Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

duh iko kazi, by the way hiyo kazi ni nzito sana. You kill people and you get killed as well
 
Hii habari mbona ya siku nyingi sana?Imewekwa humu kwa maana gani?
 
Maskini hawa wakifanyiwa unyama huu je kwa wananchi hali itakuaje lile jamaa la protea li sniper rifle sinasikia mkuu mwigulu halijui labda lenyewe
 
Poleni wafiwa ndo hivyo tena mambo ya siri sirini[emoji86]
 
Jamani, nimesoma hii post, daaaaah, wakati huo nilikuwa na miaka 2.

Peter, RIP , better late than ever!

Ila kuna watu wawili katika hii thread walipambana sana kubadili upepo yaani aisee, nimeelewa kuwa tuna watu humu JF ni zaidi ya Chui na Simba wa kule Serengeti national park!

Kama Mungu yupo anawaona! Na kama Mungu, hayupo basi, nasikia kuwa Mababu na Maajuza wa jamii zenu wanawaona, mlivyokuwa wanafiki!!
 
Kwahiyo sasa hivi una miaka 6,nani kakuruhusu uchezee simu ya Mama yako??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…