Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

N
Usemalo Ni kweli lakin pia tambua kuna Watu pia wameuawa hadharani na TV zinaonesha lakin ikaja kugundulika baadae kuwa sio igizo ni Mtu Kafa kweli!

Nadhan ni Mwaka Jana Kaka yake Yule Rais wa Korea Kaskazini kauawa kwa kupakwa sumu kali hadharani Uwanja wa Ndege wa Malysia Tena waliompaka hiyo sumu sio Body builders Mabaunsa Bali wadada warembo walikuja kwa Nyuma wakafanya kama utani wa kumziba Macho walinzi wa Airport wanasema walidhan ni utani au ni igizo Kumbe Mtu anapakwa sumu ya kuua ndani ya Muda mfupi na kweli akafa!

Kuna Njia nyingi sana za Kuua na kudhuru kiasi ambacho Raia wa kawaida mnaweza kubishana kuamini habari hiyo
Hatari
 
Daaha na yule Wazir wa fedha somebody Muhina kama sjakosea mana ilikua gafla tu Mara kafia South
Huyo ccm iliplay kila kitu walisigana masuala ya hela akaleta msimamo wake wa kiuadilifu kwa sasa ni historia. Hivi unakumbka hata hapa JF watu walihoji tangu lini madelu amegeuka msemaji wa familia ya mgimwa .

Eti yeye anajua kiilichomuua wakati family ya marehemu wanasema hawajui kisa tu walifanya nae kazi BOT. Wakikuona km kikwazo watakuondoa hawashindwi Mungu ana makusudi na Lissu
 
Nimeamini jamiiforum kisima cha habari hii habari nilikuwanaitaka sana wapeni vijana wajuwe .sasa naombeni mtupe Uzi Wa BABU SEYA hivi ile kesi ilikuwa kweli au kuna mambo nyuma ya panzia swali na kama kesi ni kweli kwann raisi MAGUFURI awasamehe ndio tunarudi nyuma kwamba inshu ya BABU SEYA kuna kitu kimejificha
Anzisha uzi wako tafadhali na mambo yako ya ushabik wa kijinga.
 
Mwinyi nae alikuja kuwaachia huru waliotaka kumpindua Nyerere kwahio alichofanya chato man siyo ngeni katika siasa za huko nchini . Swali la msingi je walitenda hilo kosa ?

Waziri wa kidiplomasia nchini kwa wakati alisema atahakikisha familia ya Nguza Viking inafia jela akatafuta na wanaharakati za haki za kibinadamu jamaa akapelekwa pale Ukonga . Ila sababu kubwa mcongo huyo aliingilia maslahi ya mtalii huyo aliedumu kwa muongo moja kama boss wetu.

Alichokosea mzee alitaka kumpitia na mke wa pm wa kipindi hicho ndo mana ilipokuja kudakwa pm alimuambia huyo kanali kuwa we mpeleke tukichanganya na rushwa na msosi waliopigwa wale madogo hapo sinza wakatunga uongo eti wameliwa tigo labda waliwachanganyia bangi za kapachino.

Babu seya yupo huru ila afya na maisha ya jela life span imeshadorora.
Una uhakika na haya uliyoandika?
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Hivi maonyesho ya sabasaba ni tare 7 april?
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Huu uzi unanza kunitisha hivi kuuliza sio ujinga wajameni hivi Tanzania tuna muda gani wa kisheria kuruhusiwa kutoa classified information kwenye public domain ?

Sheria yenyewe tunayo kweli ?
 
kweli kuna vitoto humu "Imram Kombe" shushu no. moja
Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.

Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.
 
Mkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia
Mmmh mkuu wiki tatu nne wakati akina babu seya wameachiwa 9 desemba mkuu
Leo ni 27 ni wiki mbili tu tangu watoke na askari tangu wauawe nadhani ni wiki sasa kipindi hicho babu Sega hakumaliza at a wiki 2 uraiani
 
Hivi ni kweli Lowassa alikuja Chadema kutaka ukombozi wa mdanganyika dhidi ya mtanganyika au alitaka walichopanga kipindi hicho kitimie mambo waliofanya bado siamini kama tutapata ukombozi kwa kuwabeba makapi kutoka ccm.

Aikael tunakuomba umuambie Lowassa apumzike anatuondoa kwenye malengo yetu ya kupata uhuru wetu wa kweli. Kikwete ni mjanja sana ila malipo ni hapa hapa duniani.
Mkuu sina shaka na uelewa wako,lakini napata shaka unapohusisha jina Aikael na kuleta uhuru wa kweli toka kwa mabepari!.....kuna dots hujaziunganisha vizuri
 
Kuna Cloves ambazo ni transparent ambazo hata Mtu akivaa anaweza kupita kwny machine au kuchukuliwa fingerprint bila ya mchukuaji kujua kuwa anaechukuliwa kavaa, huenda ndio zilitumika
Wee Pohamba ni Cloves au Gloves? Kweli jasiri aachi asili.
 
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..

Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
Kagame tena, ili iweje?
 
Back
Top Bottom