UTATA: Kazi ya kampuni mkataba miaka miwili 50 milioni versus laki 7 serikalini mkataba wa kudumu

UTATA: Kazi ya kampuni mkataba miaka miwili 50 milioni versus laki 7 serikalini mkataba wa kudumu

Bado sio sababu zakumpeleka mtu anaejielewa GOV.
Inategemea unamaanisha nini unaposema "kujielewa"
Kwa mfano Mimi najielewa mshahara wa milioni mbili kwa mwezi kwenye mradi wa Barbara au daraja, na laki saba kubwa dereva wa katibu mkuu wa wizara. Bora nichulue laki saba kwa sababu biashara huwa siziwezi.
 
Naona hujawahi kufanya kazi private sector.

uliza waliowahi watakwambia inahitaji moyo sana
 
Serikalini hawaishi kwa mshahara, kuna kete nyingi zinasukumwa kabla ya mshahara kuingia kingi, plus dhamana ya serikali ukitaka kukopa.
wapenda kukopa utawajua tu 😂
 
Ungelikua ni wewe mkuu ungeenda ipi? kati ya hizi mbili
Mimi binafsi ningeenda hiyo private company kwa sababu
Najiamini naweza kufanya biashara.

Mara kibao huwa naona zinatoka kazi kama hizi za short term lakini vijana wanakimbilia serikalini.

👉huwa sijui ni kwanini ni uoga? wakuogopa kujiajiri.

👉Kuna advantage gani watu wakimbilie kwenye laki 7??

Mchanganuo! Kwa miaka miwili 50M ni Sawa na, (take home)
2,083, 333. 33 Kila mwezi kwa miezi 24(2 years)

Lakini 700,000(take homex24 moths/2years (16,800, 000).

Karibu kwa maoni na michango.
Kumbe ni dhahania nikajua Kuna kazi unaomba ushauri,mpaka hapo hakuna maana ya mada Yako maana ni stori ya kutunga.
 
Mchanganuo! Kwa miaka miwili 50M ni Sawa na, (take home)
2,083, 333. 33 Kila mwezi kwa miezi 24(2 years)

Lakini 700,000(take homex24 moths/2years (16,800, 000).
Unaota wewe itakua ndio yule muuguzi kule Morogoro hujatokea miaka 2 kufanya kazi hospitalini na mshahara ulikua unalipwa km kawaida hapa juzi wamekufukuza yaan ushakula sana mshahara ushapata mtaji ndio wamekufukuza na kuahidi hautoajiriwa popote serikalini wewe na kizazi chako mshapigwa mstari mwekundu serikalini
 
Back
Top Bottom