Tetesi: Utata mkubwa ripoti ya CAG , kuna uhariri umefanyika

RUBBISH!
 
Unajipa kazi.

Yaan ukweli wa ni huui wa sasa aloutoa.

Wakat wa Jiwe ,jiwe mwenyewe ndo alikua mtengeneza report anampa Kichere aisome mbele ya Makamera

Ila saizi Hayati anapigwa kote kote kwa ukweli.


Alichofanya Kichere, hata km ni Edit ,ndo kachomekea ukweli tuloukosa miaka yote mitano.


Nasa yongo ndugu zangu???.
 
Naona Polepole umeanza kuchambua tena report ya CAG.
 
Haya madudu yote anabebeshwa mzigo marehemu tu ila viongozi ambao walikuwepo kwenye hiyo serikali yenye hayo madudu wamekaa kimya kama hawahusiki na lolote vile ndio kwanza tunasisitiziwa kuwa hii ni serikali ya awamu ya sita na Mama ndio kwanza anamwambia CAG asema tu bila kumung'unya. Nadhani ingekuwa nchi za wenzetu kuna watu lazima wangewajibika ila ndio hivyo huku watu wanaishia kufurahia kufa kwa Magufuli na haya madudu yote kuelekezwa kwa Magufuli tu.
 
Watu wanahangaika sana kuposti. Kusifu au kukashifu, mzee alikuwa na mazuri na mapungufu pia..ndivyo binadamu tulivyo...tukubali kulikuwa na mazuri na mabaya. Tatizo lipo kwenye mizani imeegemea upande upi......
 
Nani anawalipwa na anawalipa Tsh ngapi kutetea dhuluma mbona mnatumia nguvu kubwa kupambana na reports ya CAG?
 
Umeeandika UTOPOLO bhana
 
Naona na Like ya Mzee Mwanakijiji πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
NDUGAI mwaka huu atampa ushirikiano CAG au ndio ataendeleza msimamo aliokuwa nao kwa Prof Assad..!???
 
Kumbe tupo wengi tulioliona hili!? Hawa jamaa mchezo wanaoufanya tunawacheki tu! Lakini mwisho wao utakuwa wa aibu kubwa! Magu atawatesa zaidi akiwa kwenye raha ya milele na mwanga wa milele kuliko alivyowatesa akiwa na mwili wa nyama! Rip our true son of Africa πŸ’”πŸ˜’, rest in power πŸ’ͺ πŸ™ our true African hero! We won't forget your kindness 😊!
 
Kumbe tupo wengi tulioliona hili!? Hawa jamaa mchezo wanaoufanya tunawacheki tu! Lakini mwisho wao utakuwa wa aibu kubwa! Magu atawatesa zaidi akiwa kwenye raha ya milele na mwanga wa milele kuliko alivyowatesa akiwa na mwili wa nyama! Rip our true son of Africa πŸ’”πŸ˜’, rest in power πŸ’ͺ πŸ™ our true African hero! We won't forget your kindness 😊!
 
Magufuli mwenyewe ndo alikuwa mweka hazina.
 
Chawa mtapata taabu sana!

Magufuli aliharibu regacy yake mwenyewe kwa kuzuia uhuru wa vyombo vya habari na kuamua kutawala gizani. Kama alikuwa msafi...alikuwa anaficha nini?

Ofisi ya CAG ni ofisi ya umma inayojeshimika. Taarifa zao ni za kuaminika. Kuanzia kwa Prod Assad,taarifa zote zinafanana,hakuna jipya kwenye hii ya mwaka huu! Jambo jipya ni moja tu,Magufuli hayupo! Kwa hiyo,taarifa inajadiliwa kwa uwazi.
 
Unasema alitoa taarifa nusu unamaana gani ?, kama ni ile taarifa aliitoa wakati wa kukabidhi ripoti kwa mh. Rais ndio unasema alitoantaarifa nusu hiininaonyesha hujui au huna uelewa wa kutosha kuhusu ripoti hizi zinazotolewa na CAG. labda nikufahamishe kimsingi ripoti hizi zinakuwa "mali ya umma" zinapowasilishwa bungeni kwa mjadala, bunge hapo huipitia na kutoa mapendekezo na miongozo mbalimbali pale panapokuwa na umuhimu wa kufanya hivyo, sababu ripoti hizo zinakuwa 'mali ya umma' ndio umma huweza kupata ripoti hii na kuweza kuisoma na kujadili, na ni wakati huu huwekwa katika tovuto ya ofisi ya CAG.
Kimsingi 'kiasili' ripoti hii huandaliwa mahsusi kwaajili ya bunge (na ndio chanzo cha prof Assad kuita bunge 'dhaifu' kwa kushindwa kuchukua hatua) ili kufanya mapitio ya, na ukaguzi wa mahesabu ya fedha za umma. Sasa basi, hakuna kilichosomwa 'nusu' kama ulivyodhani, ule ni utaratibu wa kawaida.
Pili, inapogundulika mtumishi fulani wa umma amefanya ubadhirifu nia kuzifahamisha mamlaka zinazohusika kuhusu ubadhirifu huo ili ziweze kuchukua hatua stahiki, sasa kama kuna aliyefanya ubadhirifu, waziri kwa mfano, yeye ndiye anakuwa ameguswa anayepaswa kuwajibishwa juhudi zozote za kumlinda zinazofanywa ima na mamlaka za juu yake au wapiga nderemo na wanaotamani upiga nderemo wa mbadhirifu huyo zitaishia kumchafua mwenye mamlaka na kuonyesha ushiriki wake ktk uhalifu uliofichuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…