwa kwenye kumbi tofauti za starehe huku wakionesha ishara ya mapenzi
Shabiki wa Rick Ross na Hamisa Mobetto wamekuwa wakijiuliza kuwa mahusiano ya wawili hawa ni batili kwasababu hawajaona kurasa za Rick Ross Instagram, Facebook na Twitter zikichapisha picha, video au taarifa yeyote inayohusiana na Hamisa Mobetto.
Wengine wamedai kuwa Hamisa Mobetto ndiye anayelazimisha mapenzi kati yake na Rick Ross ndio maana Hamisa Mobetto amekua akichapisha habari za upande wa pili huku Rick Ross akiwa kimya.
Wengine wamedai kuwa Rick Ross ana mchezea Hamisa Mobetto ndio maana hajachapisha habari yeyote juu yao na kama angekuwa anamthamini Hamisa Mobetto basi angekuwa mstari wa mbele kudhihirishia ulimwengu kuwa yupo kwenye mahusiano kama wanaume wanavyokuwa mstari wa mbele kuonesha mahusiano yao.
Je wewe una mawazo gani juu ya mahusiano haya?
View attachment 2025148
Nahisi uko sahihi kiasiAmesharudi kinyonge sana,sijui hajalipwa?
Ila asingeweka wazi mambo yake,sasa kila mtu anajua umetoka kuto**m bwa.
Angekuwa anampenda angeenda nae USA.
Sky Eclat upo?Waende Shade Room Rick Ross amemfanya Hamisa ajulikane na watu wengi duniani.
Waende Shade Room Rick Ross amemfanya Hamisa ajulikane na watu wengi duniani.
Endelea kulala tutakuamsha chai ikiivaNahisi hakuna mapenzi hapo zaidi ya biashara ya pombe.
sawa time will tell.Endelea kulala tutakuamsha chai ikiiva
Achana nao...Nahisi hakuna mapenzi hapo zaidi ya biashara ya pombe.
Vijana UMASIKINI ni mbaya sanaa.
UMASIKINI unafanya vijana, waone kama Hamisa Mobeto...anafaidi kuliwa na RickR !!!!
Umemkata maini atasema umeeditView attachment 2025185
View attachment 2025186
View attachment 2025187
Nadhani tutakuwa tumeelewana sasa
Huo ndo ukweli Jombaaa... vijana maisha yamechapa mnooo .[emoji3][emoji3] ukweli ulio mchungu sana kwa vijana wengi hasa wanao comment kwa uzi huu wakiwa wamejawa makasiriko
Dada zetu nanyi punguzeni kudanga,sasa huyu binti simple kabisa!what does she have on her name!!?ni msanii!? Hapana !mfanyabiashara!!big no!mwanasiasa!!nope!Hivi karibuni ukurasa wa Hamisa Mobetto Instagram umedhihirisha kuwa mwanamtindo huyo yupo karibu sana na Rick Ross.
Hamisa Mobetto amekuwa akichapisha picha na video fupi zikionesha wawili hao wakiwa kwenye kumbi tofauti za starehe huku wakionesha ishara ya mapenzi
Hayo ni matatizo yao Sisi hayatuhusu.