Utata katika Rapidshare, MegaUpload, Kaspersky, AVG na Antivirus mbalimbali

Utata katika Rapidshare, MegaUpload, Kaspersky, AVG na Antivirus mbalimbali

Kasper 2009 sio antivirus nzuri kusema za ukweli ingawa ina features nyingi hazijaweza kutatua matatizo sugu ya virus pamoja na spyware unashauriwa uende kwa mcafee na norton hata avg kidogo
 
Kasper 2009 sio antivirus nzuri kusema za ukweli ingawa ina features nyingi hazijaweza kutatua matatizo sugu ya virus pamoja na spyware unashauriwa uende kwa mcafee na norton hata avg kidogo
Shy nafikiri antvirus nyingi si kwamba zinauwezo wa kuondoa kila virus. Lakini tunaangalia efficiency ya software.
Kwangu naona ni nzuri kuliko mcafee na Norton, maana nimetumia zote na kwa kweli inanikinga vizuri kuliko zile.
 
Kasper 2009 sio antivirus nzuri kusema za ukweli ingawa ina features nyingi hazijaweza kutatua matatizo sugu ya virus pamoja na spyware unashauriwa uende kwa mcafee na norton hata avg kidogo

Shy, pls waweza kutoa data zaidi ili ku-support mapungufu ya Kasper 2009... mfano aina za virus ilizoshindwa kuzing'oa n.k.. thanx
 
Unajua kuna watu watachukua ulabu kwanza kabla hawajaangalia ishu
nyengine kibao?...sio anti-virus tu.Hata dawa za matibabu mtu ana-debate
between that and getting beer...lakini kama wasemavyo waswahili,
Utani mwingine kama kweli vile...
 
Setting priorities is necessary in our lives. Many people, especially young men, and more so learned young men do not have plans. The fact that many of us don't have plans it is costing our lives.

Bravo Steve as you have spoken the truth. To protect oneself for $30 for a whole year is almost nothing. if you can spend 2000 a day for a boose, how much do you loose for year for something less important in life?

Tanzanians we have to be serious in life? Kwa nini tunapenda dezo washikaji? Dezo ni ugonjwa mbaya sana na tukiuendekeza maisha yetu yataendelea kuyumba.
 
Naomba tuwe wangalifu na maandiko yetu "Je unauhakika yule aliyekuwa amelewa chakari ndie huyo huyo anaesema hawezi kununua, mbona "unageneralise" tu. Wengine wana pata mtandao makazini kwao bure lakini vipato vyao ni kidogo. Unaposema priorities hii sio piriority kwake, akikosa hafi akikosa ugali atakufa.
Pili wengi hawa wa hizi "online downloads" wanataka ulipe kwa Credit Cards American Express, VISA n.k. si kila mtu ana uwezo au rafiki mwenye hizi kadi. Cha kufanya wape msaada utakao wasaidia na sio kuwasagia tu. Wewe unakula ukashiba ujue si wote wanakula wakashiba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hebu changia wapateje hizo bure, na ndio maana walioziweka waliweka, au sivyo??????????
 
Naomba tuwe wangalifu na maandiko yetu "Je unauhakika yule aliyekuwa amelewa chakari ndie huyo huyo anaesema hawezi kununua, mbona "unageneralise" tu. Wengine wana pata mtandao makazini kwao bure lakini vipato vyao ni kidogo. Unaposema priorities hii sio piriority kwake, akikosa hafi akikosa ugali atakufa.
Pili wengi hawa wa hizi "online downloads" wanataka ulipe kwa Credit Cards American Express, VISA n.k. si kila mtu ana uwezo au rafiki mwenye hizi kadi. Cha kufanya wape msaada utakao wasaidia na sio kuwasagia tu. Wewe unakula ukashiba ujue si wote wanakula wakashiba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hebu changia wapateje hizo bure, na ndio maana walioziweka waliweka, au sivyo??????????

Mazungumzo baada ya habari yamewajia toka JF!!
 
Its true mchukia fisadi, there is no antivirus that will be 100% protective ila zinazidiana and it all depends with your activities, one who downloads more is at a higher risk compared to one who doesnt, one who likes puting lots of flash disks which arent scanned is at a higher risk. For me I have used Norton,AVG,kaspersky and MACafee but so far I have rated KAspersky 2009 the best.
 
.... "nizabe nikuzabe" goes a long way, doesn't it?!

.... if you use a computer 24 -7 and don't know how to debug a minor problem then get a genuine software to protect you!

.... kama hutaki kuumwa na mbu, nunua chandarua - tena kile kilichotibiwa kwa dawa!

.... software za kukinga computer zetu zisiingiwe na madudu ni kitu muhimu na chenye kuchukua priority ya juu as long as tunategemea hizi computer kufanya kazi zetu.

.... hivi mmeshawahi kuniona mimi nimelalamika hapa jamvini kuhusiana na software zingine zozote zile? Binadamu tuna mipaka yetu, wengine wanaweza kuendelea kutafuta 'chandarua cha kuazima' ili kujikinga, miye mpaka wangu kuhusiana na 'mbu' ni kujinyima na kukusanya vijisenti vya kununulia 'chandarua' kipya!

Invisible na Lazydog, kuhusu zango, that is something obvious.. same applies to megaupload na sharing utilities nyingine mbalimbali zilizopo mtandaoni... .i did not post the link to rapsharefind.com not knowing that there are other issues to do with it...if anything to regret- then it is my disregard to describe that service thoroughly.

if you are wiling to spend good enough time to circumvent software keys and are desperate to get an antivirus program to protect you, then IN MY OPINION ni mtu ambaye hujali computer yako.

hassle ambayo mtu utapata kukimbia kimbia kutafuta key mpya is not worth it at all kwa program isiyozidi dolla 30.

The bottom line naomba wenzangu mnielewe ni kwamba, uamuzi wa mtu kufanya kitu ni wake mwenyewe. Hapa tupo kushauriana na kupeana opinion. Hoja zina jadilika kwa hoja. Na kwenye mambo ya ICT, kila mmoja wetu ana opinion zake kulingana na ujuzi wake, mapendeleo yake na uwezo wake.

Mimi kama nyie tu wenzangu, nami hutafuta software mbalimbali na kwa njia mbali mbali - za bure, za kutungua, za kununua, n.k. Saa nyingine kwa nia ya kujaribu tu...
Basi nikitoa hoja na msimamo wangu kwenye hili swala la antivirus... ni kwamba mimi nitatafuta za bure au nitajinyima na kununua - na huu ni msimamo wangu kuhusiana na antivirus programs. Natumaini nimeeleweka. Naishia hapa, ahsanteni.

SteveD.

Nakuunga mguu kwa 100% ktk hili la free antivirus. Kuna post aliiweka Invisible ya Keyloggers. nami nillipost mtazamo wangu hasa kuhusiana na usalama wa PC zetu na hizi free antivirus/spyware/ad ware .n.k kuwa kwa ushauri na mtazamo wa kitaalamu hazifai kwa usalama wa computer zetu.
Lakini inaonekana watz tunapenda sn dezo hata kwa usalama wetu wenyewe, ndio yaleyale "mke wa bush anakuja kugawa vyandarua vya mbu kwa watz".

Hebu tutumie akili zetu za kuzaliwa; Unanunua Computer ya laki 5 au 6 n.k; kwa nini ushindwe kununua mlinzi wa computer yako kwa fedha isiyozidi laki 1? huu ni ubahili gani????

Mchelea mwana kulia hulia yeye!!!!!
 
Nakuunga mguu kwa 100% ktk hili la free antivirus. Kuna post aliiweka Invisible ya Keyloggers. nami nillipost mtazamo wangu hasa kuhusiana na usalama wa PC zetu na hizi free antivirus/spyware/ad ware .n.k kuwa kwa ushauri na mtazamo wa kitaalamu hazifai kwa usalama wa computer zetu.
Lakini inaonekana watz tunapenda sn dezo hata kwa usalama wetu wenyewe, ndio yaleyale "mke wa bush anakuja kugawa vyandarua vya mbu kwa watz".

Hebu tutumie akili zetu za kuzaliwa; Unanunua Computer ya laki 5 au 6 n.k; kwa nini ushindwe kununua mlinzi wa computer yako kwa fedha isiyozidi laki 1? huu ni ubahili gani????

Mchelea mwana kulia hulia yeye!!!!!

Jamani hivi mme test hizo software au twapiga kelele tu...mie niko na kaspersky hapa na key ya Invisible na nina peta kama kawaida...key inauzwa dola 30.Sio mbaya kwa kununua...ila kama nimeweza kutumia hiyo ya mkuu Invisible na haijawa blacklisted why should i buy?Test ikishindikana go and buy.

The same mbona mnasema tunapenda vya bure mbona mnaenda kwenye request what u need?Mbona tunamuomba kilogwe material?Je uko tuna nunua?Invisible anatuwekea vitabu,software tunadownload then tunakuja piga kelele uko ohh watanzania twapenda vya bure...koma.Tunaweka na qoutes hapa za kiswahili pls tufanye nini turidhike?Ungepata nafasi wapi ya kuongea haya?

JF ni kama familia..moja kubwa....wacha tusaidia...na sio kwa sababu unapata nafasi ya ku type basi unata kuonekana una mawazo...wakati huo huo unaomba vya bure...c'mon.Mie niko willing kusaidia lolote kwa free kama ninacho...hata kama nimenunua.

Jioni Njema
Buswelu
 
Jamani hivi mme test hizo software au twapiga kelele tu...mie niko na kaspersky hapa na key ya Invisible na nina peta kama kawaida...key inauzwa dola 30.Sio mbaya kwa kununua...ila kama nimeweza kutumia hiyo ya mkuu Invisible na haijawa blacklisted why should i buy?Test ikishindikana go and buy.

The same mbona mnasema tunapenda vya bure mbona mnaenda kwenye request what u need?Mbona tunamuomba kilogwe material?Je uko tuna nunua?Invisible anatuwekea vitabu,software tunadownload then tunakuja piga kelele uko ohh watanzania twapenda vya bure...koma.Tunaweka na qoutes hapa za kiswahili pls tufanye nini turidhike?Ungepata nafasi wapi ya kuongea haya?

JF ni kama familia..moja kubwa....wacha tusaidia...na sio kwa sababu unapata nafasi ya ku type basi unata kuonekana una mawazo...wakati huo huo unaomba vya bure...c'mon.Mie niko willing kusaidia lolote kwa free kama ninacho...hata kama nimenunua.

Jioni Njema
Buswelu


OK, nimekupata mkuu. Hiyo KS 2009 mimi niliipata tangu oktoba mwaka jana kwa njia hiyo unayoisema ya kuishusha kutoka kwao KS Lab, nikatumia free version hadi novemba ikawa haipati updates. Kuna m2 wng mmoja yupo University of Africa akanipatia cracked key nikaitumia c zaidi ya ck4 ikaniletea nipo ktk blacklist. desemba nikapata profession version kwa 40'000 so i'm safe now.

Cracked version yako Ikifanya kazi sina tatizo lolote ila je, unahakika unapata updates? Database yako haipo obsolete? kwa mfano Kuna watumiaji wengi wa node 32 ile ya temdono (ina expire 2050!!!???) ushawahi kuwaona/kusikia wanavyopata matatizo ya virus. Aki-update inamletea updates ya 2 kb au wkt mwengine unaambiwa "no updates required" ila ukiangalia trh ya mwisho ya updates ni zaidi ya miezi kadhaa iliyopita. Hiyo ni same issue kwa AVG zilizokuwa-cracked. Unawekwa ktk blacklist bila kuambiwa!!! wewe unastukia unapata mafuriko ya virus wkt status ya antivirus yako ipo sawa.

Ku-request study materials si issue ni option ya m2, huwezi jua labda anazo lakini si compete, ni za zamani, au anataka ku-cross check reference n.k. Huwezi kulinganisha na security materials, hizo si options; Kuweka Professsion Antivirus/Antspy Ware, Firewall, Password n.k ni vitu muhimu kwa usalama wa system yako na data zako kwa ujumla.

Wandugu, tuangalie priorities kwa system zetu kwanza then ndio mengineyo; huo ni mtazamo wangu lakini simlazimishi m2. IT field ni pana sana kila m2 ana-enjoy ktk uwanja wake!!!

Wa2 2endelee kusaidiana hapa nyumbani JF na hata mtaani; ila muhimu tuangalie hiyo aina ya misaada upi una manufaa au hasara kwetu.

Chearsss!!!!
 
Kwani tatizo nini??!? Unataka kununua, kanunue, anayetaka za kusaidiwa atakuja hapa atasaidiwa, nukta!!
Mkulu Invisible...kaza buti mwanawani...motochini...Ndio maana ya tekelinalokujia...ukiliona unalikwepa...ukishangaa litakupiga mtama.
 
Back
Top Bottom