Utata kuhusu Askofu Mkuu aliyegusisha ndimi na Askofu mdogo wa kiume kama ishara ya baraka nchini Nigeria

Waumini nao ni shida. Hapo inatakiwa kupiga mayowe mpaka waache. Cha ajabu, kesho tena waumini wataenda kusali kwa huyo askofu
 
Hao mbona wanafiran sana tu kwenye makanisa yao na seminary zao hakuna jipya hapo...wanamuiga mudi boy
 
Unaweza kuta askofu anakula viboga sana huyu. Unatumiaje ulimi kwa ulimi na mwanaume mwenzako na unajua kabisa kuwa hiyo ni ishara mbaya, na nikinyume na maadili.
Ushoga wa wazi kabisa unaovishwa sura tofauti.
Hii sio ya kuchekea.
 
Tupia picha yake nae Akinyonya ili Walokole wenzio Waitunze!!!!! Kama una basi ni Propaganda tu!!!!

Nyie huwa mnaamini maandiko kuliko picha, nimekupa na kifungu kabisa
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 

Huyo Babu muarabu unamuabudu licha ya madudu na mauchafu yake yote, ikiwemo kugegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa
Hii hapa inaeleza alivyokua anapiga denda mvulana
 
Hayo ni maneno walioandika makafiri wenzako
Hadithi sahihi namba 1183 kwenye Al adab Al mufrad ni hii
Hii ni hadithi kama inavyosema kutoka Al-Adab Al-Mufrad Hadithi namba 1183:

عن عبد الله بن مسعود رضي الله عنه قال:
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم:
"رغم أنفه، ثم رغم أنفه، ثم رغم أنفه." قيل: "من يا رسول الله؟" قال: "من أدرك والديه عند الكبر أحدهما أو كليهما ثم لم يدخل الجنة."

Here is the hadith from *Al-Adab Al-Mufrad Hadith number 1183 in English:

Narrated by Abdullah bin Mas'ud (RA):
The Messenger of Allah (SAW) said:
"Woe to him, woe to him, woe to him." They asked, "Who, O Messenger of Allah?" He replied, "He who reaches old age with one or both of his parents and does not enter Paradise."

Tafsiri:
Abdullahi bin Mas'ud (RA) alisema:
Mtume (SAW) alisema:
"Mfuasi wake atakuwa mwenye fedheha, kisha mwenye fedheha tena, kisha mwenye fedheha." Watu walimuuliza: "Nani, Ewe Mtume wa Allah?" Akasema: "Yule ambaye atawapata wazazi wake wakiwa na umri mkubwa, mmoja wao au wote wawili, kisha hakupata kuwa mwenye kuingia Peponi."


hiyo yako uliyoleta ni ile aliyoandika Papa Francis ili awahadae muoane vizuri
 
Unaweza kuta askofu anakula viboga sana huyu. Unatumiaje ulimi kwa ulimi na mwanaume mwenzako na unajua kabisa kuwa hiyo ni ishara mbaya, na nikinyume na maadili.
Sasa hivi ni mzee atakuwa anapelekewa welding.
 
Washenzi hao inaonekana wanajuana,kama huyo kijana alishtukizwa angeshangaa wala asingetoa ulimi
 
Nyie huwa mnaamini maandiko kuliko picha, nimekupa na kifungu kabisa
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
haaaa Sasa vip iwe Andiko!!!! mimi Nimetunza picha sio andiko naww wape Walokole wenzio picha kama hiii ipo ktk Uzi huu!!!!

Sasa mm nitatupia picha mlokole atupie andiko mbona ujamsaidia mwenzio!!!!! lete Ushaidi wa picha?.!!!!!
 
Ni mambo ya hovyo na hatuwezi kuyatetea, naona hata kwenu huko yalifanywa sana na muarabu wenu
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Yakweli hayo au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…