Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Suzy elias ni jamaa mmoja mjinga mjinga aliekuwa analamba asali enzi za magufuri.....kwa sasa hali yake imekuwa tia maji tia maji...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kafa kiuongouongo?Huyu mnigeria jana nilikua nianzishe uzi kuhusu yeye ila taarifa ile nilihisi sio ya ukweli.
Kafa haidari akiwa gerezani,mkazi wa ununioNi bwana Oezeama kama sikosei.
Mwamba huyo ni Mchungaji lakini 2019 alikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na zaidi ya kilo 20 za unga wa cocaine na pamoja naye pia walikamatwa wazungu wawili aliokutwa nao.
Inasemekana bwana yule kafia Gerezani Segerea kwa shinikizo la damu.
Duru za eneo lile zinatabanaisha kushtushwa na taarifa hizo kwa sababu yule bwana ni muda mrefu hakuonekana hadi taarifa za kifo chake kutolewa leo Mahakamani na Wakili.
Mamlaka ichunguze jambo hilo huenda mtuhumiwa katoroshwa.
Watu humu wanalopokalopokaView attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Mtupu sana huyoSuzy elias ni jamaa mmoja mjinga mjinga aliekuwa analamba asali enzi za magufuri.....kwa sasa hali yake imekuwa tia maji tia maji...
Tupr list mkuu za wabongo.Kafa haidari akiwa gerezani,mkazi wa ununio
Naye alikamatwa na unga,sembuse
Hyo mnigeria
Msipende kurukia habari msizozijua
Mkishasoma headline mahali mnakuja,mbio mnaanzisha nyuzi
Unataka sasa upewe list ya wauza ngada waliyofia gerezani....
Kwa wengine kwanza hilo siyo jambo geni
Ova
Alifia hospitali gani hapa Dar?View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Ipo kwenye uzi wanguPicha ya mchungaji ngada plse
Nishakutajia mmja jamaa wa ununioTupr list mkuu za wabongo.
Kwa hiyo siku hizi ukikamatwa na madawa, unafanya 'plea bargain', unalipa! Kesi inaisha. Unarudi mtaani kuendelea na biashara!View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
😆Dada kaondoka na maiti peke yake? Imeisha hiyooooo
Mapema sanaTanzaniano Bongo Nyoso IMEISHA HIYO MJOMBA.
Inafikirisha sana!Huyu mnigeria jana nilikua nianzishe uzi kuhusu yeye ila taarifa ile nilihisi sio ya ukweli.
tunataka ila anakufaje (nitakufaje? craz GK)Hamtaki mtu afe?😂😂😂😂
Ameondoka vipi na maiti akiwa bado yupo mahabusu?
Hiyo ni Midnight express straight