Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Tundu Lissu alipomiminiwa risasi 30 mlikataa mkasema siyo watu wasiojulikana bali chadema wenyewe ila km jamaa anaishi na mawaziri pale area D ilikuaje mpaka wakamfanyie vile .

May be you're not aware with that word " conspiracy theory"



Pardon!

Hili siyo kaburi la kufukua!

Embu mute!
 
Hahahah
Burundi wana FNL palipehutu na CNDD FDD, hapo kwny D wanatamka 'Dee'
Hahah CNDD FDD kila saa2 usiku habar ITV walikuwa wanazungumziwa wao 2 leo ndo napata data hizi umetisha sana.... Ila swala la kabila nilikuwa nasikia sikia maana kuna Laurent na joseph wote Story zao lazima utagusiwa habar za uwepo wao hapa tz...na mengineyo ngoja nijikumbushie kweny huu uzi
 
Hahah CNDD FDD kila saa2 usiku habar ITV walikuwa wanazungumziwa wao 2 leo ndo napata data hizi umetisha sana.... Ila swala la kabila nilikuwa nasikia sikia maana kuna Laurent na joseph wote Story zao lazima utagusiwa habar za uwepo wao hapa tz...na mengineyo ngoja nijikumbushie kweny huu uzi

Joseph kasoma Sekondari Tanzania na hata Mafunzo ya JKT kayapatia hapa hapa Tanzania akisomeka Kama kijana wa Kitanzania lakin Leo ndio Rais wa Congo, hata Nkurunzinza Mama yake Mzazi Makazi yake ya Kudumu yapo Kigoma!

Joseph mpaka anakuwa Rais wa Congo alikuwa anakijua vyema sana Kiswahili cha Dar Es salam lakin Lugha ya kwao (Kilingala) alikuwa hakijui kwa kuwa Maisha yake yote alikuwa huku Tanzania, Kama Leo Hii anaongea Lingala itakuwa kajifunza akiwa Rais
 
Nimekuelewa kwann boys2 men walimsilence daktari yule ukizingatia kipindi kile yeye ndo alionekana wazi angevaa viatu vya nkapa hasa ukizingatia kuwa ilikuwa zamu ya zanzibar. Ila swali hapa ni mseveni was targeted Ni nani alibadilisha zile sahani dakika za mwisho ?
Nadhani hapo M7 hakuwa targeted, ila huyo Dr. Ndiye aliyekusudiwa... ila huenda waliweka mpango wa kwanza kumhusu M7 huku Dr akiwa ni miongoni mwa wapangaji... Lakini kumbe anapangiwa yeye bila kujua... Na ndio maana kukatokea mchezo huo dakika za mwisho... NADHANI NI HIVYO
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile

Mkuu mbona unakuja nusu nusu???
 
Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.

Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.
yaap it might be true
 
sio kwamba mimi ni kilaza, nimeshindwa kuelewa sabasaba na tarehe saba mwezi wa nne vinaingilianaje? mweshimiwa alikufa tarehe saba mwezi wa nne , ila kinachojadiliwa huku ni maonyesho ya sabasaba na target alikuwa ni M7 siku ya tarehe nne mwezi wa saba. mwenye atueleweshe
 
Mkuu sina shaka na uelewa wako,lakini napata shaka unapohusisha jina Aikael na kuleta uhuru wa kweli toka kwa mabepari!.....kuna dots hujaziunganisha vizuri
Aikaeli kwa kwetu umaanisha Ahsante Mungu , pamoja na kuonekana mpigaji ila jamaa kajitahidi sana kusimamia Chadema mengine ni chuki binafsi ila alipomkaribisha EL hapo ndipo tulipo hoji mengi. Mbowe yupo vizuri ata Tundu Lissu ni Mbowe huyo huyo ndie aliemshauri ajiunge Chadema baada ya ile kesi ya mazingira mgodi wa Nyamongo siyo huyo tu Mbowe kawaandaa vijana wengi. Tumpe heshima yake freedom is coming tomorrow.
Tunavyojua sisi ni Dawa za kuongeza nguvu za kiume. BP ikapanda sana. Tuwache uvumi wa kijinga. Yeye mwenyewe akijitayaeisha kwa 6 kwa 6
Yaani napata Mashaka sana na ubongo wako ahaa ahaaa maskini nchi yangu Tz kama hawa ndio vijana wa uchumi wa viwanda maghu kazi unayo.
 
HNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.

Habari ya mwalimu Butiama ilianza na prof David mwakyusa aliyekua mganga wake na kuhitimishwa na muuguzi au mwangalizi wake pale St Thomas London ambae ni Kingunge Ngombale mwiru!!

Connect dots kwa Mwakyusa na Kingunge kuzawadiwa mamlaka mara tuuu baada ya Boys2Men kumwangusha mmakua pale Chimwaga....

Habari ni ndefu ila tunamezea tu.



Mmakua aliangushwa lini? Na kwanini!?
 
Mkuu kuna watu ni untouchable ukiwagusa basi utaumia au utaumizwa na wenyenchi ujawahi kusikia huko kwamba askofu anatawala nchi watu wakalalamika ili kubalance wazee wa system wakaja na BAKWATA hivi ushajiuliza kwa nini Sheikh Ponda halitaki wala haelewani na BAKWATA ? Hicho chombo kiliundwa na ccm kuwaada waislamu huko.
Fact's..... that's true.
Kuna Uzi wangu niliuandika kuhusu BAKWATA.
 
Daah! Kwa hii rip ya Jk Nyerere kwenye thread inayohusu kifo chenye utata cha Omar Juma tayari inaonyesha wahuka wa vifo vyenye utata wa hawa viongozi wawili wahusika ni wamoja.
Asante sana Melo maana bila wewe wengine tusingejua.Vijana endeleeni kufukua makaburi wengine tutajitolea kuyafukia kwa mara ya pili
Haha million 7 utatulipia?
 
Mkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia
Sidhani kama tunashawiahiana hapa.
 
Back
Top Bottom