Tetesi: Utata kifo cha Mchungaji Mnigeria 'pusha' anaedaiwa kufa Segerea

Tetesi: Utata kifo cha Mchungaji Mnigeria 'pusha' anaedaiwa kufa Segerea

Anaitwa Hemry Ozoemena Ugwauyi jamaa alikua na kanisa lake hapa nchini zaidi ya miaka mitatu alikamatwa baada ya Raia mwenzake wa Nigeria kukamatwa pale Airport akipeleka mzgo "madawa" Poland ndipo akamtaja jamaa ndie aliyempa mzigo hii ilikua mwaka 2019 ni kweli jamaa alikua Mahabusu Segerea.
 
Ni bwana Oezeama kama sikosei.

Mwamba huyo ni Mchungaji lakini 2019 alikamatwa kwa tuhuma za kukutwa na zaidi ya kilo 20 za unga wa cocaine na pamoja naye pia walikamatwa wazungu wawili aliokutwa nao.

Inasemekana bwana yule kafia Gerezani Segerea kwa shinikizo la damu.

Duru za eneo lile zinatabanaisha kushtushwa na taarifa hizo kwa sababu yule bwana ni muda mrefu hakuonekana hadi taarifa za kifo chake kutolewa leo Mahakamani na Wakili.

Mamlaka ichunguze jambo hilo huenda mtuhumiwa katoroshwa.
Kafa haidari akiwa gerezani,mkazi wa ununio
Naye alikamatwa na unga,sembuse
Hyo mnigeria
Msipende kurukia habari msizozijua
Mkishasoma headline mahali mnakuja,mbio mnaanzisha nyuzi

Unataka sasa upewe list ya wauza ngada waliyofia gerezani....

Kwa wengine kwanza hilo siyo jambo geni

Ova
 
Kafa haidari akiwa gerezani,mkazi wa ununio
Naye alikamatwa na unga,sembuse
Hyo mnigeria
Msipende kurukia habari msizozijua
Mkishasoma headline mahali mnakuja,mbio mnaanzisha nyuzi

Unataka sasa upewe list ya wauza ngada waliyofia gerezani....

Kwa wengine kwanza hilo siyo jambo geni

Ova
Tupr list mkuu za wabongo.
 
View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Kwa hiyo siku hizi ukikamatwa na madawa, unafanya 'plea bargain', unalipa! Kesi inaisha. Unarudi mtaani kuendelea na biashara!

Aisee kama Taifa, hatuko serious.
 
Ameondoka vipi na maiti akiwa bado yupo mahabusu?

Hiyo ni Midnight express straight

Duh kichwa kigumu[emoji35]
Nimesema huyo mdada ali plea bargain 25m akatoka jela akaondoka na maiti kurudi kwao Nigeria!
Kabla ya kusikilizwa kesi yake alikuwa mahabusu for 8 years!
Hiyo plea bargain ni kukubali shataka na kulipa fine!
 
Back
Top Bottom