Utata kuhusu Askofu Mkuu aliyegusisha ndimi na Askofu mdogo wa kiume kama ishara ya baraka nchini Nigeria

Utata kuhusu Askofu Mkuu aliyegusisha ndimi na Askofu mdogo wa kiume kama ishara ya baraka nchini Nigeria

Unashangaa hiyoo jee ungeona ya Dalai lama na kavulana si taya ungegusa chini
 
Inasikitisha sana jinsi walivyotuaibisha wakristo. Mungu atusamehe
 
Mimi nimechukua picha kama Ushaid tu Awa Wazushi Wakitupia propaganda zao namm natupia tukio la kweli!!! Adi Walokole Watulize Kipago!!!!!!! mwez upite Watakuja tu kujibu!!!!
 
Duuuu aya Walokole njoooni mtupe Andiko la nyakati ndimi Msikimbie Uzi njooo mchungaji anafundisha nini uyu mtujuze ndio walawi njoon mumtetee mwenzenu!!???

Ni mambo ya hovyo na hatuwezi kuyatetea, naona hata kwenu huko yalifanywa sana na muarabu wenu
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Yesu haijui dini inayoitwa u Crist.

Makafiri ukweli munaujua ila munaukalia.
Mbona mtume wenu aliyafanya sana tu
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Mimi nimechukua picha kama Ushaid tu Awa Wazushi Wakitupia propaganda zao namm natupia tukio la kweli!!! Adi Walokole Watulize Kipago!!!!!!! mwez upite Watakuja tu kujibu!!!!

Na mimi nakupa ushahidi wa mtume wenu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Na bado! Mtaona mengi. Siojui kwanini mshangae wakati Papa alisharuhusu. Ni utekelezaji kwa vitendo tu ndio uliobaki.
Pamoja na Trump kujaribu kujitoa katika kadhia hiyo, lakini kama ni muumini wa dini hii hatafanikiwa.
NB! Tunamapasta (Askofu) wengi wa Ki- Nigeria hapa TZ, huko nako mambo hayo ni nje nje. Utandawazi wa kidini ya .......
Kama papa aliruhusu mbona hatuoni yakifanyika kwenye kanisa katoliki.
Kumbuka kwamba Papa si kwaajili ya wakristu wote, madhehebu mengine ya wakristu hayamtambui papa na wanampinga tangu zamani, na uwepo wa papa ndo sababu ya wakristu wengine kujitenga na kuanzisha madhehebu yao.

Na upuuzi mkubwa unaofanywa na baadhi ya viuongozi wa kikristu ni mafhehebu mengine ambayo hayapo chini ya kanisa katoliki.
 
Unakana hadi maandiko? Kweli al shabab siyo waislam.
Vitabu vya hadithi vipo vingi shirikiana nae mtuambie hiyo hadithi namba 16,245 ipo kwenye kitabu gani, vitabu vya hadithi ni hivi hapa
1.Sahih Bukhari
2.Sahih Muslim
3.suna Abu Dawood
4.Suna An Nasai
5.Jami A' Tirmidh
6.Suna Ibn Maja

Sasa kafiri mwenzako kasema tu hadith namba 16,245 bila kusema ni ya kwenye kitabu gani , sasa aseme ipo kwenye kitabu gani ndani ya vitabu hivyo ili tumuumbue.

Mambo ya kunyonyana ulimi yapo huko kwenye ukafiri Papa Francis karuhusu ushoga ubarikiwe na huyu Askofu kaanza kumnyonya ulimi mwenzake ushahidi huu hapa
 
Back
Top Bottom