Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hii ishu ya Dr Ally Juma tetesi ni kwamba huyu mzee aliruhusu kupta silaha haramu wakat huo Ben akiwa nje ya nchi vijana wa ikulu wakamtobozea mzee akiwa nje na kumwamuru akute barua ya kujiuzuru nfs yke ya VP ndopo akapta depression na kurudisha kadi kwa Mungu
Dkt Omar kafariki Mkapa akiwa hapa Nchini na ndie aliutangazia Umma kupitia Radio Tanzania Alfajir ya Siku hiyo hiyo!

Kumbuka kuagiza gari tu mpaka kulitoa Bandarini ni Mchakato wa zaid ya Mwezi Mmoja Sasa huo Mchakato wa Kupitisha Silaha ulikuwa na haraka kiasi gani kiasi cha mambo yote kufanyika Amiri Jeshi akiwa nje ya Nchi na bila ya kufahamishwa?

Mwisho kwa kukusaidia Rais akiwa hayupo Nchini huwa kisheria anakaimisha Madaraka yake yote kwa Makamu wa Rais lakin Yale majukumu yake yake yenye nature ya Uamiri Jeshi huwa hayakaimishwi Mf. Kutangaza Vita, kutangaza hali ya hatare na mfano wa hayo!
 
Siasa za Bongo zilikuwa za kubadilisha kijiti kati ya Bara na visiwani baada ya Nkapa kumaliza wazenji walitakiwa wamtoe Rais ila baada ya mission accomplished in 1999 jamaa walihakikisha anyone seems as an obstacle must removed by any means so connect dots
Siasa za Bongo zilikuwa za kubadilisha kijiti kati ya Bara na visiwani baada ya Nkapa kumaliza wazenji walitakiwa wamtoe Rais ila baada ya mission accomplished in 1999 jamaa walihakikisha anyone seems as an obstacle must removed by any means so connect dots
Pamoja sana mkuu.
 
Nimekuelewa kwann boys2 men walimsilence daktari yule ukizingatia kipindi kile yeye ndo alionekana wazi angevaa viatu vya nkapa hasa ukizingatia kuwa ilikuwa zamu ya zanzibar. Ila swali hapa ni mseveni was targeted Ni nani alibadilisha zile sahani dakika za mwisho ?
Dr Omar Alli juma mtandao wake ukibebwa na Mkapa ulikua ni hatari!! The only way ilikua ni hiyo. Tishio kuu la boys2men ktk safari yao ya 2005 na 1. Alikua nyerere na.2 alikuwa Dr omar
 
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
Mkuu,Mashetani yana nguvu sana...,yakiamua kukuua yatakupata tu hata kama cyo kwenye chakula!
 
Laurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni

Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge

Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar

Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda

Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
Kumbe kuna mengi ya siri Tz!
 
Laurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni

Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge

Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar

Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda

Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
Kumbe kuna mengi ya siri Tz!
 
Watu wanakufa kwa staile tofauti, wengine wanakufa wakicheza mpira uwanjani mbele ya TV kila mtu anaona.
N
Usemalo Ni kweli lakin pia tambua kuna Watu pia wameuawa hadharani na TV zinaonesha lakin ikaja kugundulika baadae kuwa sio igizo ni Mtu Kafa kweli!

Nadhan ni Mwaka Jana Kaka yake Yule Rais wa Korea Kaskazini kauawa kwa kupakwa sumu kali hadharani Uwanja wa Ndege wa Malysia Tena waliompaka hiyo sumu sio Body builders Mabaunsa Bali wadada warembo walikuja kwa Nyuma wakafanya kama utani wa kumziba Macho walinzi wa Airport wanasema walidhan ni utani au ni igizo Kumbe Mtu anapakwa sumu ya kuua ndani ya Muda mfupi na kweli akafa!

Kuna Njia nyingi sana za Kuua na kudhuru kiasi ambacho Raia wa kawaida mnaweza kubishana kuamini habari hiyo
 
Back
Top Bottom