Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Dkt Omar kafariki Mkapa akiwa hapa Nchini na ndie aliutangazia Umma kupitia Radio Tanzania Alfajir ya Siku hiyo hiyo!

Kumbuka kuagiza gari tu mpaka kulitoa Bandarini ni Mchakato wa zaid ya Mwezi Mmoja Sasa huo Mchakato wa Kupitisha Silaha ulikuwa na haraka kiasi gani kiasi cha mambo yote kufanyika Amiri Jeshi akiwa nje ya Nchi na bila ya kufahamishwa?

Mwisho kwa kukusaidia Rais akiwa hayupo Nchini huwa kisheria anakaimisha Madaraka yake yote kwa Makamu wa Rais lakin Yale majukumu yake yake yenye nature ya Uamiri Jeshi huwa hayakaimishwi Mf. Kutangaza Vita, kutangaza hali ya hatare na mfano wa hayo!

Hakika! Wewe na barufu ni watoto wa baba na mama mmoja!

Nimewatambua kwa namna mnavyo ongea na sauti zenu! Karibuni tuote moto

Mwenzio [HASHTAG]#Barafu[/HASHTAG] yupo wapi, hatujamsikia na yeye kwa muda sasa!
 
N
Usemalo Ni kweli lakin pia tambua kuna Watu pia wameuawa hadharani na TV zinaonesha lakin ikaja kugundulika baadae kuwa sio igizo ni Mtu Kafa kweli!

Nadhan ni Mwaka Jana Kaka yake Yule Rais wa Korea Kaskazini kauawa kwa kupakwa sumu kali hadharani Uwanja wa Ndege wa Malysia Tena waliompaka hiyo sumu sio Body builders Mabaunsa Bali wadada warembo walikuja kwa Nyuma wakafanya kama utani wa kumziba Macho walinzi wa Airport wanasema walidhan ni utani au ni igizo Kumbe Mtu anapakwa sumu ya kuua ndani ya Muda mfupi na kweli akafa!

Kuna Njia nyingi sana za Kuua na kudhuru kiasi ambacho Raia wa kawaida mnaweza kubishana kuamini habari hiyo
Kundi la boys2men ndilo liliandaa mkakati wa kummaliza huyo jamaa.... ni kundi hili ndilo lilimleta shein....

Mpaka kesho najiuliza kwa dhambi zile what went wrong boys2men wakafarakana ingawa walikula kafara la kiapo cha damu!!

Mmoja inaonesha dhambi imemlipia ila mwingine ni suala la muda tu!!
 
Issues ya babu seya uwongo mtupu nilikutana na mmoja ya watu waliounganishiwa kwenye kesi ila jamaa alichomoka
Picha lilichezwa tu pale
Kuna mahakimu walijioa
Kuna maagizo walikua wanapewa na watu wasiojulikana
Ni hatari tupu
Umeonaeeeh lakini kutuambia sijui alimchukulia kikwete mwanamke au walibaka mie nakataa maana MAGUFURI namjuwa
 
Wambagusta, acha speculation zisizo na mshiko. Issue ya wanajeshi kufa na babu seya wapi na wapi?

Ukimzungumzia JK kwenye issue ya babu Seya pia kuna ukakasi kwa sababu wakati babu seya anawekwa ndani, JK alikuwa ni waziri. Lakini cha ajabu, JK alivyopata Uraisi akaanza safari za kutembelea wizara tofauti tofauti akianzia na Magereza ambapo akina seya walikuwa wamefungwa.
Sawa mkuu
 
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..

Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
Mkuu kwa kusema Kagame kaanza siku nyingi, interest yake hapo kwa Imran ilikua nini??
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake

Si hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.

Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
 
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..

Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
mh! mazito haya
 
Dr Omar Alli juma mtandao wake ukibebwa na Mkapa ulikua ni hatari!! The only way ilikua ni hiyo. Tishio kuu la boys2men ktk safari yao ya 2005 na 1. Alikua nyerere na.2 alikuwa Dr omar
Ni kweli huyo vice president alikuwa mstari wa mbele kuwahimiza ndugu zake waislamu kutokukimbia umande inshort alipendwa sana .

Alionekana kama mtu atakae kuja kumrithi Nkapa ila kwakua vijana machachari walikuwa kazini wakijiita boys2 men a.k.a golden boys mission accomplished in 2001
 
WAJAMENI MAKABURI MENGINE SIO YA KUFUKUA KABISA, YATUPASA KUYAFUNIKA KWA ZEGE ILI MWANAHARAMU ASEPE ZAKE. KUFUKUA MAKABURI TUNAAMSHA KISASI MIOYONI MWA WAHANGA, NA KUHATARISHA MAISHA YA ALIYETII AMRI KAMA ILIVYO ADA YA KAZI YAKE.
 
Hizi mambo bwana; chukulia ndege wako sehemu kwenye foleni na unajua kabisa pale umewekwa mtego wa kunasa ndege wa tatu. Sasa katika kujipanga yule aliyedhaniwa kuwa atakuwa watatu na ndiye anayetarajiwa kunaswa akapata machale asiende.
Badala yake una amriwa usogee wewe na huwezi kukataa. Mwisho wa siku unajitosa huku ukijua kuwa baada ya hapo una kuwa umenaswa.
Ndivyo ilivyo sometimes kwa ndege warukao pamoja.
Mi nnakataaa aiseeee..........!
 
Akili mbovu tu,ukishaambiwa SABASABA ni mwzi wa saba na imepewa jina kutokana na kupangana kwa saba zinazofuatana.
Watanzania tunajua mwezi wa nne ni sikukuu yenu(WAJINGA) tarehe 1/4_,, PASAKA na MUUNGANO.
Ndiyo maana nikapata mashaka na utaifa wako.

Si bora asome tu kwani ni lazima kuchangia ?
 
Back
Top Bottom