Tetesi: Utata kifo cha Mchungaji Mnigeria 'pusha' anaedaiwa kufa Segerea

Tetesi: Utata kifo cha Mchungaji Mnigeria 'pusha' anaedaiwa kufa Segerea

Anaitwa Hemry Ozoemena Ugwauyi jamaa alikua na kanisa lake hapa nchini zaidi ya miaka mitatu alikamatwa baada ya Raia mwenzake wa Nigeria kukamatwa pale Airport akipeleka mzgo "madawa" Poland ndipo akamtaja jamaa ndie aliyempa mzigo hii ilikua mwaka 2019 ni kweli jamaa alikua Mahabusu Segerea.

Aliyekamatwa ni Linda msichana mzungu 22years alikuwa anakwenda Holland!
Hebu nisiseme sana walahi [emoji45]
Na log off!
 
Binafsi nimegundua Madawa ya Kulevya ni Mtandao mgumu sana kupambana nao.

Ni kama vile hadi State House wapo wanao jihusisha na Biashara hiyo.
Huu mtandao uliwahi kutuwekea rais na sasa umeibuka upya
 
Hivi naona plea bargain tu. Je! Hii ni kwa watu wa nje ya Tanzania au wote na watanzania?
 
IMG_1625.jpg

Huyo mweupe ndio aliye kafariki!
 
Duh kichwa kigumu[emoji35]
Nimesema huyo mdada ali plea bargain 25m akatoka jela akaondoka na maiti kurudi kwao Nigeria!
Kabla ya kusikilizwa kesi yake alikuwa mahabusu for 8 years!
Hiyo plea bargain ni kukubali shataka na kulipa fine!
Utata unakuja ni pale bargain ya kulipa fidia ya adhabu aliyokuwa nayo na kukutana na msiba wa mchungaji pamoja Ili aondoke na maiti.

Huoni kama Kuna Kitu kimekuwa planed hapo?
Hivi ni lini watu wa madawa wamepewa fursa ya kulipa pesa kiasi kidogo kama hicho au kufungwa?
--$11000 ni sawa na kg 2 za heroin sokoni Tena Tanzania.
Kumpa muuza madawa alipe fidia ya 25,000,000/ ni sawa na kumwachia huru.

--iweje adhabu ya huyo dada igongane na KIfo Cha mchungaji?

That was a really planed midnight express mission..

Tumewaza mbali sana
 
View attachment 2463926
Hajatoroshwa huyu dada Antonia ndiye aliondoka na maiti yake!
Huyu mdada naye pia alikuwa mahabusu miaka nane!
Kesi yake ilitajwa kama two weeks ago!
Ala plea bargain amelipa m25!
Ni kesi ya madawa!
Kufa amekufa kweli!
Mkuu inaonyesha unaficha vingi kwenye hili tukio,,

Bila shaka kama wewe Sio bwana jela mwenyewe basi ni askari magereza unayejuwa mchongo mzima..

Ila Kwa yanayoendelea Sasa hakuna muuza madawa yeyote mwenye pesa atakayefungwa gerezani,,

Nilisema muda mrefu tangu alipokamatwa KIBOKO na mkewe kwamba wataachiwa tu,,
Na kweli wameachiwa,,

Na hata yule Kandida na mkewe kama sio yule Mange kupiga kelele mitandaoni sababu ya bifu lake na mke wa Kandida ilikuwa na wao wawe uraiani

Kwa watanzania style hii ni ngumu sana kwao,,
tatizo wakishazushiwa KIfo watakimbilia wapi?
Ni ngumu kuwapa midnight express mission

Ila Kwa wageni ni nzuri kwao mtindo wa midnight express mission

Wanazushiwa KIfo,,the next morning wapo kwao NIGERIA/INDIA/PAKISTAN
 
Back
Top Bottom