Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Mkuu panda mlimakundi la boys2men liliundwa na nani na nani!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu panda mlimakundi la boys2men liliundwa na nani na nani!?
umewaza mbali sana, akili kama hizi ndo zinatakiwa kwenye intelligence siyo wale vijana kila Sikh kutisha watu mtaaniNadhani hapo M7 hakuwa targeted, ila huyo Dr. Ndiye aliyekusudiwa... ila huenda waliweka mpango wa kwanza kumhusu M7 huku Dr akiwa ni miongoni mwa wapangaji... Lakini kumbe anapangiwa yeye bila kujua... Na ndio maana kukatokea mchezo huo dakika za mwisho... NADHANI NI HIVYO
Kama kina hans walipitaka kupindua nyerer washaset mambo baadae wanaenda bar kuropoka mission
Laurent usimsahau.. batu ba congo rwanda burundi... Benja angeamua angefany kam paulo anavyofanya Congo... Kama zenji na bongoJoseph kasoma Sekondari Tanzania na hata Mafunzo ya JKT kayapatia hapa hapa Tanzania akisomeka Kama kijana wa Kitanzania lakin Leo ndio Rais wa Congo, hata Nkurunzinza Mama yake Mzazi Makazi yake ya Kudumu yapo Kigoma!
Joseph mpaka anakuwa Rais wa Congo alikuwa anakijua vyema sana Kiswahili cha Dar Es salam lakin Lugha ya kwao (Kilingala) alikuwa hakijui kwa kuwa Maisha yake yote alikuwa huku Tanzania, Kama Leo Hii anaongea Lingala itakuwa kajifunza akiwa Rais
tayari chief, ngoja nishuke ss maana uku kileleni ni hatari sana [emoji1][emoji1]Mkuu panda mlima
Hebu tulia wewe unatuharibia madaKusoma Tz na Mapinduzi y Congo yanahusiana vp?kwani walikuja kusomea jinsi ya kufanya mapinduzi
kundi la boys2men liliundwa na nani na nani!?
Nyie hebu kila mmoja amuingilie mwenzie PM mmalizane kiu zenyu huko, mnaturefushia huu uzi kwa malumbano ya adolescence.Hakuna haja ya povu mkuu
Wewe ndiye kilaza
Maana katika kuandika tarehe ipo aina tatu;
Kuna 1. mwaka/mwez/siku
2. siku/mwezi/mwaka
3. mwezi/siku/mwaka
Kwa hiyo 4/7, nilitafsiri kama mwezi/siku/mwaka. Yaani mwezi wa nne/tarehe 7
Una lingine!???
Boys2men ni hatari!! Lowassa kuna karma anailipia hata JK naamini atailipia.....rip Julius K Nyerere
Wote humu mnahadithia hadithi za vijiweni.
Taarifa nyeti hata afisa wa TISS huwa hawazijui 50%.
Hapa mpk upate ubuyu toka kwa wahusika, El, JK, mkapa, kingunge, Othman,
Kumbe wanayakoroga wenyewe,mpaka mwili umesisimkaHao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.
Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Hamna jipya duniani mkuu haya yote marudio yalishazungumzwa . Sasa kama ni vitisho sijui unamtishia nani nyie kwa kujifanya secret agents hamjambo ! We soma au pita hivi.[/QUOTE
Nimekuuliza kama una uhakika Jibu Swali.
Kakobe yeye anaweza akatapika mpaka nyongo ila kamwe atakua anatwanga maji kwenye kinu . Hivi mnakumbuka ule waraka wa kakobe aliomuandikia Khalfani Kipindi kile akidai umetoka kwa Mungu ? Tatizo mnasahau labda changamoto za kimaisha !Fact's..... that's true.
Kuna Uzi wangu niliuandika kuhusu BAKWATA.
ni 3 chief wapo huko amerika.Hawa ni vijana wawili wanamuziki huko marekani; kwani huwajui!!?
Hata baba yangu naye aliondoka this dayMkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti