Samahani mkuu! Ila kwa ninavyofahamu wao wenyewe wanajua mwisho wao wataishia wapi... aidha wanaweza kuwa na mwisho mzuri au mbaya ila wanachokifanya ni ile kutii lolote/chochote wanachoagizwa au wanachotakiwa kukitekeleza kwa wakati husika. Si ndo sheria za mapolisi, wanajeshi na wanavyombo wengine wa ulinzi na usalama?!
Si jambo la kushangaza kwa yule bwana kumtolea silaha mheshimiwa Nape siku ile, alifanya alichoagizwa [emoji846]
Intelijensia ni taaluma kama zilivyo nyingine, kama udakitari, na uhandisi, ukifika muda unastaafu vzr,Ila kuna masharti yake, mfano maofisa wa CIA, wanaostaafu, mfano akiandika kitabu kuhusu maisha yake, lazima kitabu kipitiwe na mamlaka za juu, kuona kama hakuna classified information, pili ofisa mstaafu wa CIA, FBI, hawezi, kujiamulia akaenda nchi nyingine kama Iran, au, Korea ya kaskazini, akatoa mafunzo kwa majeshi ya nchi hizo kama consultant, lakini anaweza kwenda austaria,Canada, nk,huku kwetu, uchawa mwingi,
Kila member wa security Agency, kuanzia polisi,armed forces, intelijensia, nk, ni majambazi amabayo hayajaamua kuua tu, yakipata nafasi, yanamtoa MTU robo,
Imetokea mtwara, makachero tena senior officers wa polisi, wamemuua kijana kwa sindano ya sumu, ili wamuibie milioni 30 tu! Wengine juzi wamefungwa miaka 20,kwa kosa LA kumbambikia mtu kosa.