Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

Imeishia wapi? Huyu Jason Bourne mlimpata au ndo ntoleee
 
Na hii ni sababu tu Marehemu hawezi kuvuta hewa tena umenikumbusha mbali sana kwenye forensic pathology 🙏
 
Kwa waliomkosa kosa lisu naamini watakuwa wameuwawa kwa kulinda Siri na Kama wameuwawa basi innallilah waainailah rjiuun kwakuwa shamba ni la bwana heri na
kwakuwa mbuzi ni wa bwana heri
basi mambo yote ni heri
Sitaki kuamini ile Albadir iliyosomwa Tanga imewaacha hai hadi leo najua watakuwa wametangulia mbele za haki wakiugua kuanzia unyayo hadi unywele wa mwisho utosini.
 
Hivi ighondu ndio huyu mbunge.mpya?
 
Lijendari uko wapi siku hizi?
 
Ni kukumbushana tu kwamba unaweza kumtolea Nape bastola kwa kutumwa na Makonda , lakini ukaja kujikuta unafia kwenye maua .
Samahani mkuu! Ila kwa ninavyofahamu wao wenyewe wanajua mwisho wao wataishia wapi... aidha wanaweza kuwa na mwisho mzuri au mbaya ila wanachokifanya ni ile kutii lolote/chochote wanachoagizwa au wanachotakiwa kukitekeleza kwa wakati husika. Si ndo sheria za mapolisi, wanajeshi na wanavyombo wengine wa ulinzi na usalama?!

Si jambo la kushangaza kwa yule bwana kumtolea silaha mheshimiwa Nape siku ile, alifanya alichoagizwa 🙂
 
Intelijensia ni taaluma kama zilivyo nyingine, kama udakitari, na uhandisi, ukifika muda unastaafu vzr,Ila kuna masharti yake, mfano maofisa wa CIA, wanaostaafu, mfano akiandika kitabu kuhusu maisha yake, lazima kitabu kipitiwe na mamlaka za juu, kuona kama hakuna classified information, pili ofisa mstaafu wa CIA, FBI, hawezi, kujiamulia akaenda nchi nyingine kama Iran, au, Korea ya kaskazini, akatoa mafunzo kwa majeshi ya nchi hizo kama consultant, lakini anaweza kwenda austaria,Canada, nk,huku kwetu, uchawa mwingi,
Kila member wa security Agency, kuanzia polisi,armed forces, intelijensia, nk, ni majambazi amabayo hayajaamua kuua tu, yakipata nafasi, yanamtoa MTU robo,
Imetokea mtwara, makachero tena senior officers wa polisi, wamemuua kijana kwa sindano ya sumu, ili wamuibie milioni 30 tu! Wengine juzi wamefungwa miaka 20,kwa kosa LA kumbambikia mtu kosa.
 
Mkuu, marehemu hakwenda kuteka maji pale bali alitumbukia aidha kwa bahati mbaya kutokana na matatizo yake ya akili au alijitumbukiza. Taarifa kutoka kwa watu wa karibu zinasema kuwa alishafanya majaribio kadhaa ya kujiua lakini aliweza kuokolewa.
Mkuu wanasema icho kisima kilikuwa kinalindwa.adondoke TENA.haaiingii kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…