Ungelikua ni wewe mkuu ungeenda ipi? kati ya hizi mbili
Mimi binafsi ningeenda hiyo private company kwa sababu
Najiamini naweza kufanya biashara.
Mara kibao huwa naona zinatoka kazi kama hizi za short term lakini vijana wanakimbilia serikalini.
👉huwa sijui ni kwanini ni uoga? wakuogopa kujiajiri.
👉Kuna advantage gani watu wakimbilie kwenye laki 7??
Mchanganuo! Kwa miaka miwili 50M ni Sawa na, (take home)
2,083, 333. 33 Kila mwezi kwa miezi 24(2 years)
Lakini 700,000(take homex24 moths/2years (16,800, 000).
Karibu kwa maoni na michango.
Mimi binafsi ningeenda hiyo private company kwa sababu
Najiamini naweza kufanya biashara.
Mara kibao huwa naona zinatoka kazi kama hizi za short term lakini vijana wanakimbilia serikalini.
👉huwa sijui ni kwanini ni uoga? wakuogopa kujiajiri.
👉Kuna advantage gani watu wakimbilie kwenye laki 7??
Mchanganuo! Kwa miaka miwili 50M ni Sawa na, (take home)
2,083, 333. 33 Kila mwezi kwa miezi 24(2 years)
Lakini 700,000(take homex24 moths/2years (16,800, 000).
Karibu kwa maoni na michango.