Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake



Khaaa
 
2006 Jakaya alibadilisha kutoka kunyongwa mpaka kifungo cha Maisha
2012 wakaachiwa kwa Msamaha lakin yote hayo haya kuwa kwny front page za Magazeti kwa kuwa Mtawala wa wakati huo alikuwa anajua ingeamsha Mjadala wa Imran Kombe namna alivyotutoka
Ingekuwa Zama hizi sijui ingekuaje?
Hawa jamaa waliachiwa kabla 2012.
 
M
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Mtu akishika rungu anakuwa na nguvu sana huenda Mzee wa butiama ali muunderestimate chee nkap akijua n mzanzibar koko ,matokeo yake ndo hayo sasa,uzuri usanii huo aliwafundisha mwenyew
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Lakini hapa hapakuwa pia na nguvu nyingine kutoka uaduini tulimofikiri?kwa maana maadui wengine mmoja wao alikuwa anakataliwa na mwalimu kusimika bendera mlima kilimanjaro kwa sababu ya kuwa na maziwa na asali nyingi.
Mwingine aliambiwa umri hautampa busara kuachiwa boma.
Hawa hawakuwa na mkono wao?
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Kweli...kuna kakasi kuliendeleza
 
Hakuna haja ya povu mkuu


Wewe ndiye kilaza

Maana katika kuandika tarehe ipo aina tatu;

Kuna 1. mwaka/mwez/siku

2. siku/mwezi/mwaka

3. mwezi/siku/mwaka


Kwa hiyo 4/7, nilitafsiri kama mwezi/siku/mwaka. Yaani mwezi wa nne/tarehe 7


Una lingine!???
Akili mbovu tu,ukishaambiwa SABASABA ni mwzi wa saba na imepewa jina kutokana na kupangana kwa saba zinazofuatana.
Watanzania tunajua mwezi wa nne ni sikukuu yenu(WAJINGA) tarehe 1/4_,, PASAKA na MUUNGANO.
Ndiyo maana nikapata mashaka na utaifa wako.
 
Back
Top Bottom