Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

Mk54

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,996
Reaction score
3,950
1. Kifo cha JPM ni fumbo tata na kina maswali mengi kuliko majibu.

2. Baada ya kifo cha JPM, hata zile kelele za Corona this Corona that hatuzisikii tena, badala yake maisha yanaenda kama kawaida....kwa wenye kutafakari hii inatupa TAFSIRI kubwa sana.

IMG_4800.jpg



IMG_4799.jpg


3. Mradi wa Bagamoyo ambao unapigiwa debe kwa sasa ni miongoni mwa miradi ambayo ndani yake ulikuwa na vipengele ANGAMIZI kwa taifa la Tanzania. JPM aliusimamisha mradi huu pamoja na miradi mingi ya NSSF kwa kushirikiana na wataalam wake na miongoni mwa hao wataalam ni hawa wanaopigia debe mradi huu kwa sasa.

4. Sisi kama wananchi, Tulitarajia kuona maelezo ya awali kutoka kwa SPIKA kwanini mradi huu ulisimamishwa kama ulikuwa na TIJA katika taifa.

5. Kwa nini hili linakuja ikiwa ni siku chache tu baada ya kifo cha JPM , suala hili linajadiliwa kwa kasi bila ya kuweka Terms za Procuring entity dhidi ya Supplier, miradi ya awamu ya nne chini ya Dau , ilikuwa ni miradi Fakamizi ya kunyonya taifa kwa kushirikiana na Chinese.
6. Spika ametoa hutuba yake kuwa hakuna anaetaka kuunza nchi. Well, fine ;

Why did he jump into that conclusion wakati wananchi wanahitaji kuelewa kwanza[emoji845]this is very immature.

There is something fishy nyuma ya hii ishu na kuna watu wanaanza kujisogeza kwenye position zao japo wapo kimya.


7. Tunajua mradi huu ulikuwa ni dili la awamu ya 4 na serikali ya China ambapo kwa sasa ameshaanza kujisogeza baada ya kifo cha JPM.

IMG_4791.jpg



Kwa taratibu za manununzi zipi zilitumika kumpata mchina ? au mwingine yoyote. Tanzania ya leo Ina wasomi hatuhitaji huu upuuzi hata.

View attachment 1760388


Tunajua Report ya CAG inayotolewa sasa ni mpango mkakati wa kuua Legecy ya JPM; kuna Mtanzania aliyesoma CAG report ya 2013/2014. Pitieni huko kwanza nchi ilishaoza na kutoa funza. Tanzania ilianza kupata heshima kama nchi katika utawala wa JPM.

Mwisho, Mradi ujadiliwe kwa mapama na uwazi tena na watu ambao ni brained sio hao wasanii na form 4 leavers waliojazana mjengoni.

Hakuna sababu za kuharakisha kwa hii kasi inayokuja kwa sasa.

Huenda ikawa ni HASARA nyingine kwa taifa

——
 
Lolote linaweza kutokea, haya majamaa ukizuia interest zao, wako smati sana kukuondoa kiaina......anewei tuendelee kuamini kuwa ni nachoro dethi, hizo alegesheni tuzipuuze tu

Hata Kifo cha JFK awali ilisemekana ni allegations tu na Conspiracy theory. Kwa Sasa kila mtu anajua kuwa Kennedy was assassinated tena kwa msaada wa watendaji wake waliompangia safari na kuiratibu. Alikuwa assassin kwa sababu aligusa interest za establishments

Haya mambo needs strong mind to discuss
 
Hata Kifo cha JFK awali ilisemekana ni allegations tu na Conspiracy theory. Kwa Sasa kila mtu anajua kuwa Kennedy was assassinated tena kwa msaada wa watendaji wake waliompangia safari na kuiratibu. Alikuwa assassin kwa sababu aligusa interest za establishments

Haya mambo needs strong mind to discuss
Inawezekana pia hata hapa ,ukiunganisha dots, japo ndiyo ivyo tena maana hakuna siri hapa duniani
 
HUO MKATABA WAWEKE WAZI ILI WATU TUUSOME NA TUCHANGIE.

Mbona matumizi ya kubadirisha matumizi ya viwanja kwenye halmashauri zetu huwa WANA WEKA BANGO???
 
Inafikirisha hivi sasa hta sisikii Tena kuwa Tanzania hutuzingatii corona, kwamba vifo vitaongezeka...kimya kabisa

Huoni kama now watu tunaishi kama hakuna Corona.

Je, CAG kutoka hadharani kipindi hiki na kutoa hayo tunayoyasikia it means alikuwa na Taarifa 2 . Sasa hii Taarifa ya 2 ndio anatumia kumchafua JPM kwa maagizo ya mabwana.

Muda utaongea
 
Inafikirisha hivi sasa hta sisikii Tena kuwa Tanzania hutuzingatii corona, kwamba vifo vitaongezeka...kimya kabisa

IMG_4801.jpg


Soon utaanza kusikia mradi unaanza
Soon utaona majibu ya kamati ya COVID inaishauri serikali kuruhusu Chanjo ya COVID . Ni suala la muda. Utasikia tumeshauriwa na wataalam.

Kila unachoona sasa hivi Pay attention ni katika kuonesha awamu ya 5 ilikuwa hovyo. Ni mpango mkakati.

Ila ukweli ni kwamba Pamoja na kasoro za hapa na pale , awamu ya 5 ilifanya mengi makubwa yaliyoshindikana na watangulizi wengi
 
Ule mkataba wa ujenzi wa mradi wa bagamoyo si ulivunjwa na Mh JPM ?.
Na alitueleza sababu zilizokua za msingi juu ya alicho kifanya

Hawa wanaopigia debe wanaweza kutuambia kwamba, je alicho sema JPM ni Uongo na kama Ni Uongo Ukweli ni Upi

SPIKA alipaswa kuanza na hili kabla ya kuwa na defensive speech kuwa Hakuna anaetaka kuuza nchi

Poor him
 
Back
Top Bottom