masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hatujafika huko mkuu!Ni kukumbushana tu kwamba unaweza kumtolea Nape bastola kwa kutumwa na Makonda , lakini ukaja kujikuta unafia kwenye maua .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujafika huko mkuu!Ni kukumbushana tu kwamba unaweza kumtolea Nape bastola kwa kutumwa na Makonda , lakini ukaja kujikuta unafia kwenye maua .
Kwahiyo sasa hivi una miaka 6,nani kakuruhusu uchezee simu ya Mama yako??
[emoji1] [emoji1] eti miaka 2 kwahiyo sasa hivi una5 mkuu? hahaaa haahahaahahaJamani, nimesoma hii post, daaaaah, wakati huo nilikuwa na miaka 2.
Peter, RIP , better late than ever!
Ila kuna watu wawili katika hii thread walipambana sana kubadili upepo yaani aisee, nimeelewa kuwa tuna watu humu JF ni zaidi ya Chui na Simba wa kule Serengeti national park!
Kama Mungu yupo anawaona! Na kama Mungu, hayupo basi, nasikia kuwa Mababu na Maajuza wa jamii zenu wanawaona, mlivyokuwa wanafiki!!
Okay,sasa nimeelewa ulichomaanisha mkuu
Hivi nyinyi watu kwa nini huwa hamuandiki Kiswahili ili mueleweke vizuri? Kama basi ni lazima muandike kwa Kiingereza basi andikeni kwa kiingereza kinachoeleweka!
Hahahahawa usalama sijui uwt mara tiss kwa vitu ambavyo wanahusishwa navyo naona kama ni legalized criminal crew kwa sababu cjawahi kusikia wakihusishwa na kitu positive zaidi ya vifo vya kina sokoine, wangwe, mama mbatia, kuteka watu, kujaribu kuuwa na kutumbua tumbua watu, lakink pia ukikutana nao mtaani wanamatabia ya ajabu ajabu mara vichaa feki, walevi wa kupindukia na kuzaa ovyo ovyo..hata ukiona mfanyakazi wa umma ananidhamu mbovu havai vizur, mtoro mtoro hana familia utasikia usalama huyo, vyuoni wanafunzi wanaofeli na kushindwa kumaliza vyuo wengi utasikia usalama ....zaman nilijua ni watu invisible wanaosaidia nchi kwenye issue mbalimbali kama uchumi,ulinzi na etc..smart mind, may be nilitegemea wale wanafunzi wenye akili zaidi darasani wengi kuwa usalama....naona mabarabara yanajengwa chini ya viwango from the begging gari la afisa usalama linapita hapo daily, hivi kazi zao hasa ni nini tofauti na hizi za kutekateka na usiojulikanalism ...kwanini wengi wanahusishwa kwa ubaya ubaya au ni mambo za kuchafuana ......huwa sijui tabia zangu kama ni mbaya kiasi hiki bt kuna mtu aliwahi kuniambi anahisi mimi usalama nikajiuliza nimeshakua boza la konyagi nini?
sasa ndio kafuzu kawa Pepo wa mauti halisi kibwengo mtoa rohoMmenikumbusha mbali sana Mr. R. Ighondu inaemekana bora ukutane na jini makata au shetani kuliko huyo jamaa tena ni bora ukakutana na ANACONDA (Eunectes murinus) kuliko huyu fedhuli inawezekana kipindi alipomteka ulimboka alikuwa internship bila shaka ukatili huu alijifunzia kwa KOMITTET GAZUDASTVENOY BEZOPASNOST (KGB) kama siyo MOSSAD hasa kitengo cha mauaji cha KIDONS. Cha ajabu jamaa nasikia ni swala 5 kiukweli kuna siku Mungu atambamiza konzi hadi bichwa libonyee liwe kama la baba ubaya wa kolomije
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanatesa sana wananchi,Mchimba kisima kaingia mwenyewe?! Watu wa Tiss wana laana za kuwatesa wa Watanzania kwenye nchi yao! Mtamalizana wenyewe until the day you all get to your senses.
He is telling them the truthUsiwakatishe tamaa wanausalama wetu.