niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
Mbona wa Nigeria wakipika data zao huwa mnawasifia bila kuhoji?Haya kama kawaida jamaa wameendelea. Last time walituambia Mandonga kapigwa Kenya kabla hata ya pambano kufanyika. Tulipopoint that out wakafuta uzi.
Leo hii wanatuambia Diamond ndo anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi (bilioni 7.65) πππππ
Sasa hii taarifa hawakuipitisha huko kwenye jamii check kabla ya kuweka kwenye instagram account?
Account inayoongoza kwa followers Youtube ina followers milioni 240.
Kama Diamond ana followers bilioni 7 basi maana yake dunia nzima yote imemfollow kule youtube including wale ambao hawako Youtube.
Stop fake newsβ¦!
View attachment 2603744
Haya kama kawaida jamaa wameendelea. Last time walituambia Mandonga kapigwa Kenya kabla hata ya pambano kufanyika. Tulipopoint that out wakafuta uzi.
Leo hii wanatuambia Diamond ndo anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi (bilioni 7.65) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hii taarifa hawakuipitisha huko kwenye jamii check kabla ya kuweka kwenye instagram account?
Account inayoongoza kwa followers Youtube ina followers milioni 240.
Kama Diamond ana followers bilioni 7 basi maana yake dunia nzima yote imemfollow kule youtube including wale ambao hawako Youtube.
Stop fake newsβ¦!
View attachment 2603744
Ni Jumla ya Views wa Video zake zote akizoweka kwenye akaunt yake ya Youtube.mbona ni saw.hujaelewa nini hapo?Haya kama kawaida jamaa wameendelea. Last time walituambia Mandonga kapigwa Kenya kabla hata ya pambano kufanyika. Tulipopoint that out wakafuta uzi.
Leo hii wanatuambia Diamond ndo anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi (bilioni 7.65) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hii taarifa hawakuipitisha huko kwenye jamii check kabla ya kuweka kwenye instagram account?
Account inayoongoza kwa followers Youtube ina followers milioni 240.
Kama Diamond ana followers bilioni 7 basi maana yake dunia nzima yote imemfollow kule youtube including wale ambao hawako Youtube.
Stop fake newsβ¦!
View attachment 2603744
πππHii ndio ile Brother K mchekeshaji wa Futuhi ana ita
"Waku kurupuka".....
Na ww unataka ufikishe bilioni ngapiMSAADA JAMANI subscribe KWA CHANNEL YANGU https://www.youtube.com/@NASMILETZ
KWA MIXES MBALIMBALI ZA MUZIKI AINA ZOTE
Una blue tick afu unaongea ujinga, hiyo tik ni hasara kwa mtandao. Heb rudia kusoma upya.Mwandishi yupo sahii ajakosea yeye ajazungumzia hao subscribers au followers kazungumzia streaming
Yamekua hayo Tena itoe basi hiyo PATA ya bluu ndugu yanguUna blue tick afu unaongea ujinga, hiyo tik ni hasara kwa mtandao. Heb rudia kusoma upya.