Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

N
Usemalo Ni kweli lakin pia tambua kuna Watu pia wameuawa hadharani na TV zinaonesha lakin ikaja kugundulika baadae kuwa sio igizo ni Mtu Kafa kweli!

Nadhan ni Mwaka Jana Kaka yake Yule Rais wa Korea Kaskazini kauawa kwa kupakwa sumu kali hadharani Uwanja wa Ndege wa Malysia Tena waliompaka hiyo sumu sio Body builders Mabaunsa Bali wadada warembo walikuja kwa Nyuma wakafanya kama utani wa kumziba Macho walinzi wa Airport wanasema walidhan ni utani au ni igizo Kumbe Mtu anapakwa sumu ya kuua ndani ya Muda mfupi na kweli akafa!

Kuna Njia nyingi sana za Kuua na kudhuru kiasi ambacho Raia wa kawaida mnaweza kubishana kuamini habari hiyo
duh nimechek hiyo clip, inakuaje sasa aliye shuka hiyo sumu asidhurike ndani ya muda mfupi kama aliyepakwa?
 
HNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.

Habari ya mwalimu Butiama ilianza na prof David mwakyusa aliyekua mganga wake na kuhitimishwa na muuguzi au mwangalizi wake pale St Thomas London ambae ni Kingunge Ngombale mwiru!!

Connect dots kwa Mwakyusa na Kingunge kuzawadiwa mamlaka mara tuuu baada ya Boys2Men kumwangusha mmakua pale Chimwaga....

Habari ni ndefu ila tunamezea tu.
hivi wana familia wanaposoma au kugundua kuwa baba yao "aliharakishwa" hakuna wa kufikiria kulipiza kisasi? au ndio maana hawapewi nafasi ya kuwa viongozi wakubwa wasije kuingia ndani ya system na kufanya yao?
 
Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
 
Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
na wewe ukaamini? tuchukulie unamiliki malori 5 yote yanaweza pata ajali ndani ya siku moja kiasi cha kukufanya upatwe na shinikizo?
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Ndomana had leo nikisikia story za huyu mmakuwa huwasishangai akiita watz malofa na wapumbavu!!naskia alikuwa mlevi anazima ikulu kama hana akili timamu
 
Inanikumbusha habari ya Ahmed chalabi leo nilikuwa nacheck documentary aljazeera,
alikuwa mpinzani wa saddamu huseini,
sasa kumbe pia ni jasusi wa iran,
wairan wamesuka ushahidi fake kuwa saddamu ana silaha za maangamizi,sijui kanunua uranium toka Niger na ana mobile labaratory za kutengeza chemical weapons,
kawafuata wamarekani na kuwaonyesha ushahidi,
mmarekani kaingia mkenge akamvamia saddamu na kumtoa madarakani na kumsimika Ahmed chalabi kuwa prime minister,
chalabi akafungulia wairan iraq ambao tena wakaanza kuwaua wamarekani remember moqtada al sadr,
marekani kuja kushituka tayari iraq imekuwa under iran influence mpaka kesho.

Wamerekani waliudhika sana walipogundua kumbe chalabi ni agent wa iran,yaani iran wamewatumia wamarekani kumtoa na hatimae kumuua saddamu ambae alikuwa adui yao mkubwa,
kikatumwa kikosi kazi cha marekani CIA kinaitwa SAD-special Activities Deparment kummaliza chalabi.
Basi siku moja chalabi yuko aljazeera anahojiwa jinsi ushahidi wa kumtoa saddamu ulivyokua fake,chalabi akaruka kimanga kuwa haiwezekani taifa kubwa super power kama marekani litegemee ushahidi wao akina chalabi kuanzisha vita wakati wao wana asset za kutosha kupata information zote na kuact accodingly.
Masaa kumi baada ya mahojiano hayo Ahmed chalab akapatikana kafa chumbani kwake,kumpima wanakuta ni heart attack.

Sasa sijui walimpaka vx bila yeye kujua ama walimpulizia hewa chumbani akiwa kalala,
hizi sumu za kafie mbele ni noma
Ukikiuka mashaliti ya shetani halafu bado ukawa upande wake kifo chako kipo njiani.
 
Nikikumbuka kifo cha Dr huwa kinaniuma sana,kilinikuta Temeke kwa dadangu ambaye miaka miwili baadae nae akafa kifo cha utata baada ya kuanguka tu nakuanza kutoa damu ilisemekana aliwekewa sumu kwenye kinywaji,hii dunia.
Pole sana Mkuu,

Funguka zaidi ili wadau tupate chochote kuhusu utata wa kifo cha Dada yako.
 
Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....

Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!

Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
Mmoja udini ulimtawala
 
Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
This's so deep,
 
Back
Top Bottom