Utata kuhusu kifo cha mwanafunzi aliyedaiwa kupigwa na mwalimu

MkuunTuamini ripoti ya polisi na madaktari au tuamini haya maneno yako yaliyojaa chuki dhidi ya walimu?
Riport ya 👮 hipo kisiasa Wala haina mantiki mkuu .


Naomba huyo Mwalimu Apewe kesi yake akapambane huko Mahakamani , kila siku tunawafundisha kuwa wasiwapige wanafunzi , lakini wanajitoa ufahamu na kuendeleza Viboko na kuua wanafunzi .


Mtu hujui History health background yake , lakini una-mu-Attack Hadi unamtoa uhai!! unanswered cries
 
Kuna watu ni wavivu wa kusoma ,soma habari ndo ucomment
Ukisoma vizuri habari ni out put ya in put ambayo main character ndio namzungumzia na matukio yao hawajaanza leo ni tabia zao wameshazoea.
 
Lakini Pia Dr. Amesema kuvuja damu kumesababishwa na Saratani ya Damu..

BTW hawa kaki siwaamini kabisa, Walipindisha Ushahidi wa ndugu yangu P wazi wazi..
Chanzo cha kuvuja damu ni kipi?
 
Sijui waalimu wa Tz wanatumia Nini hawana tofauti na Vichaa , Mtu hujalala nae ,sio mwano , sio ndugu yako ...lakini unaamua kumpa mijeredi mikali Hadi anapoteza Fahamu kifo ulemavu * nk*
Unachokisema hukifahamu ndugu
 
Unachokisema hukifahamu ndugu
wewe ndio hufahamu au kwa makusudi unapindisha ukweli ila walimu wanakera sana,mambo yanayoendelea mashuleni ni ya kutisha.
 
Nimewahi Fanya hiyo Kazi waalimu wengi hawajitambui hawana Maarifa adhabu wanazowapa wanafunzi lazima ushangae wanasahua , wanafunzi ndo wateja wao na ndo wanawalipa mishahara .

Akili ndogo
Aliyekufundsha hd leo unaweza kuandika huu utumbo unasema hajitambuai kuwa n heshima fala wewe
 
MkuunTuamini ripoti ya polisi na madaktari au tuamini haya maneno yako yaliyojaa chuki dhidi ya walimu?
Hapa ndo unapoona ukichaa wa waalimu. Ripoti ya daktar iliyotoa taarifa ya sababu ya kifo cha marehemu. Inasema marehemu alifariki kwasababu ya kupoteza damu nyingi ambayo pia inatokana na ugonjwa wa saratani ya damu.

Sasa unajiuliza sababu ya marehemu kutokwa na damu ilikuwa ni nini? Au marehemu alikuwa na tatzo la kutokwa na damu pasipo kuwa na jeraha? Na kama kuvuja kwa damu kulisababishwa na uwepo wa jeraha je jeraha lilisababishwa na Nani?

Acheni ufala waalimu.
 
Kuna walimu sio walimu wamebaka ualimu.
Waalimu wengi ni mafala sana. Kumchapa mwanafunzi siyo methodology ya kumfanya mwanafunzi aelewe.

Mim na professional yangu naweza kumuweka mwanafunzi chini nikamfundisha na akatoka na kitu.

Hawa wanaamini viboko tu mafwala hawa
 
Reactions: Sax
Waalimu wengi ni mafala sana. Kumchapa mwanafunzi siyo methodology ya kumfanya mwanafunzi aelewe.

Mim na professional yangu naweza kumuweka mwanafunzi chini nikamfundisha na akatoka na kitu.

Hawa wanaamini viboko tu mafwala hawa
Duh mpwayungu village

Ova
 
Licha ya kuwa Kuna baadhi ya walimu wanakosea, watu wengi Wana chuki binafsi na walimu

Kuna matukio mengi makubwa yanaendelea kwa madaktari, wanasiasa, mapolisi nk ila kesi ikiwa kwa walimu ndio huwa inakuwa multiplied mara 100

Kuna watu humu kuwalea watoto wao tu wanashindwa, then assume unakuwa na watoto 200 walioshindikana kwa wazazi wao

Wakati huo huo mkumbuke, Kuna mikakati ya kiwilaya na kimkoa inataka shule zifanye vizuri, zisipofanya vizuri huwa walimu au shule inawajibishwa

Yaani hapo ukiwa serious utakutana na matukio kama haya, ukiwa free utakuja kusemwa na wazazi, walimu na wanafunzi hawana Nidhamu, wanafelisha, yaani hakuna la afadhali


Kuna mwalimu alikuwa na slogan yake " BORA SHULE IFELI KULIKO MAMBO YANGU YAFELI"


Ni muda Sasa wa walimu kubadilika, hakuna haja ya kujichosha, fundisha kibosi, mwanafunzi asipoelewa achana naye ataelewa kwenye chumba Cha mtihani, fika shuleni mawazo yako yawe kwenye miradi yako

Wanafunzi wakifeli, hasara sio yako, wakifaulu faida ni yake na wazazi wake, hamna haja ya kujitesa na kuingia kwenye risk
 
Waalimu wengi ni mafala sana. Kumchapa mwanafunzi siyo methodology ya kumfanya mwanafunzi aelewe.

Mim na professional yangu naweza kumuweka mwanafunzi chini nikamfundisha na akatoka na kitu.

Hawa wanaamini viboko tu mafwala hawa
Walimu wabadilike kwakweli,nilikuwa napitia tovuti ya CIA kitengo cha kufundisha mbwa wao yule trainer akasema na namnukuu "ili uweze kumfundisha mbwa akaelewa kwa urahisi na haraka,mosi unamtengenezea mazingira kuwa na furaha na amani (stress free)".
 
Polisi huenda wamenyofoa karatasi za ripoti kamili ya daktari.
Pengine Ticha ni kabila moja na Kamanda na ndio maana mpaka jina linafichwa lisitoe sign/indicator.
Mapunda/Mbawala/Nyoka/Mafisi/Nguruwe/Komba/Chui n.k
 
Walimu wajiweke kando na Hawa watoto...kwa sababu hata mtoto akifeli yeye hawajabiki
 
Walimu wajiweke kando na Hawa watoto...kwa sababu hata mtoto akifeli yeye hawajabiki
Ni sahihi kabisa,lakin kama mwalimu kuna muda lazima anaumia kwanini mwanafunzi anafeli kirahisi au pengine unakuta kuna vitu vya maksudi vinavyomfanya anafeli
 
Mi sijaelewa. Huo ugonjwa husabisha damu itoke yenyewe tu bila sababu?!
 
huna akili wewe,taarifa haijamtaja mwalimu kama ndiye aliyesababisha ww mwenye unyafuzi umeng'ang'ania mwalimu,alafu kwenye taarifa hakuna maelezo yoyote ya mwalimu zaidi ya maelezo ya mzazi,polisi na daktari~maelezo ya mwalimu hakuna
 
Ni funzo kua tusipende kupigana hujui Watu wana changamoto gani za kiafya hatimae unakuja kupata janga litakalokutesa maisha yote,

Mwalimu hata kama hatochukuliwa hatua zozote lakini akiwa peke yake atajutia sana kitendo cha kumpiga Mtoto ambaye sasa ni Marehemu na itamuumiza sana kihisia.

Rest Easy Angel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…